Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ilianza "hata tusiposhinda, tutajishindisha" Ikafuta" Ushindi ni Lazima" Ikaja " Tutashinda kwa gharama yoyote" Hapa tunajifunza nini
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Habari nilizopata hivi punde toka jimbo la Uchaguzi la Ngara Mkoani Kagera, ni kuwa lina wagombea wawili Moja ni Ndugu Ruhuza wa NCCR na Mzee Ntukamazina. Wakati Ruhuza anapiga kampeni kwa bid...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Jana asubuhi bbc walikuwa wakimuhoji AM na walimuuliza kuwa anaandaliwa kugombea urais akasema kama nikifanya mambo ya kueleweka miaka hii mitano basi naweza...... Je CCM wanajiandaa kuweka...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwa kawaida jambo la muhimu sio tu kufanya jambo la muhimu. Ni muhimu kufanya jambo la muhimu wakati muhimu na unaofaa. HAPO NDIPO JAMBO LA MUHIMU LITAPEWA UMUHIMU. Viongozi wengi wanalijua hili...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wajameni, habarini za leo tena? Ninakumbuka kuwa jana Kata 23 ambazo hazikufanya uchaguzi wa madiwani wake tarehe 31/10 zilipaswa kuwachagua wawakilishi hao jana. Je, kuna mwenye updates za...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiukweli inauma sana kwa kitendo ambacho tume wanakifanya sasa hii,, halafu hawana hata aibu hawa wanasheria kwa mfano lewis Makame, anafikiri watanzania ni mambumbumbu kiasi cha akufikia...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Aliyekuwa mpinga ufasadi na spika wa bunge mh. Samuel Sitta kwa mtazamo wangu amejimaliza kabisa kisiasa. Nasema hivyo...
0 Reactions
81 Replies
8K Views
Jennister mhagama alifanya vizuri katika nafasi ya uenyekiti ndani ya bunge lililopita na aliendesha vikao vya bunge kwa mafanikio kuliko hata Job Ndugai na pengine kuliko hata Anne Makinda...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
tathmini ya uchaguzi mkuu mwaka huu wa 2010 regional # of voters voters to vote kikwete lipumba slaa rungwe peter mugahywa total winner by regional arusha...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Katika kampeni nzima Chama cha Mapinduzi hakikuahidi mabadiliko yoyote makubwa aidha ya mfumo wa kisiasa, miundombinu ya utendaji au hata mabadiliko ya kuona haja ya kufanya mageuzi makubwa ya...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Sioni sababu ya Chadema kupita na kulalami au kuilalamikia NEC kuwa ilibadili matokeo,hivi kosa lilikuwa la nani ? Matangazo yalitangazwa direct punde yanapopokelewa na sote tuliona kwenye runinga...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Issue 00644 November 27 - Dec 1, 2010 issn 0856 - 9135...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilikuwa nafikiria namna nyingine ya kutatua mgogoro uliopo sasa hivi kati ya CCM na CHADEMA kuhusu suala la matokeo ya Urais. Nimefikiria kuna kesi mbili ambazo nikiwasikiliza CCM na wale wenye...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Ukizingatia yaliyotokea Zanzibar baada ya Uchaguzi mkuu yaani kuwepo kwa serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar, na ukiangalia performance ya CUF kwenye uchaguzi mkuu kwa upande wa TZ-Bara...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Kutokana na matokeo yaliyotangazwa na NEC hadi sasa majiji ya Tanzania yamekombolewa na CHADEMA majiji hayo ni Mwanza City (Nyamagana) Ezekiel Wenje Arusha Godbless Lema Mbeya Joseph Mbilinyi...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Sorry nimejaribu kuangalia kwa haraka haraka wapi ningeweza kuchangia AU KKULIWEKA HILI kati ya hoja ambazo tayari zipo sijabahatika kuona...kuna kitu kinaitwa ''twist of events'' kinaendelea...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kama kuna kero ambayo wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wanaipata hasa kwa wamiliki wa magari ya abiria basi hili la kuchukua ushuru unaoitwa wa kuboreshwa kwa mji wa Songea.Kila barabara inayoingia mjin...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
wanajamii naomba kupokelewa jamvini,mimi ni mgeni hapa!ndugu zangu wana JF hapa russia kuna tawi la ccm,wameandaa sherehe za kumpongeza rais jk kwa ushindi hafifu aliopata katika ubalozi wetu hapa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wajameni nimechelewa kuona news. Dr. Anasema sheria ni nzuri kutunga na tuzifuate. Kipengele kipi jk anapingwa? Tujuzeni mliokuwepo kwani alikuwa na press conference
0 Reactions
250 Replies
21K Views
WanaJF, I thought these little facts ingenuously articulated ashumour will enlighten some of us who can not get hold of Daily news paper. The genie wakes up! By ADAM LUSEKELO AFTER more than 40...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Back
Top Bottom