Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Tukitembelea Nchi Nyingi Duniani Tunaona Jinsi Gani Instutions Nyingi Katika Nchi Zao Zinavyofanya Kazi Lakini cha Kushangaza Tanzania Wafanya Biashara Hasa Wakubwa Kama Mengi Wanakula Sahani Moja...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Magazeti ya leo ya Uhuru na Nipashe yamebaini ya kuwa CCM kunafukuta moto na chanzo chake ni kuwa wapo viongozi wengi ambao hawaridhiki na jinsi kura za maoni zilivyofanyika ndani ya chama hicho...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Chama cha mapinduzi CCM Wilaya Rorya kimepata pigo baada ya madiwani wake wawili kutangaza kuachia nyadhifa zao Waliochukua hatua hiyo ni Ongujo wakibara Diwani wa kata ya Mkoma shirati na...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nikiwa kama mtanzania wa kawaida ambae ninaipenda nchi yangu,sina budi nikitoa maoni yangu. Nimejaribu kufatilia sana siasa za Tanzania tokea uchaguzi wa vyama vingi mwaka 1995 kipindi cha...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
kwa wale wafuatiliaji na ambao wangependa kujua kuhusu hii kesi, Itaanza kusikilizwa february 3, 2011 katika mahakama kuu hapa Dar es Salaam. Taarifa hiyo ilitolewa jana katika viwanja vya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ofisa usalama adaiwa kuingilia uchaguzi Na Patrick Mabula, Chato MADIWANI wateule wa Hamashauri ya Wilaya ya Chato wamemtuhumu Ofisa Usalama wa Taifa wa Wilayani hiyo, Bw. Cusbert...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Watanzania,kumbuka kila mtu ana imani yake. Baada ya kufuatilia mgogoro wa wafuasi wa ccm Sumbawanga kusadikiwa kuwekewa vikwazo katika sakramenti mbalimbali,nimeshangazwa sana na kauli inayodaiwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna habri nimezipata sasa hivi kuwa watu wa monduli CCM wanaongoza kwa baadhi ya kata wakifuatiwa na chadema Kweli mwaka huu naamini CCM watashinda kwa 80%+ Nitaendelea kuwajuza
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Pamoja na ukweli gazeti la Uhuru siyo kipenzi cha wana-JF lakini ukweli unabaki palepale kuwa kwa vile lipo mtaani habari zake yapaswa kuripotiwa na kutathminiwa kwa manufaa ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Vita umeya CCM moto Thursday, 09 December 2010 20:55 Ramadhan Semtawa na Raymond Kaminyoge KAMATI Kuu (CC) ya CCM leo itakutana kujadili majina ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
I don't know how to put this in such a way that it would not be seen like some kind of condescending... YOU are attempt to mix sms, internet, computer technology in a massive election such as...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ndugu watanzania wapenda haki, leo nimepata tangazo ambalo liko katika gazeti la Tanzania Daima. Ndugu yetu, mbunge wa jimbo la Segerea ambaye kura zake zilichakachuliwa, Mh. Mpendazoe amekuombeni...
0 Reactions
70 Replies
6K Views
Leo Tumesikia Jinsi Gani Umoja wa Mataifa, UN na Umoja wa Afrika Magharibi Kutomtambua Mgombea Uraisi wa Ivory Coast, Gbagbo Baada ya Kujipa Uraisi Mwenyewe. Kitu cha Kushangaza Kikwete Hakupata...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanaludewa wamenyimwa haki yao ya kikatiba ya kumchagua mbunge.Huyo Mbunge anayesemekana alipita bila kupingwa amewanyanganya Demokrasia WanaLudewa.Ndugu Manfred Peter Mtitu Kaza Buti katika Kesi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hivi wanajamii hivi huu ushindi wa kishindo ndiyo upi huo? Je ni wa kishindo kwa sababu alishinda kwa kura 61% au kwa mazingitra ya utata wa matokeo yaliyokuwa yanatangazwa na NEC? Nipi hapa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Uongozi Ndio Tatizo Inchini Kwetu. Historia ya Uongozi Bora Tanzania Haipo Upande wa CCM Kabisa. Tumeona Jinsi Gani Wanachukua Hizi Nafasi za Uongozi kwa Sherehe na Familia Zao Kufanya Mapati...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
The Victory for Dr. Slaa depends on the high voters turn out. This is important because it will make it very hard to manipulate votes in one polling area, more votes less vote manipulation because...
0 Reactions
66 Replies
6K Views
Leo Hii Wale Tunaoifuata Siasa ya Tanzania Tutaona Jinsi Gani Siri Zinaimaliza Inchi. Miaka Nenda Rudi Tanzania Inaongozwa na Kikundi cha Watu Wachache Sana. Hawa Mafisadi Ndio Wanaamua Waombe...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nec yarejesha majina ya madiwani viti maalumu Imeandikwa na Christopher Maregesi, Bunda; Tarehe: 8th December 2010 @ 21:20 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imerejesha majina ya madiwani wa viti...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
GreaTthinkErs Kwa jinsi suala hili la umeme linavyonikera licha ya kuwa na maporomoko mengi ya maji. Kwa jinsi mafisadi wanavyowabembeleza na kufunga vibaka kwa wanavyopeana vyeo utadhani nchi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom