Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wajumbe WDC wamsusia diwani wa CHADEMA Na Said Njuki, Arusha WAJUMBE wa Kamati ya Maendeleo ya Kata (WDC) ya Elerai wamemkataa mwenyekiti wa kamati hiyo, Bw. John Bayo kwa sababu ni...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kutokana Yote Tunayafahamu Mpaka Sasa, Sharif Alipanga Kurudi CCM kwa Kupitia Njia ya Uchaguzi. Kawaida Wapinzani Dhaifu Wanarudi CCM kwa Njia ya Kutangaza Habari Maalumu Ila Sharif Ametumia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Profesa Msolla aipa somo CCM kura za maoni Imeandikwa na Frank Leonard, Kilolo; Tarehe: 26th December 2010 @ 23:44 MBUNGE wa Kilolo mkoani Iringa, Profesa Peter Msolla ameomba mfumo wa kura...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tumesubiri Mpaka Tumechoka na Bado CCM Wanatudharau na Kututemea Mate Usoni. Hili Tunalisema Kwa Sababu Ushahidi Unaonekana Wazi kwa Wananchi. Kama Wengi Tumesikia Jaji Fake Mteule Warewa Anasema...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sakata la umeya Mwanza limechukua sura mpya baada ya uongozi wa Chadema kumshtaki Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa yale yanayodhaniwa ni kuvuruga uchaguzi wa Umeya na kukipendelea...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Gazeti la Jambo Leo.....linatuhabarisha ya kuwa Profesa Lipumba ambaye vilevile ni Mwenyekiti wa CUF bado atafakari kama atashiriki mbio za uraisi 2015.................... Nilifikiri baada ya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
@ Madaraka naona nitumie taarifa yako hii hapa JF japo sio yote ,Siku mbili zilizopita, nikielekea kilele cha Mlima Kilimanjaro, katika kambi ya Barafu, ambayo ni kituo cha mwisho kabla ya safari...
0 Reactions
42 Replies
9K Views
Gazeti la Habari Leo linatufahamisha ya kuwa Mahakama zimewaonya wenye kesi za madai ya kupinga matokeo ya kura za Ubunge...........kwa kudai ya kuwa wazitafakari na kuona kama zina misingi ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jana naibu katibu mkuu wa CDM Zitto kabwe amefanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya kawawa mjini kigoma na kueleza haja ya kufanya tathnimini ndani ya chama juu ya uchaguzi uliopiita...
0 Reactions
76 Replies
8K Views
Diwani Chadema kuwania umeya Arusha Imeandikwa na John Mhala, Arusha; Tarehe: 13th December 2010 @ 11:08 DIWANI wa Kata ya Kimandolu katika Jiji la Arusha, Estomi Mallah amepitishwa na Chama...
0 Reactions
266 Replies
28K Views
With reference to african mode of assuming power,I now find it appropriate to raise a new form of government, "democratic dictatorship" This suits as far as many african leaders conduct democratic...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
CHADEMA yatoa masharti mgogoro wa mameya Na Reuben Kagaruki CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetoa masharti ya kumaliza mgogoro ya uchaguzi wa mameya katika maeneo yote...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hakika, Hakika najua kwa wale wapiganaji tumebaki midomo wazi, hatuwi twende wapi! dunia haitutaki tena, Matumaini yamepotea ghafla........, sijui tunatokaje hapa tulipofikishwa na akina Wa 16...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tanzania ni nchi nzuri ambayo viongozi wake wamekazania kuiharibu kwa makusudi. Tufunge na kuomba hawa watu wanotuharibia nchi yetu watahayari na kutuachia nchi yetu bila kutuachia matatizo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Closed
Kumezuka na zengwe kubwa la udini katika uchaguzi wa mwaka huu. Kila chama kati ya vyama viwili tajwa hapo juu vikituhumu kingine kujihusiha na siasa za Kidini na kibaguzi. 1. CCM Umekuwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa uelewa wangu mimi, najua Selikali ya umoja wa kitaifa huundwa na vyama vyote ambavyo vinahusika katika kukamilisha uchaguzi mkuu wa vyama vingi, ninapo sema hivyo namaanisha vyama vyote viwe...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Wananchi Tuanze Kufuatilia Faida za Uuzwaji wa Madini na Mikataba Hewa. Leo Hii Sijui Kama Wengi Tunafahamu Mikataba na Faida Zinazoingizwa Kutokana na Hii Migodi Yetu? Wananchi Leo Hii Hatuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kitu cha Kushangaza Kwanini Wananchi Tunawalipa Wafanyakazi wa TBC na Daily News? Watanzania Tunajua Hivi Vyombo ni Mdomo wa CCM Kwanini CCM Isiwalipe? Sisiem Si Wana Mnamiradi Yenu? Wananchi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tupo pamoja kwenye JF
0 Reactions
0 Replies
779 Views
Najua kuna wengi huenda hawakuipata hii. Nimeitafuta sijaiona jamvini baada ya rafiki kuniambia niitafute. Ila nimeikuta feacebook yake. Wanaoitafuta kama mimi, hii hapa Msimamo wa Chadema...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Back
Top Bottom