#HABARI Makamu Mwenyekiti wa CUF Bara Mhe.Maftah Nachuma ameshinda kura za maoni katika Jimbo la Mtwara Mjini, Mhe. Maftah ndiyo atapeperusha bendera ya Chama cha Wananchi CUF katika Jimbo la...
Haya ni maoni yangu kwenda kwa watunga sera wa Chama Cha Mapinduzi, ikumbukwe mwezi Julai 2020 kulikuwa na kura za maoni kwa waliokuwa wanadhamiria kugombea nafasi ya Udiwani na Ubunge katika...
Bila kupepesa macho mtu anaeweza kuleta siasa za ushindani kwa chama tawala mwaka huu na hata lolote kutokea kwenye sanduku la kura ni TL.
Nawashauri CHADEMA wisifanye kosa la 2015 la kubadili...
Kampeni za uchaguzi wa mwaka 2020 zilikuja na vituko vyake. Moja ya vituko hivyo lilikuwa ni kitendo cha Magufuli kujaribu kuwashawishi Watanzania kuwa alifaa kuwa Raisi wa Tanzania kwa kuwa...
WASIMAMIZI wa uchaguzi wa mikoa na wasimamizi wa uchaguzi mkuu ngazi ya wilaya na majimbo, wameagizwa kuhakikisha simu zao zinakuwa wazi katika kipindi chote hadi uchaguzi utakapomalizika na...
CCM imefanya mambo makubwa ndani ya hii miaka 5 ya Rais Magufuli na hili wananchi wote wanalijua.
Tundu Lissu amekuwa ni mtu wa kulalamika na kushutumu huku akipinga kila jambo litendwalo na CCM...
CCM bila vyombo vya Dola ni sawa na TLP tu
Tangu magufuli kaingia madarakani kalisahau kundi kubwa la vijana hasa kwenye suala la ajira
CCM chini ya Magufuli imetumia mabilioni ya watz kununua...
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Laurance Masha (kulia) akichukua fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi-CCM kupeperusha bendera Jimbo la Sengerema
Sitaki kusema mengi, lakini kundi hili lipo kimya, halina kelelee.
Walichofanyiwa miaka 5 wanajua cha kufanya. Ni kundi dogo ila lina ushawishi wake. Kumbuka mtumishi mmoja anategemewa na wastani...
1. Mueleze bila kupepesa macho tatizo la utapiamlo kwa watoto wachanga na mna mikakati gani. Waziri wa Afya ummy Mwalimu amesema takriban asilimia 31.8 ya vitoto vichanga nchini chini ya umri wa...
Anaandika mbobezi wa tasnia ya habari, mwanahabari Ndg. DOTTO BULENDU;
2015 Vyombo vya Habari hususani TV viliweka utaratibu mzuri wa namna ya kuandika na kutangaza Habari za Kisiasa hususani...
Nitumie fursa huu kumshukuru mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwa kujibu swali nililouliza hapa jukwaani
Lissu amesema mwaka 2005 kampeni za Urais ziligharamiwa na wanachama, mwaka 2010...
Kabla siajaenda mbali sana, ninaomba nianze kwa kusema kwamba nimepata fadhaha kubwa jinsi ya Kuwaita nyinyi wote mliokusanyika hapa katika ukumbi huu kama baraza kuu la Taifa la chama chetu...
Watanzania kama mnakumbuka, moja ya kauli ya kibaguzi ni ile iliyowahi kutolewa Mwanza na Bwana yule akiagiza wakazi wa huko wasibomolewe kwa sababu eti walimpigia kura wakati Dar-es-Salaam watu...
Mpaka muda huu, nashindwa kuwaelewa Nyalandu na wenzake kwani nyakati zinambeba Lissu kwa asilimia 100.
Kwa hali ilivyo, ingekuwa ni katika nchi za wenzetu,mfano US, mtu kama Nyalandu naamini...
*Kutoka Mlimani City*
Mbunge Wa Mlimba Susan Kiwanga Anusulika Kipigo Kutoka Kwa Vijana Wa Chadema Wakiongozwa Na Francis Garatwa,Akituhumiwa Kumfanyia Kampeni Nyalandu
Mama anataka kuchomoa...
Nimefuatilia kimyakimya lakini kwa umakini mkubwa shauri la Lissu Mahakama Kuu ya Tanzania kuhusu Ubunge wake. Kuanzia siku alipowasilisha Maombi yake hadi leo ulipotolewa uamuzi wa kuyatupilia...
Baada ya kutoka na Tundu Lissu kama mgombea Urais kwa upande wa CHADEMA hiyo ilikuwa sahihi na jambo tulilolitegemea.
Kuhusu mgombea mwenza Salum Mwalim hapo nawapa pole huyo jamaa aliwaponza...
Habari kutoka huko jimboni Kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.
Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa CCM na kuambulia kura 2 ameamua...
Kwa maneno yao, wameonewa kiasi cha kutosha, wamefungwa kiasi cha kutosha, wamepigwa risasi kiasi cha kutosha.
Wako tayari kuingia barabarani watakapo dhurumiwa kura.
Sasa basi. Imetosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.