Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

AGIZO la Jaji Mkuu Agustino Ramadhan la kupatiwa dhamana kwa raia wa Afrika Kusini, mwenye asili ya Kiasia Dawid Human (48), aliyehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela na faini ya sh milioni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tukubalianeni kabisa kuwa uchaguzi umemalizika kwa salama,kama ni mechi ndio imekwisha na mshindi ameshatangazwa ,ikiwa ni rufaa basi wa kushitakiwa na kukabwa ni refa na sio mshindi ,ndivyo mambo...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Chama Tawala CCM, kimetwaa Halmashauri ya wilaya ya Kigoma. CCM OYEEEEEEE!!!!!!!!
0 Reactions
31 Replies
3K Views
wana jamii huku Arusha Mgao wawa umeme unaendelea kwa kasi kubwa sana.sijui mikoa mingine kama mnapata huu mgao au ni Arusha tu.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ndugu zangu maji ni siku ya NNE:angry: haya jatoka sijui shida iko wapi,lakini ukiletewa Bili inatisha ukingalia Bili unayoletewa na siku ambazo maji yametoka Tofauti ni kubwa sana,Tufanyeje...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ukiangalia Vitu Vinavyo Leak Kutoka Ndani ya Serikali ya Tanzania Tutaona Watanzania Tunatawaliwa na Watu Tofauti Nchini. Weakleak Imetoa Mafundisho Makubwa Kwamba Mabavu ya Mafisadi Hasa Wahindi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Imeelezwa kuwa gharama za kuendesha kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi ni Tshs Bilioni 2 kwa uchache na hizi gharama zinalipwa na waTZ waliodhulumiwa haki zao na watawala walioamua kujitangazia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Lile dukuduku la chadema kuzuiwa kufanya mkutano leo Arusha wamesharuhusiwa! Ndesamburo/Lema/Mbowe ndani ya uwanja leo:peace::whoo:WAO WANAPESA SISI TUNA MUNGU!
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Kwanini wabunge wa CDM hawakushinda katika maeneo haya? maana nashindwa kuelewa ni kwa nini raisi wetu apate kura nyingi namna hii the tusipate mbunge hata mmoja ina maana walichakachua kihivyo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Source:- RADIO 1 STEREO. "Kikao cha kumpata MEYA wa jiji la Mwanza leo kimevunjika baada ya kutokea mvutano mkali baina ya madiwani wa CCM na Chadema ukumbini" Kazi ya uchakachuaji haijaisha.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Shibuda bado anaonekana ana genes za kijani kichwani mwake.
0 Reactions
55 Replies
6K Views
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Diwani wa Kata ya Bumera kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tengera Marwa jana alitolewa gerezani kwa muda na kwenda kuapishwa wakati wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
  • Closed
Jamani eti ni kweli kuwa Chadema wamemuhujumu Zito ,niliona kwenye gazeti baada ya kutoka kwenye karamu ya chadema alikimbizwa hospitali na hivi sasa nahisi yupo Ujerumani kwa ajili ya matibabu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Bila kuuma uma maneno, ni ukweli usiopingika kuwa kanisa limetoa mchango mkubwa katika kuifikisha CHADEMA hapa ilipo leo hii. Umaarufu wa CHADEMA uliongezeka mara dufu kufuatia kanisa kutoa...
0 Reactions
65 Replies
5K Views
  • Closed
Kama inavyojulikana kote, CHADEMA na Dr. Slaa (PhD) walishinda katika mikoa ya ziwa, kaskazini, kusini na magharibi. Walileta upinzani mkubwa sana kwenye mikoa ya kati na wakamalizia kwa ushindi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
CHADEMA: Serikali ilaani vurugu Ivory Coast na Juma Kasesa CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeitaka...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tunaona Jinsi Gani JK Anachofanya Tanzania na Tutajiuliza Anavipata Wapi? Zimbabwe na Tanzania Inauhusiano Mkubwa Sana Hasa ZANU-PF na CCM. Ukiangalia Uchaguzi wa Tanzania Ulivyoendeshwa ni Sawa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watanzania Waliosimami Uchaguzi Wanasema Hadharani JK Hakushinda Kwanini Tunamwacha Anendelea Kukaa Ikulu? Tuache Kuwa na Uogo na Kukubali Kubuluzwa Kila Siku. Hawa CCM Wanangalia Joto la Nchi na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
CCM shines at elections of mayors By DAILY NEWS Reporters, 17th December 2010 @ 11:33, Total Comments: 0, Hits: 73 WHILE the Ruling Party Chama cha Mapinduzi (CCM) has won most mayoral seats in...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Jaman mi nimeckia wa2 wanasema eti leo kuna newspaper imeandika hvyo lakn mm cjaliona! kama kuna aliyeliona anijuze
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom