Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ni meya msitaafu wa manispaa ya Bukoba kwa akina Rwetabangula,Rweikiza ,etc Kusema ukweli jamaa ana ushawishi wa kisiasa hatari, angekuwa mtumishi wa Jehova nafikiri hata shetani angetubu na...
1 Reactions
111 Replies
13K Views
Habari wakuu? Ipo hivi kelele zote hizi za upinzani sijui CHADEMA au ACT-Wazalendo pote huko kuna watu wanajua kabisa hiki chama kikiingia madarakani mmoja wapo wagombea wao akapata Urais basi...
1 Reactions
9 Replies
826 Views
Moja ya makundi yaliyojeruhiwa kimaslahi kwa hii miaka 5 iliyopita ni kundi la Wafanyakazi wa Umma. Bila ongezeko la mshahara, ambalo lilikuwepo kisheria, kila mfanyakazi wa umma amejikuta...
12 Reactions
24 Replies
2K Views
Amani iwe kwenu ndugu wanaJF. Kwanza kabisa napenda kuchukua nafasi hii kukupapope Mr. Lissu kwa madhira uliyoyapata, kwa ujasiri wa kurudi nyumbani (najua mtu mwingine angeogopa kabisa kurudi...
1 Reactions
7 Replies
987 Views
Jana jioni nilikuwa naongea na walimu fulani aisee CCM imepoteza kwao. Nilijaribu kujifanya Mimi ni mwanaCCM nikaimba ngojera ya stiglaz standadgeji vivuko uchumi wa kati flyova nk. Majibu yao...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kila nikiwasikia ACT-Wazalendo wakizungumza naona wanatia sana Huruma na wakati mwingine hadi 'wanalazimisha' Waungane na CHADEMA lakini kila nikiwasikia CHADEMA wao nawaona hawataki huo...
4 Reactions
67 Replies
5K Views
Wajumbe kwa mambo yanavyoonekana hivi sasa na mwenendo wa CCM kujibu hoja za Lissu, nathubutu kusema kama Tume ya Uchaguzi ikitenda haki basi Lissu anaingia Ikulu asubuhi saa nne na pia kama Tume...
12 Reactions
23 Replies
2K Views
Wewe kijana ambaye mwaka wa tano sa hivi toka uhitimu babo una loblob mtaani tu huna kazi. Huu ndio wa kati wa kumeki future yako, huu ni wakati wa kati wakutumia vizuri haki yako ya kikatiba...
2 Reactions
5 Replies
807 Views
Alikua akitembea huku akipepesuka njia nzima mida ya saa tatu usiku. Alikua akiongea peke yake muda mwingi,lakini kila aliyekutana nae alimshirikisha furaha yake bila kujali anamshirikisha Nani...
36 Reactions
101 Replies
5K Views
Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa mgumu sana kwa pande zote mbili, CCM na upinzani, kwa CCM ni uchaguzi wa kufa na kupona, CCM itatumia mbinu zote halali na haramu kuhalalisha ushindi, ikiona...
9 Reactions
20 Replies
3K Views
1. Kitendo cha mgombea wenu kujihakikishia kuwa ameshinda hata kabla ya kampeni na matokeo ya uchaguzi yatakapotolewa asitangazwe mshindi, kuwahamasisha wananchi waingie mtaani kuleta fujo...
7 Reactions
79 Replies
5K Views
Nasema hivi, shukrani kwa ccm mlipotufikisha ,asanteni sana naamini bado mna nguvu ya kuendesha nchi hii hata kwa miaka 100 ijayo ILA NYIE CCM, ACT NA CHADEMA MNAKERA SANA Wengine siyo washabiki...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Na Shilatu E.J Mmojawapo wa watarajiwa kugombea urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekuja na kauli mbiu ya "Ni yeye", Mwambieni Watanzania tunajua na tunatambua kuwa ni yeye yeye. Twende...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Mwambieni Msajili wa Vyama vya Siasa akasome Sheria ya Nembo za Taifa ya 1971 ili ajiridhishe kama Wimbo wa Taifa ni mojawapo ya Nembo za Taifa zinazolindwa kisheria kabla hajatoa vitisho vya bure...
44 Reactions
333 Replies
29K Views
Hakuna grand coalition ya wapinzani, hakuna makubaliano rasmi kwa maana ya MOU kwa sababu sheria na kanuni mpya za uchaguzi zimeshawapiga stop kua wamechelewa Lakini kuna Gentlemens' Agreement...
12 Reactions
83 Replies
5K Views
Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na...
10 Reactions
80 Replies
8K Views
Wakuu habarini za kitambo kidogo na poleni sana kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na mpendwa wetu Rais Mstaafu Mzee Benjamini Mkapa (R.I.P), Kwa muda mrefu huko nyuma nilikuwa najiuliza...
7 Reactions
57 Replies
4K Views
Muheshimiwa Tundu Lissu, Kwanza napenda kukupongeza kwa kuteuliwa kwako kupeperusha bendera ya chama chako katika uchaguzi huu wa 2020. Pili, Sera hii yako ya Mifumo ya kifalme ni sera moja...
3 Reactions
0 Replies
623 Views
Mwaka 2015 mlipomsimamisha Edo, tuliwaacha tukijua jamaa anaushawishi sana, kiukweli niliipigia kura chadema kwanzia udiwani ubunge mpaka Uraiasi, Natoa taarifa sio ombi, msipomsimamisha...
10 Reactions
42 Replies
3K Views
Kila unapofika wakati wa Uchaguzi kama huu, yanasemwa na kufanywa mengi. Moja kati ya maneno yanayosemwa sana ni kugawana/kugawa kura kwenye Uchaguzi. Kauli hii ndiyo imekuwa hoja hata ya kuwataka...
0 Reactions
7 Replies
981 Views
Back
Top Bottom