Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Dah! Sio siri, niliisahau kabisa hii forum baada ya kuzani uchaguzi mkuu umeshaisha!!!! Anyway, bado nina kumbukumbu kwamba humu jamvini watu hatuna uvumilivu wa kuona maoni yanayotofautiana na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ndugu wana jamii wenzangu, jana wakati Chadema wanatoka Bungeni kupinga mabadiliko ya kanuni kuhusu tafsiri ya neno KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI wabunge wengine waliwazomea, kwa mimi nilisikia...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Mimi ni mzaliwa wa Mwanza, kutokana na mgawanyiko wa Majimbo ya uchaguzi, naweza kusema nimezaliwa katika Jimbo la Ilemela. Wakati wa Kampeni za Uchaguzi habari nyingi kutoka Mwanza zilikuwa juu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Waangalizi EU: Matokeo ya urais Bara, Z’bar hayakuwa wazi na Bakari Kimwanga WAANGALIZI wa Uchaguzi Mkuu kutoka nchi za...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hatimaye maadui wawili wamepangwa kamati moja ya bunge ya fedha na uchumi. Nina wasiwasi HAMAD RASHID kwa uzoefu wake bungeni atam-buruza mhe. mbowe katika maamuzi.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
CCM kama kawaida yao wanachukua the best. Slaa alishinda uchaguzi, wakuu wa vyama wakamtosa (wakafuata ushauri wa Kiranga). Kwa vile Slaa alikuwa kapi, CCM walitaka ngano, wananchi wa karatu...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Hali ya afya ya Mfalme Abdullah ibn Abdulazizi wa Saudi Arabia imeripotiwa kuzorota zaidi kutokana na juhudi zake za kuzuia kutimuliwa madarakani dikteta wa zamani wa Misri Husni Mubarak. Duru...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya viongozi wa ngazi za juu serikalini, zenye kuashiria kwamba serikali ilikuwa tayari kuilipa Dawans, zimetafsiriwa na wadadisi wengi wa habari kuwa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Uchaguzi umekwisha, tuchape kazi - Mahanga na Mwandishi wetu MBUNGE wa Jimbo la Segerea, Makongoro Mahanga (CCM)...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Written by amini // 12/02/2011 // Habari // No comments Serikali ya Uswisi imetangaza kutaifisha mali zote za Dikteta Hosni Mubarak,ambaye jioni hii ameng’olewa madarakani na nguvu ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani hiki sio kiinimacho? Kweli IPTL, DOWANS zitashughulikiwa kwa hali hii. NAHISI kamati hii ni nzito sana kwa mhe. makamba.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna kila dalili kuwa huyu mama atashindwa kulimudu bunge la kumi. Anaendekeza sana itikadi za vyama kuliko ukweli. Kwa mtu yeyote mwenye jimbo lake hata kama angekuwa yeye ndiyo mbunge wa arusha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani tunaomba wabunge wa CDM wawe makini sana. Wenzao wa CCM, CUF, TLP na NCCR wamezama na kubobea kwenye siasa kwa muda mrefu. Nina wasiwasi kuwa badala ya kujijenga kwenye bunge hili ili...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Jana niliweza kufuatilia mjadala uliokuwa unaendelea bungeni, kimsingi Nidhamu iliyokuwa ikionyeshwa na baadhi ya wabunge na lugha ambazo walikuwa wanazitoa kwangu mimi zimenivunja moyo sana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Madiwani Arusha kuanza vikao kwa mvutano Na Omari Moyo, Arusha KIKAO kwanza cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kinaanza tayari kuunda Kamati za kudumu za halmashauri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sakata la Dowans bado linaendelea, Watanzania kama kawaida yetu ya kuingizwa mkenge na kushikia bango kiasi cha kuamini mambo bila kuwa na uhakika na undani wa jambo husika bado tunajitahidi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Pamoja na Bw. Mapesa kueleweka kwa utendaji mbovu wa kutetea serikali ya kifisadi ya CCM na kuzima hoja za kimsingi alipokuwa mwenyekiti wa kamati za usimamizi wa mapesa yetu yanayohujumiwa na...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
5. Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana. 6. Maana atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimewasikiliza hawa wabunge jana wakiongea kama wabunge wa CCM. Hamadi Rashid anasema eti Spika ametupatia ushauri mzuri wabunge wa upinzani. Cheyo naye anasema eti siasa za nchi isitawalike. Sasa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/09/2010) kurudi Dar kwa mapunziko Magazeti ya...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom