Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Uchaguzi Unaofanyika Tanzania sio wa kwanza. Pia uchaguzi wa Tanzania ni sehemu ya chaguzi nyingi zilizofanyika duniani. Mtu wa kawaida anaweza kuchunguza mambo machache yafuatayo na akajua...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
CHADEMA wachoma khanga za rushwa • Zilitolewa na Mama Kilango kwa wananchi na Grace Macha, Same CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimechoma khanga zinazodaiwa kutolewa bure kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo asubuhi kuna kundi la askari wengi wa kutuliza ghasia wakiwa wamevalia mavazi rasmi tayari kwa mapambano,pia wameongozana na gari la upupu Askari wametawanyika kila sehemu,haijulikani kuna...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tukiwa tumesaliwa na siku chache kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika, wanafunzi wanao soma jimbo la KAWE wajitokeza kwenye mdahalo wa jimbo la kawe uliyo andaliwa 'FEMA' kwa kauli yao moja wsema...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jana Tar.18/10/2010 mama Salma Kikwete alionja joto ya jiwe kutoka kwa wenyeji wa Tunduma wkt akirejea kwenye kampeni Sumbawanga wananchi hao walitaka kuponda gari la mama Salma alikuwa kapita...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Nilihisi kuna fungu la bahasha kama wanahabari wangu mnavyojua tukitoka shugulini zile bahasha zetu..loh kusogelea nkakuta mh mmoja akisubiri kusafiri kafungua box mara nikaanza kusikia na mimi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
[/B][/SIZE]Kama mwananchi wametishia kulifungia je habari hii hapa? KILE kinachoitwa umaarufu wa Jakaya Kikwete, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeelezwa kuwa "taarifa za kupanga"...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dk. Willibrod Slaa akisalimiana na baadhi ya watawa waliohudhuria mkutano wa kampeni zake kwenya Uwanja wa Sabasaba mjini Nzega jana asubuhi.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
JK HAYUPO MAKINI. http://www.youtube.com/watch?v=78Nljoepm4E
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukihitaji kupata habari na picha za mikutano ya Dr. Slaa tembelea blog ya Friends of Dr. Slaa Friends of Slaa | FOS |: Habari Endeleeni kubarikiwa. Isaiah 54:17 no weapon forged against...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
jamani wana jf hivi inawezekana mgombea tena ngazi ya urais hajui sinza ipo jimbo gani ndani ya majimbo ya dsm?kikwete makazi yak yaani ikulu ipo dsm sasa inapotokea kwenye mkutano wa kampeni...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Zikiwa zimebakia siku chache kufikia uchaguzi mkuu ningewaomba viongozi wote wanaogombea URAIS kuacha siasa za majitaka na badala yake kuzungumzia vision yao ktk Tanzania ya kesho ktk maswala...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Nimejitafiti na kugundua sijawahi kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu Tanzania. Hivi naweza kutumia kalamu yangu kupiga kura? Je, kama naweza inatakiwa kuwa ya rangi gani? Au ilimradi niweke...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
.......ila matendo yanaweza. Baada ya mbwembwe zote za kampenzi zimebaki siku 12 tu kabla ya uchaguzi! Wanajamvi tusiishie kwenye kusema,kushauri, kukosoa na kulalamika tu, tar 31 tukapige kura...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimejaribu kufuatilia kwa undani kwa viongozi wastaafu na viongozi wale wa dini wakiwaamasisha wananchi kutochagua chama bali tuchague kiongozi mwenye sifa safi kama vile tusichague Mafisadi na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni kwamba jamaa wameshaanza kuandaa kadi za mialiko kwa ajili ya viongozi watakaoudhuria uapishwaji wa presidaa wa tz ajae...ambapo inaelezwa itakuwa kati ya tarehe 3 au 4..ni kwamba ushindi...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Hebu tuwe wakufikiria jamani. kwani naona hawa jamaa wanakoelekea ni kwenye MLANDIZI na siyo MTUPA MAGANDA, vichwa panzi na wema wa kinafiki. juzi juzi wametoka kutukanwa " MTU MZIMA HAFUNDISHWI...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Michuzi anapenda sana hivi vikatuni vya huyu jamaa lakini safari hii Gado stepped on Michuzi's toe !! Source:The East African:  - Understanding The Region - Comment
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Dk. Slaa atatufaa Ikulu M. M. Mwanakijiji KINYANG'ANYIRO cha uchaguzi mkuu kwenye nafasi ya urais utakuwa ni baina ya Dr. Kikwete na Dr. Slaa. Katika mazingira fulani fulani mwamuzi wa...
0 Reactions
248 Replies
19K Views
Katika utafiti uliofanywa kwa muda mrefu na vyombo vya habari vya kimataifa, inaonesha kwamba CUF itapata ushindi mkubwa Zanzibar. Vyombo hivyo vya kimataifa bado vinajiuliza je CCM, wataachia...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom