Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Sina nia ya kuchimba mtu kwa saana, lakini picha za hivi karibuni za huyi Muhishimiwa Mrema naona kama mzee kazoofu hivi ama macho yangu tu?
0 Reactions
63 Replies
12K Views
Pinda amweka kiti moto Mwema sakata la Arusha Monday, 10 January 2011 21:39 Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameingilia kati vurugu zilizotokea...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
I speak with anger mixed with bitterness. I was not born yesterday, so at least I know some thing. i qualify to speak on this as a Christian, so devoted to my faith that I have learned to be a...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndugu zangu kutokana na kumbukumbu zangu leo ni siku ya kesi ya viongozi wetu huko Arusha,kwa taarifa niliyonayo watu wengi hivi sasa wanaelekea mahakamani kusikiliza mashitaka ya viongozi wetu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dhuruma ya CCM waliyoifanya Arusha, wanatofaiti gani yale ya Comoro and Ivory Coast? CDM wataomba majeshi wapi kumg`oa dmeya huyu?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mgombea ubunge katika jimbo la maswa magharibi (chadema), john shibuda, amemtaka mgombea urais kupitia ccm, rais jakaya kikwete, kuachana na harakati za kuwania nafasi hiyo na badala yake ampigie...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kama polisi hawana utu mie napendekeza tupandikize mbegu ya chuki miongoni mwa jamii tuwatenge , tuwafukuze kwenye nyumba zetu walizopanga , maana wameuwa arusha na jana wameuwa Mbalali
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Jamani ilikuwa ukifika maeneo ya nyegezi mwanza ilikuwa inakera sana kuona msururu wa mabango ya masha yakiomba kura kibubububu.. Je, bado yapo mitaani? Au anaona aibu kuyaondoa?????
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau, hebu mwenye data zaidi aweza kuzimwaga, maana nimekutana na hii taarifa, je, ina ukweli wowote wandugu? Ni haramu kuilipa kihalali kampuni haramu! La Dowans ladhihirisha namna Tanzania...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Inasemekana kutoolewana kwa wabunge wawili (CCM) wa jiji la Mwanza kumechangia kwa kiasi fulani kushindwa kwao. Nasikia mmoja alimwaga mboga, na mwingine akamwaga ugali. Nyepesi zinasema...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
DHANA YA KWAMBA URAIS NI RAHISI NI KUWATANIA WATANZANIA! Wapinzani wakiongozwa na Chadema wanachotaka ni Urais basi! Tena Urais wa kipindi kimoja tu cha miaka mitano! Halafu wawapishe wenyewe...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
FemAct yataka meya Arusha ajiuzulu Na Gladness Mboma SERIKALI imetakiwa kuufuta uchaguzi wa Meya Arusha na kuitisha uchaguzi mwingine huru ili wananchi wachague meya mwingine...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi si Sheikh YAHYA HUSSEIN au NOSTRADAMUS. Ila ninatabiri kuwa CHADEMA itaishiwa pumzi na kufifia(kama lilivyofifia gazeti la Mwanahalisi) mwaka 2012 na hivyo kuipa nguvu zaidi CCM kupata nguvu...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
FOR IMMEDIATE RELEASE (to be published in its entirety) 9 th January, 2011 DAR ES SALAAM The Tanganyika Law Society (“TLS”) is the National Bar Association for mainland Tanzania...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ngoma CCM, CHADEMA Arusha bado mbichi *Mbunge kutoka Tanga ashiriki tena uchaguzi *CHADEMA waususia, wasema hawashiriki uhuni Na Glory Mhiliwa, Arusha MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Tanga...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
wakuu, kutokana na jinsi uchaguzi 2010 ulivyopelekea kutokea kwa matukio ya arusha; ambayo pia yanaakisi hali halisi ya yanayojiri nchini tanzania; ninayo heshima kupendekeza kuanzishwa kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi na kufanikiwa kuongoza Halmashauri ya Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro. Diwani wa Kata ya Machame Kaskazini, Clement Kwayu, ndiye...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Ni dhahiri kwamba serikali imesabaisha fujo na mauaji ya watu wasio na hatia huko Arusha, wanasheria wa CHADEMA tunawaomba wawasilishe mashataka mahakamani ili wote walio sababisha yote haya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kitendo kilichojitokeza katika jiji la Arusha kuchafuka kutokana na vurugu za kisiasa kati ya wananchi na polisi yote haya ni kulazimisha ushindi usiokubalika na wananchi wa leo Tanzania kutokana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakubwa, Nimeona ni bora nianzishe thread maalumu kwa ajili ya namba za simu za CHADEMA ili kila mwenye mapenzi mema nao awajulishe kama si kwa kupiga basi walau kuwatumia message tu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom