Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimefanikiwa kupitia mikoa zaidi ya saba bara tangu Lissu arejee nchini na kuonesha nia ya dhati ya kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, nimekutana na watu wengi lakini jambo kubwa...
32 Reactions
110 Replies
7K Views
Habari kubwa kwenye magazeti ya Leo ni kauli aliyoitoa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ya kuwapiga mkwara mzito, wagombea wa vyama vya upinzani kuwa wasitumie majukwaa ya kisiasa katika kipindi hiki...
41 Reactions
114 Replies
9K Views
Hayawi hayawi sasa imekuwa hatimaye Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu achukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Tanga Mjini. WanaTanga Mjini hatuwezi kukubali kazi kubwa uliyoifanya iende buree...
10 Reactions
59 Replies
7K Views
Kwa kinyongo cha Serikali hii hadi kuvitishia na ama kuvizuia Vyombo vya Habari kutangaza habari za za Tundu Lissu inabidi CHADEMA wabadili upepo wao wakati wa kampeni. Helkopta itumike kidogo -...
17 Reactions
34 Replies
3K Views
RaisMagufuli umejitahidi Sana kwenye ujenzi wa miundombinu, na kurejesha nidhamu kwenye utumishi wa umma na kiasi fulani kupunguza rushwa "ndogondogo". (Rushwa kubwa kubwa imeongezeka Sana)...
19 Reactions
107 Replies
6K Views
Ahadi za ACT Wazalendo Jamhuri ya Muungano ZITATEKELEZWAJE? 1. Elimu ya Juu: Kufuta mikopo yote ya miaka ya nyuma iliyotolewa kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu na kuanza kutekeleza Mfumo mpya wa...
26 Reactions
60 Replies
6K Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba yule mtu aliyesubiriwa kwa hamu na Watanzania , ameanza ule mchakato muhimu . Taarifa zinaonyesha kwamba maombi ya watanzania yamejibiwa baada ya Mh Lissu...
95 Reactions
341 Replies
27K Views
Dhambi nyingine ni za kujitakia tu, KC Zitto unaamini kabisa BKM amekuja ACT wazalendo ili amuunge mkono mgombea wa CHADEMA? Hiyo unaweza kuwadanganya watoto wadogo lakini sisi tulioshiriki...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kila kona ya nchi na dunia kwa ujumla wanasema Tundu Lisu ndiye mwenye nafasi ya ushindi ktk Uchaguzi wa mwaka huu. Na ndiyo maana hata jana 8/8/2020 alipokuwa akichukua fomu pale jijini Dodoma...
18 Reactions
98 Replies
9K Views
Inachekesha Sana kwamba Kama nchi tuna chombo Cha kupambana na Rushwa Ila Hadi Leo tunavyoongea Hakuna mtia Nia wa chama chochote aliyepelekwa mahakamani kwa tuhuma za kugawa Rushwa ingawa Rushwa...
10 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari wadau, Nimeona niseme jambo kuwa vyama vya upinzani Tanzania vyote vipo kimaslahi zaidi; hamna chama kipo ili kimtumikie mwananchi. Na kama kweli wapo ili kumtumikia mwananchi kwa yale...
2 Reactions
10 Replies
826 Views
Ushauri wangu:CHADEMA waandae na wasambaze kwa wingi vipeperushi vyenye sera hizi kuanzia kwenye madaladala,mabasi ya mikoani,sokoni,kwenye mabaa, na sehemu nyingine zozote zile zenye mikusanyiko...
47 Reactions
182 Replies
13K Views
Ilani 2020: ACT-Wazalendo Kujenga Utajiri wa Jamii kupitia Ushirika wa kisasa. Kuongezeka kwa tofauti za kipato huku matajiri wakizidi kunufaika na mifumo ya kiuchumi iliyopo pamoja na ukosefu wa...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakati joto la uchaguzi mkuu likizidi kupanda, matumbo ya waliopendekezwa na mikutano mikuu ya majimbo na kata nayo yanazidi kupata moto. Ni siku kadhaa zimepita tangu mchakato wa kura za maoni...
7 Reactions
26 Replies
5K Views
Kuna maneno nimemsikia katibu akiongea wakati Tundu Lissu anakabidhiwa fomu, nikaona ni busara ya hali ya juu sana ambayo hata Madiwani na watia nia Ubunge wangepewa hiyo fursa. Nimemsikia...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Ni wazi kuwa Lissu amekuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wananchi kwa miaka mingi, pia ni wazi kuwa kwa sasa yeye ndiye mwanasiasa pekee wa upinzani mwenye uwezo wa kumtikisa Magufuli. Lakini...
13 Reactions
104 Replies
5K Views
CHADEMA WAMEONYESHA UBINAFSI: NI KUHUSU WIMBO WA TAIFA. Na, Robert Heriel Nimesikitishwa sana na kile nilichokiona leo kwenye mitandao ya kijamii. Ni video moja ikiwaonyesha wanachama wa CHADEMA...
6 Reactions
27 Replies
4K Views
Kwanza kwenye vita hakuna kulemba hata sisimizi ni wa kumfinyanga finyanga. CCM tumejiandaa kufanya kampeni za kijeshi nchi nzima usiku na mchana nyumba kwa nyumba kitanda kwa kitanda...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo: 1. Dar-es-Salaam (anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu) 2. Arusha(75-80%) 3...
47 Reactions
158 Replies
12K Views
Back
Top Bottom