Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Arusha Saipulani .A. Ramsey amesema wao kama mkoa wanamuombea Mungu Rais Samia Ushindi wa Heshima na watanzania wote wakae tayari kuyapokea maisha mazuri...
0 Reactions
0 Replies
178 Views
Wananchi wa vijiji vya Lwega na Mwese vilivyopo halimashauri ya wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi wamesema kampeni ya msaada wa kisheria ya mama Samia inapaswa iwe endelevu kwani imewajengea...
0 Reactions
0 Replies
132 Views
SADC imeitisha kikao cha Pamoja na EAC Ili kuzuia Vita isisambae Kikao kitafanyika wakati wowote kuanzia Sasa Source Citizen TV
2 Reactions
19 Replies
640 Views
Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa mapema leo Viongozi,Wananchi, Wafanyabiashara, Viongozi wa Serikali na siasa wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Taasisi na Watumishi wamefanya usafi wa...
0 Reactions
0 Replies
99 Views
Naona wazee wamesha lamba asali na imekolea utamu! Mpaka nao hawana maana wamekalia uchawa! Tunaenda wapi? Taratibu CCM wanaanza kuingiza mambo za kupita bila kupingwa, tusipokaa vizuri hii...
1 Reactions
1 Replies
196 Views
Mjumbe Kamati ya Siasa (CCM) Wilaya ya Ubungo Hamis Abeid Baruani ameiomba serikali kutoa uhuru wa kufanyika kwa siasa za majukwaani ili Chama Cha Mapinduzi CCM kiweze kushindana kwa hoja na...
0 Reactions
2 Replies
159 Views
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema urafiki kati ya CCM na Prosperity Party, chama tawala cha Ethiopia, ni hatua muhimu katika kuboresha na...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
Video kwa wale wasio na mihemko na wanaoelewa Kiingereza tu.
11 Reactions
55 Replies
2K Views
Anaandika Lieratus Mwangombe Yesterday, the High Court ordered the Kisutu Court to hear and process Amb. Dr. Slaa's bond today. Shockingly, President Samia's Govt has maliciously failed to bring...
4 Reactions
31 Replies
1K Views
Wabunge na wafanyakazi wengine wa Bunge wakishiriki kwenye shindano la kula kwenye kilele cha Bunge Bonanza 2025. Pia, Soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu...
6 Reactions
102 Replies
3K Views
Nakumbuka namna Tundu Lisu alivyoufafanua mgogoro wa Palestine na Israel kupitia Hamas na IDF na kusoma mwishoni Hamas wataibuka Washindi Na Kweli Hamas ni Washindi Kwa sababu Israel imetii...
2 Reactions
18 Replies
414 Views
Wiki hii taarifa kutoka shirika la misaada la USAid kwenda kwa Taasisi mbalimbali ikiwemo Taasisi ya Benjamin Mkapa juu ya kusitisha ufadhili wa miradi inayohudumia waathirika wa ugonjwa wa UKIMWI...
0 Reactions
2 Replies
275 Views
Niko Arusha nasikiliza Radio FM mida hii wachangiaji wote wanamlaumu Lisu kwa kutozingatia usawa wa jinsia kwenye teuzi zake alizofanya kuwa ni mbaguzi wa jinsia
2 Reactions
45 Replies
1K Views
Unakumbuka kauli hii ya Slaa alipokuwa mpambe wa Magufuli? - Dkt. Slaa: Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida https://www.youtube.com/watch?v=ajFGQ0wQdOk
4 Reactions
44 Replies
1K Views
Sikiliza mwenyewe kupitia hii link https://x.com/EggleVuvu/status/1885185539365564674?t=eqx2xm8OPAYKondHhO_7DQ&s=08
0 Reactions
0 Replies
125 Views
Akiongea Ukurasani kwake X mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema Kigoma Ujiji ndio palikuwa Makao makuu ya DRC Mashariki zamani Zaire Kwa Sasa DRC Mashariki ndio huko Goma...
6 Reactions
32 Replies
1K Views
Ni angalizo tu Vita inayopiganwa Kati ya DRC na M23 ni ya Kiuchumi zaidi Tusifanye kihelehele tuusome mchezo kwanza 🐼
2 Reactions
17 Replies
323 Views
Askofu Mwamakula amesema aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Bawacha Celestine Simba hajakata rufaa Kwenye chombo chochote dhidi ya Mwenyekiti wa Bawacha Sharifa Suleiman Askofu Mwamakula amesema...
4 Reactions
22 Replies
909 Views
Kuna watu wanaamini Tundu Lisu ataleta maajabu makubwa ktk uongozi wa CHADEMA. Lissu ni mwanasiasa kama wanasiasa wengine wa Tanzania au Afrika Makundi ya kumuunga mkono na kumchawia Maslahi ya...
3 Reactions
20 Replies
417 Views
Ndugu zangu Watanzania, Msishangae Kwanini Luhaga Mpina Amekuwa akitoa taarifa za uzushi,uongo na uchonganishi mara kwa mara. Nyote ni mashahidi wa namna ambavyo amekuwa akitoa taarifa kuonyesha...
8 Reactions
126 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…