Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kinakusudia kuweka wagombea katika majimbo na kata zote Tanzania Bara na Visiwani katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi oktoba 2020 (Mwaka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kamati Kuu ya ACT Wazalendo inafanya kikao leo 02 Agosti 2020. Kikao hichi ni maandalizi ya Mkutano Mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 05 Agosti 2020. Kikao kinafanyika Lamada Hoteli jijini...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Mkutano wenu unaoanza leo umebeba matumaini kwa Watanzania wanyonge sio wanyonge wa CCM kina MO. Umebeba matumaini kwa wafanyakazi wa umma ambao hawajaongezewa mishahara kwa zaidi ya miaka mitano...
10 Reactions
25 Replies
2K Views
Wanataka twende naye akatetee ACACIA kutufisadi? Ni ngumu kwenda naye; wanataka twende naye kwenye sera ya kuwatetemekea wazungu. Anaweza toka Ubelgiji kwenda UK na Marekani kuongea, ila kutoka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tundu Lissu alipoteza ubunge wake kwa kosa la kukiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma No.13 ya mwaka 1995. Wanasheria wake walifungua kesi mahakama kuu kupinga adhabu hiyo lakini...
8 Reactions
63 Replies
5K Views
Lissu anastahili na anafaa kupitishwa na CHADEMA kuwa mgombea wao wa Urais Sababu kuu kabisa ni mpinzani wa dhuluma halisi tangu utoto wake, hapendi watu kuonewa Wala kuonea,anapenda Haki na ndio...
2 Reactions
4 Replies
980 Views
Mosi, Membe ni mwana diplomasia aliyebobea Pili, Membe mwana intelejensia Tatu, Membe ni mwana seminari Hayo maeneo matatu hutoa watu wenye maono hata kama unaangukia kwenye kundi moja kati ya...
5 Reactions
65 Replies
5K Views
HUwa naamini, kipimo cha mtu kutoka CCM kuja Upinzani na kuaminiwa kuwa ameachana na CCM lazima afanye mambo mawili. 1: Akae upinzani angalau kwa awamu mbili bila kuonyesha uswahiba wowote na CCM...
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Mwaka huu kama umegombea kwenye kura za maoni, ukashinda halafu kamati kuu au wenye chama wakakata jina lako huna mbadala kama iliyokuwepo siku za nyuma, kwamba utakimbilia upinzani ugombee. Kama...
13 Reactions
54 Replies
5K Views
Inapotokea mtifuano ndani ya chama, wana CCM ambao hawaridhishwi na maamuzi fulani ya chama chao, hawako tayari kujenga nguvu ya kuipinga CCM kwa kuungana na vyama makini na vikongwe vya upinzani...
1 Reactions
3 Replies
683 Views
ACHUNGUZWA NA TAKUKURU MKOA WA MBEYA Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Mbeya inamchunguza Bw ADAM HUSSEIN SIMBAYA wakala wa mgombea wa nafasi ya viti maalum UVCCM mkoa wa Mbeya...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Masoud Kipanya katika kipindi cha Cloud Plus wakati wa kura za maoni za CCM nilimnukuu akisema Wajumbe wa CCM huenda hawakupewa rushwa kabisa lakini walikuwa wanajua Mgombea yupi ana hela kwamba...
13 Reactions
97 Replies
7K Views
Tayari vyama vingi kama si vyote vimefungua pazia kwa watia nia kuelekea ucjaguzi mkuu wa mwaka 2020. Kumekuwa na pilikapilika za huku na kule kwa wanachama wa vyama vya siasa kutia nia ya...
9 Reactions
38 Replies
3K Views
Kanda ya ziwa ni ya Magufuli Mwanza, Shinyanga, Kagera, Mara na Tabora na Simiyu. Membe anachukua mikoa ya kusini ya walima korosho Lindi, Ruvuma, Mtwara, kwa msaada na nguvu ya Zitto Kabwe Membe...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Kuna barua inazunguka inayoonesha kuwa ni ya William Ngeleja aliyekuwa mbunge wa Sengerema akilalamikia zoezi la kura za maoni jimbo la Sengerema. Katika barua hiyo Ngeleja analalamika kuwa...
7 Reactions
51 Replies
8K Views
Wanabodi. Nawashauri Chadema kwamba: Andaeni ajenda msiandae wagombea. Wagombea wakipatikana kupitia michakato mliojiwekea watembee katika ajenda zenu kuu kulingana na jinsi nchi ilivyo kwa sasa...
11 Reactions
71 Replies
5K Views
Ndugu zangu, Japo watakasirika lakini hamna jinsi,huu ndio ukweli japo wenyewe wanajinasibu kuwa vyama mbadala kushika dola lakini kiuhalisia wote akili yao ni kila chama kinataka kuwa chama...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Huku tukiwa tunasubiri mkutano mkuu unaze hapo kesho, nipende kuwajulisha kuwa chama kama chama kina weledi na intelijensia ya kutosha hasa wakati huu wa vikao vya chama. Chadema ni taasisi imara...
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji wa Rufaa mstaafu, Semistocles Kaijage, amesema daftari la wapiga kura lina wapigakura milioni 29,188,347. Nipashe. Kimahesabu hapo najua...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom