Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jennister mhagama alifanya vizuri katika nafasi ya uenyekiti ndani ya bunge lililopita na aliendesha vikao vya bunge kwa mafanikio kuliko hata job ndugai na pengine kuliko hata anne makinda...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
For Want of a Nail For want of a nail the shoe was lost. For want of a shoe the horse was lost. For want of a horse the rider was lost. For want of a rider the battle was lost. For want of...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
CCM special seat members of parliaments through non-governmental organizations have asked the Tanzania Association of non-governmental organizations (Tango) to keep quiet as it does not know the...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Gazeti la Tanzania Daima limetuhabarisha ya kuwa aliyekuwa mgombea wa uraisi kwa tiketi ya chadema Dr. Slaa ambaye wengi wetu tunaamini ndiye aliyeshinda kinyang'anyiro cha Uraisi ametoa sharti la...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tumempongeza dr slaa ila ninaomba wanajamii tusiwasahau media zilizojitoa mhanga kumrusha kihali dr slaa na nguvu ya umma-mwanahalisi, raia mwema na mwananchi ni people's speaker. Tuna mashujaa...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
BAN KI MOON AMPONGEZA JK NA WATANZANIA WOTE KWA UCHAGUZI MKUU WA AMANI Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtumia salamu za pongezi Rais Jakaya Mrisho Kikwete na watanzania wote kwa kukamilisha...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Dr. Slaa bado wapiga kura wako tunataka kufahamu ulishindwa kwa kura ngapi au ulishinda kwa ngapi na uchakachuaji ulitokeaje????? nimechoka kuvumilia naomba Dr.Slaa jitokeze sema na wananchi. Hizo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ninawasikitikia sana vijana wa Tanzania. Vijana wanaotokea familia masikini, mafukara ambao wazazi wao wanaishi kwenye nyumba za tembe na kulala kwenye vitanda vya ngozi za ng'ombe. Vijana...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Says walkout misinterpreted CHADEMA national chairman and official leader of Opposition in the parliament, Freeman Mbowe Chadema yesterday clarified that it recognised the elected president...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mjomba mpendwa salaam, Mimatumaini yangu kuwa unaendelea vizuri wewe pamoja na wote hapo ulipo. Dhumuni la barua hii ni kutoa pole kwako kutokana na mikikimikiki ya uchaguzi, kwakweli kilikuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna mdau kaniambia katika majadiliano kuwa mseto hauwezekani bara kwa vile chama chenye wabunge wengi ndicho kinaunda serikali. Sasa pamoja na hayo chama tawala hakina mamlaka kuteua mawaziri...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
WanaJF naomba mwenye taarifa anisaidie hapa!!!!!!!!!! Comment zangu kwa barua hiyo ni hizi hapa!!!!!!!!! MwanaJF M. M. Mwanakijiji naungana na Great Thinkers WanaJF kukupongeza kwa kuchukua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Inasikitisha sana kuona kila unapofanyika uchaguzi mkuu wa kuwapata viongozi, maamuzi ya wananchi juu ya kuwachagua viongozi wao kuanzia Madiwani, Wabunge hadi Rais huwa hayaheshimiwi. Unakuta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sio siri uchaguzi mkuu wa wabunge na Rais wa mwaka huu 2010, umeacha maswali mengi na maeneo kadhaa ya Political analyst na Political Scientist kuyafanyia kazi. Moja ya eneo hilo ni IDADI NDOGO YA...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kama CCM inajiamini ilishinda uchaguzi wa Raisi kwa nini uchaguzi mkuu usirudiwe ili kuondoa uhasama na wa tu tukarudi kuendelea na shughuli za kujenga taifa??? Hamna wazee wenye busara nchi hii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS Telephone: 255-22-2114512, 2116539 E-mail: press@ikulu.go.tz Website: www.mawasilianoikulu.go.tz Fax...
0 Reactions
152 Replies
19K Views
Kuna utata kidogo kwenye website ya NEC, ukifungua ile link ya 2010 Presidential Results haikupeleki kokote,inarudi kwenye home page sasa hapo sijui wanaogopa nini tena?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuana habari nimeipata toka chanzo cha uhakika Ikulu JK mbali amemteua kijana mmoja kuwa mkuu wa wilaya moja huko Nyanda za juu kusini. Huyu kijana ana miaaka kati ya 30-32 na amaemaliza chuo...
0 Reactions
79 Replies
8K Views
Enyi wakurupuakaji na mnaosema kwamba CHADEMA inasema kura zimekwiba angalia kama mwenyekiti wa chama amesema lolote kuhusu hilo? Acheni kupaza sauti wakati hamjui wenzenu wanalozungumzia. Mbowe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na Saed Kubenea - Imechapwa 10 November 2010 MATOKEO ya uchaguzi mkuu yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), yamejaa utata, MwanaHALISI limegundua. Taarifa...
0 Reactions
59 Replies
7K Views
Back
Top Bottom