Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo. Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura. Kwanini asijikite kuwaeleza...
34 Reactions
153 Replies
13K Views
Tunapoelekea kipindi cha kampeni tuna tegemea hoja nzito haswa kutoka kwa wagombea wa upinzani kuhusu serikali ya awamu ya tano kushindwa kuweka mifumo ambayo ingewezesha tume huru ya uchaguzi...
6 Reactions
26 Replies
3K Views
MAMBO YATAKAYOMRUDISHA JPM OFISINI TR 28 OCTOBER. Na Elius Ndabila 0768239284 Mh Dkt Magufuli Rais wa JMT jana amechukua fomu ya kugombea Urais kwa awamu ya pili kupitia Chama Cha Mapinduzi...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Nazani miaka ya 2013 nilisema humu CCM huendeshwa kisay ransi na kinajua namna ya kuendesha siasa kuliko Chadema Ila mashabiki wa siasa na so wachambuzi walikuja na kashfa na kejeli na wanazani...
7 Reactions
44 Replies
4K Views
Hili ni swali linalofikirisha watu wengi sana kipindi hiki ambapo homa ya Uchaguzi inazidi kupambamoto. Swali hili linakuja baada ya wajumbe wengi wa CCM kuamua kwa maksudi kupuuza makatazo na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mgombea wa Chama cha UPDP, Twalib Ibrahim Kadege amefika katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma leo Agosti 7, 2020 kuchukua fomu ya kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania. Amefika katika...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Hakuna tena tafiti za TWAWEZA SNOVET na wengine kutuonyesha nani anaongoza mbio za urais 2020 kama ilivyokuwa 2010 na 2015. Pia vyama kwanini havipitishi kula ya maoni kwenye vyama vyao? Vyama...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Ninaandika hivi kama MwanaCCM mwenye uchungu na Chama changu na ninayeamini usafi katika kutumikia umma. Ninatokea kijiji cha Simbalungwala ambacho ni jirani na kijiji cha Makunda anapotoka Dkt...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari za leo JF experts, Naomba tumchallange mgombea uraisi Lisu maana ni member hapa JF, Mimi ninayo maswali kadhaa kwake. 1; Kwa upepo aliokuja nao, Kuna kila dalili za yeye kushinda ila pia...
4 Reactions
20 Replies
4K Views
Kwa bahati nzuri niliweza kufuatilia ziara zote za Rais Magufuli katika awamu yake ya kwanza ya uongozi. Kila aliposimama kusalimia wapiga kura wake alielezwa matatizo lukuki na wananchi wa...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Bernard Membe amekuwa akipitia nyakati mbalimbali za machungu makubwa kwake katika harakati zake za muda mrefu za kuitafuta Ikulu ya Chamwino. Mapigo hayo yamezidi kufifisha ndoto yake hiyo ya...
4 Reactions
49 Replies
5K Views
Indonesia ilikuwa na utawala uliojulikana kama The New Order ulioendeshwa na Rais Surharto. New Order ili dumu madarakani kwa miongo mitatu, watawala walikuwa wamepumzika na hawakuangalia tena...
58 Reactions
159 Replies
9K Views
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana. Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni...
2 Reactions
192 Replies
13K Views
Salaam wanajamvi, Oct 2020 kutakua na uchaguzi mkuu wa kuchagua madiwani, wabunge na Rais wa nchi. Uchaguzi huu ni wa kwanza kwa katibu mkuu na katibu mwenezi toka wateuliwe, ni uchaguzi huu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Baada ya Vyama vya CHADEMA na ACT Wazalendo kuwapitisha Tundu Lissu na Benard Membe kuwa wagombea wake wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, itakuwa vigumu kuwa na mgombea mmoja atakayeungwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Je, CHADEMA kumtumia Salum Mwalimu kama mgombea mwenza wa Urais Tundu Lissu ni turufu kupata kura za vijana ?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
1. Dkt. Mahera uvae Suti Kali kuzidi hii ya Leo na ukamsubiri Lissu pale pale 2. Niwaone Watendaji wote wa NEC wakiwa na Nyuso za Furaha kama za leo 3. Niwaone Mwenyekiti ( Mtani wangu wa Kihaya )...
92 Reactions
104 Replies
11K Views
*_Na Sheikh Ponda Issa Ponda_* Vyama vikuu vya upinzani vinakamilisha michakato muhimu vikijiandaa kushiriki uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu. Kwa mujibu wa vyama hivyo lengo kuu ni kuwafariji...
11 Reactions
7 Replies
1K Views
Mkurugenzi wa mawasiliano wa NCCR Mageuzi Dr Edward Simbeye amesema chama chake kiko tayari kushirikiana na vyama vingine vyenye mrengo wa demokrasia katika uchaguzi mkuu. Source: East Africa Radio
1 Reactions
78 Replies
6K Views
Napenda kuungana na mamilioni ya Watanzania kumpongeza Dkt. John Pombe Magufuli kuchukua fomu ya kugombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ninamtakia kila la heri airejeshe tayari kwa...
8 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom