Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ikiwa hali ndizo hizi,chaguzi za nini?. Hivi tunavyoandika chaguzi zenye mizozo ziko Haiti,Misri na Ivory Coast. Unajua haya mambo ya uchaguzi yana gharama mno,kuanzia mali mpaka muda na afya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Imekuwa ni kawaida ya marais kusamehe wafungwa wa makosa mbalimbali hasa ya kifungo kidogo na makosa ambayo wafungwa wametumikia kwa muda furani. Ndg liyumba anasiku magereza na je wanajamii...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu Watanzania ambao tunaoshi maeneo ya Washington DC, tunawatangazia wote kwamba tutafanya mandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu, 2010 na namna shughuli ya kuhesabu kura za uchaguzi...
0 Reactions
66 Replies
7K Views
Jumapili ya tarehe 5 dec 2010 ilikuwa ni siku ya furaha kwa wana wa moshi baada ya mh mbuge wa moshi mjini na madiwani wake kuandaa party ya shukrani kwa kila kata.ilikuwa imetulia sana.source me...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
jamani nsaidieni hivi ni vigezo gani vilitumika katika kuwateuwa wabunge wa viti maalum???????? je ni uzuri ama utendaji kazi na uwajibikaji wao????? coz kinachozungumzwa sana na vyombo vya habari...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gazeti la Majira la leo linatuhabarisha ya kuwa Mbunge wa Nyamagana Mheshimiwa Wenje amechangiwa samani za ofisi ambazo mbunge wa zamani Masha aliziondoa........... Na wakati huohuo Zitto...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MWENYEKITI wa chama cha Tanzania Labour (TLP), Agustine Mrema (TLP), amemvua madaraka Mwenyekiti wa Kijiji cha Kyala, Kata ya Marangu Magharibi, Agustino Fabiani kwa madai ya unywaji wa pombe...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Gazeti hili na hasa makala ya Johson Mbwambo ni za chuki za wazi kwa JK imekuwa ada kwa makala za Mbwambo kila wiki kumsema,kukejeli na kumkosoa vibaya JK.kwa muda mrefu sana hali hii inatia...
0 Reactions
85 Replies
9K Views
SILINDE, MKOSAMALI WAMETUPA FUNZO KUBWA WASOMI Uchaguzi Mkuu uliomalizika hivi karibuni ambao mchakato wake ulitawaliwa na vituko kibao tangu mchakato wa kura za maoni mpaka uchaguzi mkuu umeacha...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
  • Closed
Slaa alikuwa anapata taabu kweli. Zitto hakuwa na wakumzuia kushinda jimboni kwake, kwa nini hakumsaidia Slaa kupiga kampeni mikoa ambako Chadema kilikuwa na ushawishi mdogo. Yeye (Zitto) si...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Hivi kitendo cha Kikwete kuongeza ukubwa wa Baraza lake la mawaziri, ndiyo kusema kaanza kutekeleza ahadi yake ya kuongeza ajira? Tamko la Mizengo Pinda wakati akihutubia alipoteuliwa kuwa Waziri...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
CHADEMA yafungua kesi kupinga matokeo ya ubunge na Stella Ibengwe, Shinyanga CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
EBWANA NAOMBA KUULIZA MASHA AMEPIGANA NA NANI NA KWASABABU GANI MWENYE FULL INFORMATION ATUJUZE:target::target::target::target::target::target::target:
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mchungaji Christopher Mtikila wa DP amesema atafungua kesi mahakamani kupinga uamuzi wa Nec kumuengua katika kinyang’anyiro cha urais. Mtikila, ambaye alienguliwa kwa madai ya kutotimiza...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Ndugu zangu nimepatwa na mshangao mkubwa kuona aliyekuwa WAZIRI WA MAMBO YA NDANI (USALAMA WA RAIA) na mwanasheria kwa taaluma kuondoka na samani za OFISI YA MBUNGE WA BUNGE LA JMT. Naomba...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Viongozi wa CCM Kila Leo Wanajitanza Wamefanikiwa na Wanaendelea Kupambana kwa Nguvu na Mali Kumaliza Rushwa. Hii ni Kweli Jamani? Kama ni Kweli Mbona Inchi Ingekuwa Mbali na Matokeo Tungeyaona...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salakana aahidi kufufua viwanda na Grace Macha, Moshi MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Moshi Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Justin Salakana, ameahidi kama akishinda ataongea na Rais...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Katika kukua kwangu nimekua nikisikia sifa tofauti tofauti kuhusu wa tz,baadhi ya sifa izo ni kuwa wapole,wasio penda purukushani,wasiojua kudai haki yao,waungwana,watu wa yes sir etc. Nikiwa ktk...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
CCM kukaangana wiki ijayo Saturday, 04 December 2010 22:39 juzi alikaririwa na gazeti la Mwananchi Jumapili akisema kwamba ndani ya chama hicho hali...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom