Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Naomba nitoe ushauri kwa chama tawala. Kwanza nirudie maneno ya Mzee Kinana " Hakuna uchaguzi rahisi". Pili naomba nishauri. Katika mchakato wa kura za maoni wagombea wengi walijitokeza. Kati ya...
0 Reactions
6 Replies
830 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wafanya biashara wa mazao eneo la Dumila na kuwaahidi kuwapatia shilingi Milioni mia moja kwa ajili ya Ujenzi wa...
4 Reactions
51 Replies
6K Views
Kuna mama mmoja alimuhoji Tundu Lisu kwenye mkutano wa baraza kuu. Aliuliza wewe Kama mgombea urais una mpango gani kutusaidia kifedha wagombea wengine wa udiwani na ubunge? Akajibu hela Hana...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu. Jimbo la Masasi ambalo lilikuwa chini ya mbunge Dkt Chuachua! Kwenye kura za maoni Dr chuachua alipigwa chini na mwambe ambaye anaonekana ana ushawishi mkubwa sio kwa wajumbe...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mgombea wa Chama cha Democratic Part (DP) Philipo John Fumbo, amekuwa mgombea wa pili kuchukua fomu ya NEC, kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwaajili ya kugombea kiti cha Urais...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Mgombea wa Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA) Leopold Mahona, amekuwa wa tatu kuchukua fomu ya NEC kwa ajili ya kugombea kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mgombea...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nitabakia CCM ila mwaka huu naamua kufanya maamuzi magumu. Kura yangu nitaipeleka kwa mtu mwengine, mbunge mwengine, simupi mugombea yeyote wa CCM, yaani ni maamuzi ambayo ninataka kuona kama...
15 Reactions
40 Replies
3K Views
Mada inahusika. Napenda kuwapa ujumbe huu maalum kwenu mkiona inafaa kuuzingatia kuelekea uchaguzi wa Oktoba, 2020. i. Senario za Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019 na kilichotokea , ziwape...
1 Reactions
4 Replies
759 Views
Kuna wana CCM ukiwasikiliza kuhusu huu uchaguzi, unaweza ukadhani akili zao zina matatizo. Nikiwa kama mwana CCM huru na kwa namna nilivowaona wajumbe wa CCM kwa kweli mwaka huu si wakubeza. Kuna...
8 Reactions
19 Replies
2K Views
Hivi ccm na mwenyekiti wao pamoja na kuteua mkuu wa majeshi, wakuu wa mikoa, ma IGP na viongozi wote majeshi ya ulinzi na idara zake zoote, bado wanawaswasi na uchaguzi. Ameteua Tume ya Uchaguzi...
3 Reactions
7 Replies
788 Views
Ndugu zangu mpaka kufikia sasa, bado sioni kama upinzani wa Tanzania uko na energy ya kuweza kuchukua na kuendesha dola Oktoba 2020. Sababu ni nyingi, ukiacha nguvu ya CCM kwa sasa, upinzani huu...
0 Reactions
4 Replies
789 Views
Ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro inamchunguza Mbunge wa Viti MAALUM (CCM) Dk.Christine Ishengoma, kutokana na tuhuma za kugawa rushwa kwa wapiga kura...
3 Reactions
13 Replies
4K Views
Kauli iliyotolewa jana na Jaji Kaijage ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya kuvitaka vyama kuteua Wagombea makini ili baadaye Tume isilaumiwe siyo ya bahati mbaya. Taarifa...
34 Reactions
124 Replies
13K Views
Ndugu zangu, Ukiacha jinsi alivyosimamia rasilimali kwa maslahi ya Watanzania namna alivyolikabili janga la COVID-19 hususani dhidi ya sera dhidi ya WHO na baadhi ya mataifa mengine. Tukija visa...
9 Reactions
91 Replies
4K Views
Ieleweke tu kuwa Lissu hagombei urais ili awe kiongozi, maana anajua wazi hatapenya na hata heka heka za kampeni kwa hali yake hatoweza. Anachotafuta Lissu ni platform ya kumshambulia Magufuli na...
23 Reactions
80 Replies
8K Views
Kampeni za chama zimeisha na tayari chama kimempata mgombea ambaye ni Tundu Lissu. Tunampeleka kwenye mkutano mkuu na naamini atapata baraka za mkutano mkuu. KAZI ZINAZO FUATA NI KUMUUZA MGOMBEA...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Japo hili bango huwezi sema ni la kampeni,lakini ni wazi iwapo Lissu atapitishwa,bango kama hili linaweza kutumika na huenda kwa sasa wana-test tu mitambo. Ushauri wangu:kauli mbiu hii kwa sasa...
7 Reactions
28 Replies
5K Views
Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika amesema kuwa Tarehe 08 Agosti, saa tano kamili asubuhi mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA, atakwenda kuchukua fomu DODOMA.
18 Reactions
43 Replies
4K Views
Miaka mitanobiliyopita alikuwepo diwani anaitwa watende wa viti maalum CCM. Huyu diwani aliwatesa sana wananchi na wakulima wa maeneo hayo kwakusababisha mashamba yao kuporwa na wamasai na...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwenye uchaguzi wa 2020 Ni vigumu kusema CCM itashindwa na chama cha upinzani, lakini Vyama vya upinzani vinaweza kupata viti vingi vya ubunge na udiwani kama watamwachia Mh. Membe awe mgombea...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Back
Top Bottom