Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wakuu so far wabunge wamejitahidi kuwa karibu na wananchi, kufuatilia yanayojiri nk... Ila mbunge wa kigamboni kwakweli ameiangusha kabisa CCM, bado yupo usingizini :hand:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
To be honest with myself napata tabu sana kuona tija kwa wide community (obviously kwa watawala labda zinalipa sana) katika hotuba za JK ambazo huzitoa mwishoni wa mwezi kwa taifa pale inapobidi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Uchaguzi umeisha lakini kuna kesi mbalimbali zimefunguliwa kupinga matokeo ya baadhi ya majimbo. Moja ya majimbo ambayo CCM ilitumia nguvu za wazi na kunyang’anya ushindi (si Kuchakachua) ni jimbo...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kweli dunia inaficha mengi kutoka Generali hadi kwa RA hadi kwa Bashe???Kazi ipo!
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Kufuatia Kauli chafu ya Vitisho kwa Wananchi iliyotelewa na Raisi Jakaya Kikwete ya Kuwadanganya Wananchi kuwa Chadema wanavuruga Amani ya nchi, mimi kama mwana diplomasia Kauli hiyo nimeiona ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tanzania ni miongoni mwana nchi tajiri kwa amani na utulivu, lakini kwa sasa hali inaoneka kuwa sio nzuri kutoka na msuguwano wa kisiasa kati ya chama tawala ccm na chama pinzani chadema. ccm...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu Watanzania wenzangu, (munaopenda maendeleo ya nchi na musiopenda pia) Leo ninacho cha kushare na nyinyi kuhusu mwenendo mzima wa nchi yetu ya Amani na upendo, nimeamua kushare hivi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Uchakachuaji wa kura ni uhaini Prudence Karugendo Tanzania Daima Tumemaliza Uchaguzi Mkuu, tumempata rais, wabunge na madiwani. Kwa upande wa Tanzania Visiwani wenzetu wamenufaika zaidi kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ice Cream zitokanazo na maziwa ya Mama zauzwa 25/02/2011 Mgahawa mmoja mjini London nchini Uingereza kwa jina, Convent Garden, umeanza kuuza 'ice cream' zilizotengenezwa kwa maziwa ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kutakuwa na kongamano kubwa la kujadili mustakabali wa siasa za nchi hii toka harakati za kudai uhuru hadi leo. Kongamano litakuwa live kupitia radio IMAAN Kuanzia saa tatu asubuhi. Sikiliza upate...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nguvu ya uma haichezewi,nguvu ya uma haina msomi,nguvu ya uma haiogopi vyombo vya dola nguvu ya uma ni Ishala kwamba ya umoja na si unafiki DONT PLAY WITH PEOLES POWER.:second::second::second:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu wote,mi naona ni vyema tukaanza kujiandaa kumpa urais Dr Slaa 2015. Serikali hii bado imeshindwa kutatua matatizo yetu ya msingi. Wananchi wameanza kuonja madhara ya kuvaa kofia,T-shirt...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
  • Closed
M. M. Mwanakijiji SIJUI kama mwenzangu umegundua kuwa siku za karibuni wanasiasa wetu na watawala wetu walioshindwa wameanza kulalamika kuwa kuna udini unaingizwa katika kampeni hizi huku...
0 Reactions
1K Replies
96K Views
ililkuwa kama zile sinema za akina rambo na waigizaji wengine,tbc kwa kile cha kulinda maslahi ya wakubwa wakaamua kukatiisha kurusha matangazo kwa sababu mabere marando alikuwa akifichua ufisadi...
0 Reactions
73 Replies
8K Views
Siasa za Tanzania hazina tofauti sana na siasa za nchi nyingi za Kiafrika, ukiondoa Ghana, Botswana na Afrika Kusini. Chaguzi zetu huwa zinajaa utata mwingi na mara nyingi hazitoi matokeo halisi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tarehe 10.10.2010 wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu ndugu Emmanuel Nchimbi ambaye wakati huo alikuwa anagombea ubunge jimbo la Songea mjini aliwaahidi wananchi wa manispaa ya songea kuwa tattizo...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu,hizi taarifa ni za kweli?:Kwamba wabunge wetu wa Chadema wameziktaa sh milioni 90 walizopangiwa kuchukua ili kila mmoja anunue gari.Wabunge wamefikia hatua hiyo ili kuonesha uzalendo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hivi najaribu kujiuliza Ki-protokali Matamshi ya Shimbo yana mhusisha vipi Mkuu wa Majeshi Mwamunyange? 1. Kama Shimbo anaagizwa afanye nini na Mkuu wa Majeshi, je Mwamunyange haoni kwamba...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ukweli jamani upo pale pale kuwa Mkwere 2010 hakushinda, na dhambi ya wizi daima watz tutaona matokeo yake........
0 Reactions
57 Replies
6K Views
Toka kampeni za uchaguzi mkuu wa 2010 zilipoanza, CCM wamekuwa na wakati mgumu wa kuwaaminisha watanzania kuwa bado wana uwezo wa kuendelea kuliongoza Taifa hili kutoka kwenye lindi la umaskini...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom