Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kila mpenda MABADILIKO afanye kwa sehemu yake, wale tutakao weza tuhakikishe tunasimama kama mawakala wa CHADEMA, na wale tuliopata nafasi ya usimamizi naomba tukalinde kura za Slaa, Ushindi ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mbinu chafu za serikali zashindikana Mwanza, idadi kubwa ya wananchi wa jiji la Mwanza jana walienda uwanjani kusikiliza sera za CHADEMA baada ya jeshi la polisi kuwarushia raia mabomu 8...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu Watanzania wenzangu mnaoipenda nchi yetu, naomba wote kwa pamoja tufunge mikanda kuelimisha watu fulani ambao inaonekana mawazo yao ni ya zamani sana na inaonekana elimu waliyoipata...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
By JENERALI ULIMWENGU October 10, 2010 Murphy’s law states that anything that can go wrong will go wrong. All of a sudden, it seems there are now just too many things that can go wrong in...
0 Reactions
75 Replies
7K Views
Uvumi ulioenea jana kuwa kuna lori lina makaratasi ya kupigia kura Tunduma, kama kweli si za kweli basi huenda hizi zikawa ni mbinu nyingine chafu dhidi ya Dr Slaa.. Wanajua kuwa Dr Slaa hana...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
AHADI zinazotolewa na baadhi ya wagombea uongozi nchini katika kampeni zinazoendelea za uchaguzi mkuu zikitekelezwa, huenda zikawaweka Watanzania pabaya, imebainika. Taarifa ya kitaalamu...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Huyu ni mtanzania wa pili baada ya Nyerere kuchukia ufisadi kwa vitendo. Ni mtanzania wa pili kuchukia umaskini wa watanzania kwa vitendo. Ni Dr. Slaa aliyesimama na kutaja majina ya wala rushwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna uvumi unaenezwa kwa watu kuwa iwapo umepokea rushwa/takrima toka ccm alafu ukawasaliti kwa kuwapigia kura wapinzani.Eti iyo karatazi ikipelekwa kwa computer itaonyesha iyo tick ilikuwa ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwanasaikolojia maarufu nchini Marekani aitwaye Phil McGraw aliwahi kusema kwenye mada zake tuwe waangalifu sana na watu wanaojibu hoja ambazo wala hawajaulizwa. Alisema mtu anapoanza kujibu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Urafiki wa muda mrefu baina ya Godbless Lema na Mawazo Alphonce umefikia hatua ya kutishiana kumalizana kisiasa.Ikumbukwe Lema na Mawazo walikuwa wanachama wa TLP kabla ya kujiondoa na kujiunga na...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Wadau nilikua nasikiliza wimbo wa msanii wa kizazi kipya Joseph Haule maarufu kama Prof. J wa "Ndio Mzee" na ndipo nikaanza kukumbuka ahadi za Jakaya kikwete moja baada ya nyingi kwa zote zaidi ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MOSHI MJINI Chadema`s Union presidential candidate, Dr Willibrod Slaa, addresses a campaign rally at Mashujaa grounds in Moshi yesterday. Mgombea ubunge wa Jimbo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
KARATASI YA KUPIGIA KURA-NI SIRI? kabla ya mtihani wa kumaliza shule huwa kuna Mock exams,hii inamuandaa mwanafunzi kujua mtiahani utafananaje etc,pia kuna past papers,hii pia inajenga uzoefu wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Closed
Freeman Mbowe amejipendekeza mikononi mwa vijana mahiri wa CCM na kupewa kichapo havi hadi kupoteza fahamu leo Masama Hai.Hali hiyo imepelekea mkuu huyo wa CHADEMA kuwahishwa USA through Pretoria...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
habari ambazo zimelifikiadawatila hatudanganyikikutoka ofisi ya waziri mkuu zinzonyesha kwamba wasimamizi wauchaguzi katika majimbo yaani wakurugenzi wa halamashauri za wilaya, miji na manispaa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ilikuwa kama sinema za akina Rambo ama matukio ya Rwanda Genocide. Mgombe wa ubunge jimbo la Hai kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe akiwa katika mkutano wa hadhara huko Masama Kati ghafla...
0 Reactions
127 Replies
11K Views
Kuna mzee mmoja kada wa CCM nilifanya naye mazungumzo kidogo kuhusu chama chao. Nikamuuliza swali: "Kwa nini mumekubali Kikwete agombee tena Urais mwaka huu wakati amevuruga nchi na haaminiki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimepata taarifa kuwa mheshimiwa Dr.Slaa amemaliza kuhutubia mkutano mkubwa wilayani maswa akijumuisha majimbo mawili ya Maswa Mashariki kwamgombea John Shibuda na Maswa Magharibi kwa Kasulumbayi...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakuu, leo nimeisoma hii (a bit delayed though) kuhusu majengo yetu mapya ya wamachinga pale Karume... Kwa kweli ni masikitiko sana kwa ripoti hii walioyotoa kuhusu majengo husika. Maswali yangu...
0 Reactions
60 Replies
8K Views
Back
Top Bottom