Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kwa sababu ccm ni wabishi na wanataka kuendeleza uchakachuaji, na kwa kuwa ili chadema iwahudumie vema watanzania, naamini ambaye yupo karibu na uongozi afikishe ombi la watanzania tunaochukia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Walioandikishwa kupiga kura ni milioni 19 Waliopiga kura (turn out) ni milioni 8.6 Kikwete kapata kura milioni 5.2 Slaa kapata kura milioni 2.2 Katika chaguzi kuu kumi zilizopita hatujawahi...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Channel Ten leo jioni imetuhabarisha ya kuwa Mchungaji Mtikila ataiburuza NEC mahakamani kwa kile anachodai kunyimwa haki yake ya kimsingi ya kugombea Uraisi Alidai yakuwa NEC ilimwonea...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wana JF; Nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa original results kutoka katika vituo vya kupiga kura ambazo Mgombe wa CHADEMA Dr. Slaa na vijana wake walikuwa wanahakiki zinaonyesha...
0 Reactions
119 Replies
13K Views
NEC imetoa majina na mgawanyo wa wabunge sita wa viti maalum waliosalia, Chadema, CUF na CCM kila kimoja kimepata wabunge wawili zaidi. Names of appointees later Source: Nipashe
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimefuatilia kwa kina mwitikio wa watu mbalimbali na hususan wa viongozi wa CCM kufuatia the "walkout" a.k.a "kutoka nje" kulikofanywa na wabunge wa Chadema jana. Hata hivyo nimejitolea kutoa...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
Raisi kikwete anaonekana kabisa kwamba hana raha na ushindiwake wa kulazimisha na kuiba. Kama mnamjua kikwete anaonekana mnyonge kwasababu rohoni anajua kashidwa na amewekwa na watu kwa manufaa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Yusuf Makamba Baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupoteza majimbo 53 ya ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 31, mwaka huu, Katibu Mkuu wake, Yusuf Makamba sasa ameamua kila mgombea...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Hicho ni kipande katika hotuba ya jk jana pale uwanja wa taifa. Nachompendea jk ni pale anaposema nakuibia na anakuibia kisha anaiba kweli. Alituambia majuzi kuwa wizi wa kura utafanyika katika...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Katika hali ya kawaida, mwakilishi wa wananchi mfano Mbunge au kiongozi mwingine wa kutumikia watu huchaguliwa kutokana na kukamilisha vigezo kama vile utendaji uliotukuka, uchapa kazi unaoendana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Willibrod Peter Slaa pamoja na aliyekuwa mgombea ubunge wa Segerea Fredy Mpendazoe watanguruma siku ya Jumapili katika viwanja vya...
0 Reactions
88 Replies
8K Views
Oktoba 31, 2010 kulifayika uchaguzi Tanzania. Matokeo ya uchaguzi yametoa yafuatayo: 1. Matokeo ya kura za wananchi dhidi ya kura za NEC. 2. Wagombea waliochaguliwa na Wananchi na wagombea...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Je hatua ya CCM kufanya mapendekezo ya spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kigezo cha Jinsia kimekanya katiba sehemu ya 9 kifungu kidogo cha (g)? wadau naomba masaada hapo. 9...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
SOURCE TBC FM My take.... Hivi hawa watu... :angry:
0 Reactions
235 Replies
19K Views
Hawa wanamgambo wa CUF siwaelewi. Tena siwaelewi kabisaaaaaaaaaa! Hivi inakuwaje wanakuwa wanaongoza kukaa kwenye mic za waandishi wa habari na kukiponda Chadema?? Tunajua kuwa CUF na NCCR na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Padri Privatus Karugendo alitoa hoja iliyonigusa. Alisema ilikuwaje Lipumba akamzidi Kikwete katika kura za Rais wa Jamhuri lakini Seif akashindwa kumzidi Shein?:angry::angry: Naomba yeyote...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, KWENYE UZINDUZI RASMI WA BUNGE LA KUMI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 18 NOVEMBA, 2010...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna tetesi kuwa mbunge aliyeshindwa amehamisha samani pamoja na kitasa cha ofisi ya mbunge.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Katika mchezo wa karata,mtu anapata ushindi kutokana na atakavyomfanyia timing mpinzani wake. Kadiri unavyokuwa na mahesabu mazuri ndivyo unavyomuweka mpinzani wako kwenye wakati mgumu na huenda...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom