Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kuna kauli ya Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa sjui ni kata au wilaya ya Kinondoni hapa mtandao akiwa SII vijana wa umoja wa vijana ccm waache kujifanya usalama wa taifa Badala yake anawataka...
6 Reactions
15 Replies
370 Views
Naona unahamisha Magoli ! Kwamba mwenye tafsiri sahihi kwamba Maridhiano haya yana tija Kwa Taifa na jamii ni nani ? Kwamba mwenye kuona faida ya maridhiano ni lazima awe diaspora? Kwamba...
7 Reactions
27 Replies
1K Views
Wakuu, Kazi kwelikweli, uchawa unatumaliza! ==== Diwani kata ya Zingiziwa, Maige Maganga amewataka Viongozi na Wananchi wa Zingiziwa na Jimbo la Ukonga kwa ujumla kujivunia uongozi wa Mbunge...
2 Reactions
4 Replies
270 Views
Mwanasiasa mkongwe aliyewahi kuwa M bunge wa Sumbawanga, Paul Kimiti, amesema wanasiasa wanatakiwa kukaa bungeni kwa muda maalum na kuondoka wakiwa bado wanahitajika na wananchi, badala ya...
2 Reactions
4 Replies
219 Views
Mimi kama mtumishi wa serikali nimesimamia uchaguzi toka 2010 mpaka 2024 uchaguzi wa serikali za mitaa. Mwaka 2020 wakurugenzi walitukusanya wasimamizi wakuu na kutupa muongozo na utaratibu wa...
2 Reactions
2 Replies
107 Views
Hivi ukipost kuhusu kuokosoa uongozi mpya wa chadema basi hujibiwa kwa kejeli badala ya hoja. Haya yanajitokeza ktk account mbali mbali ikiwemo Ngurumo katika hoja yake kuhusu hujuma anaetaka...
2 Reactions
14 Replies
272 Views
Wakuu, 1. MBUNGE WA BAHI - Kenneth Ernest Ollo Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 40,628 dhidi ya Godfrey Job (CUF) aliyepata kura 1,756. Michango Bungeni...
1 Reactions
3 Replies
725 Views
Heshima kwenu, Moja kwa moja kwenye mada husika. Mheshimiwa PM, Mbunge wa Ruangwa "Makomasho" Napenda kutoa ushauri wangu kwako, kuhusu upepo A.K.A "mbungo" ambayo inavuma katika viunga vya...
20 Reactions
186 Replies
8K Views
Alhamisi ya Januari 18, 2024, Waziri wa Ulinzi na JKT, Dkt. Stergomena Lawrence Tax na Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian kwa pamoja wamesaini mikataba miwili baina ya Wizara ya Ulinzi...
3 Reactions
3 Replies
729 Views
Nashauri Uhamiaji irudishwe Wizara ya ulinzi wafanye kazi na JWTZ. Katika nyakati hizi ambazo Wizara ya Mambo ya ndani ni very corrupt nashauri Uhamiaji uwe chini ya TPDF. Maana JWTZ wanahusika...
18 Reactions
32 Replies
842 Views
Watumishi wengi wa serikali hasa watumishi walioajiriwa kwa taaluma yao serikalini ni waadilifu ni wachache sana ambao si waadilifu katika kusimamia miradi ya maendeleo Wafuatao ndiyo wanapiga...
4 Reactions
4 Replies
626 Views
Nilikuwa napitapita kwenye Youtube nikakutana na video ya ndugu huyu ambaye ni nabii na mchungaji wa huduma iitwayo "Huduma ya Kristo (Christ's Ministry) iliyoko huko Arusha, Tanzania...
10 Reactions
99 Replies
5K Views
Kwa wiki sasa nimekuwa ninasikiliza historia za viongozi madikteta Afrika. Nimesikiliza jinsi walivyoua na kunyanganya uhuru wa watu. Nimesikiliza kuhusu Samuel Doe, Iddi Amin Dada, Mobutu na...
5 Reactions
12 Replies
425 Views
Kwema Wakuu! Chalamila hapa nitamtaja kama Mhusika bila kuhusisha cheo chake. Ni aina ha watu ambao hawana breki za kuongea na watu wa aina hii mara nyingi huongeaga UKWELI mchungu ambao wakati...
15 Reactions
263 Replies
4K Views
Kumekuwepo na taarifa kuhusiana na mabadiliko ya uongozi ndani ya CCM hasa katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara na Katibu Mkuu.kuna fununu kuwa Mzee Kinana ameshaandika barua ya kuomba...
19 Reactions
102 Replies
10K Views
Tumeshaandika nyuzi nyingi sana humu. Sasa kaongea Rais wa Burundi. Nawakumbusha tu. Mkifanya nao mazungumzo kuhusu Goma na wakafanikiwa kituo kinachofuata ni Kagera na wakulianzisha ni Muhoozi K.
4 Reactions
10 Replies
843 Views
Wakuu, Naomba kueleshwa nini kinaendelea huko Dodoma. Leo ni siku ya CCM au sherehe ya kumpamba Rais?
5 Reactions
17 Replies
562 Views
Wanabodi, Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Jacobs Mwambegele, amesisitiza kuwa kujiandikisha zaidi ya mara moja ni kosa la jinai lenye adhabu ya kifungo cha angalau miezi sita...
1 Reactions
1 Replies
150 Views
Safari inaendelea. Vitisho. Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku. Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko Kuna watu hawa miongoni mwa wengi. Yeye anaandika "Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali...
315 Reactions
2K Replies
211K Views
Wengi hawajui Kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM wa sasa, Stephen Wassira aliwahi kuhamia NCCR Mageuzi ilikuwa u-Star Masumbuko Lamwai akahamia CCM ulikuwa u-Star Juliana Shonza akahamia CCM ulikuwa...
9 Reactions
160 Replies
4K Views
Back
Top Bottom