Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Siasa za Lissu za sasa ni zile zilizopitwa na wakati ambazo akina Maalim Seif walizitumia sana kule Zanzibar zilikuwa zikiitwa siasa za ngangari Hadi kieleweke. Hadi wakaagiza visu na kufanya...
4 Reactions
47 Replies
4K Views
Nilikua nafuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kuna maneno yamenifikirisha jambo. Walijua wameiua Chadema, tuliambiwa humu mitandaoni kuwa Magufuli kaua Upinzani. Mara ooh, Chadema...
43 Reactions
97 Replies
7K Views
*WATANZANIA NI WAELEWA SANA, 2020 TUNACHAGUA MAENDELEO* Na Emmanuel J. Shilatu Uchaguzi Mkuu 2020 unazidi kukolea na kupamba moto ambapo kila chama, kila mgombea anajinadi kivyake kwa sera zake...
3 Reactions
49 Replies
3K Views
Hali ndio kama mnavyoona ndugu zangu Sina cha kuongeza , wale mnaotaka nyama zaidi endeleeni kula mtori , nyama mtazikuta chini
55 Reactions
148 Replies
14K Views
Kwa Mara nyingi kwa miaka mingi CCM wamekua wakipiga propaganda mfu juu ya VIONGOZi na wagombea wa CHADEMA kuwa ni wa kutoka Kaskazini. Sasa faida kubwa aliyonayo Tundu Lissu na CHADEMA ni sehemu...
17 Reactions
60 Replies
5K Views
Kosa moja ambalo Lissu anafanya hivi sasa ni kuaccumulate makosa mengi ya kisiasa ambayo CCM wanaweza kuyatumia dhidi yake. Tangu arudi nchini Lissu ameshafanya makosa kadha wa kadha ambayo...
80 Reactions
150 Replies
10K Views
Kuna habari kuwa utaandaliwa mdahalo kabambe kuwakutanisha wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ingawa mpaka sasa hajajulikana nani atakuwa muandazi lakini tunategemea kumfahamu...
6 Reactions
44 Replies
5K Views
1: JPM anamengi yakuonekana aliyofanya kwa wananchi Lissu hata jimbo lake tu hakuna chochote cha kuonyesha. 2: Kila vita anayoingia JPM anapata ushindi au nusu ushindi (MAKINIKIA) wa kugusika...
15 Reactions
83 Replies
6K Views
Najua pengine ukali wa speech zako kwa namna Fulani unachangiwa na madhila uliyopitia ambayo Mungu wa Rehema alikuepusha. Labda tu kukushauri unapoanza safari ndefu ya kampeni katika kuwaomba...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Inavyooneka watu kwenda barabarani ni jambo linalotishia na na kuogepesha sana hasa kuhusu utulivu na amani ya nchi ... watu kwenda barabarani ni kwenda kutafuta haki yao kwa namna moja au...
26 Reactions
36 Replies
2K Views
#Uchaguzi2020 Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Muttamwega Mgaywa na mgombea mwenza Satia Musa, walipowasili hii leo Agosti 7, 2020, kwenye ofisi za NEC wakiwa peku...
3 Reactions
37 Replies
6K Views
Ndugu wa JF, Rais wetu na viongozi wakuu wa kitaifa wamekuwa wakijipambanua kupambana na rushwa na Mkuu wetu amekuwa akitumbua watumishi wa umma na wakandarasi huku na kule Je, wajumbe wametupa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
UCHAGUZI wa mwaka huu unatakuwa ngumu na wenye mvuto mkali. Hii ni sawa na pambano lililosubiriwa kwa muda mrefu. Mapambano kama haya yakitokea hulazimisha shughuli zingine zisimame ili kupisha...
59 Reactions
89 Replies
7K Views
CCM Tumshauri Mgombea Wetu Kupunguza Mzaha ktk Hotuba Zake. ---------------------------------------- CCM tumashauri Mwenyekiti na Mgombea wetu kupunguza mzaha na utani ktk hotuba zake hasa...
11 Reactions
26 Replies
3K Views
Msajili msaidizi wa Vyama vya Siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu. Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya...
3 Reactions
142 Replies
10K Views
#Kelv Magufuli kuwanyima wapinzani wake kufanya siasa kwa miaka mitano iliyopita ni kosa kubwa sana la kimkakati amelifanya na atalijutia hili kwa maisha yake yote. Yeye tayari ameshawakinai...
6 Reactions
4 Replies
544 Views
Ili kuandaa ilani vyama vinahitaji watalaam waziefu na wenye uelewa wa mahitaji ya Watanzania.. Kinyume cha hapo vyama vitajikuta vinaeleza nadharia na mambo ambayo hayatekezeki au kujikuta...
1 Reactions
8 Replies
881 Views
Mgombea wa Chama cha Wakulima (AAFP) Seif Maalim Seif amekuwa wa kwanza kufika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kuchukua fomu ya kuwania Urais kwaajili ya kugombea kiti cha Urais wa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Mgombea wa Chama cha ADC, Queen Curthbert Sendiga amefika katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma leo Agosti 7,2020 kuchukua fomu ya kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania. Chama hicho...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom