Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Watch this video:David Bismark: E-voting without fraud | Video on TED.com Tunataka uchaguzi wa kutumia system kama hizi ili kuondoa marumbano
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau. Mi naomba tujadili strategy gani na za msingi ambazo Chama Kikuu cha Upinzani Bungeni Kinatakiwa kutumia kuhakikisha 2015 nchi hii inatawaliwa na chama cha wazalendo. Tafadhari toa mawazo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
From Dr Slaa FACEBOOK PAGE Cesc Fàbregas | Facebook Wabunge wetu wamechukua uamuzi mgumu sana, uamuzi ambao unataka ujasiri na uthubutu wa vitendo. Ni lazima tuelewe kuwa mgogoro uliopo siyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani ninayo feelings mbaya kwamba huyu rais wa mchakachuo ataifikisha nchi pabaya hii miaka mitano. Sijui kwa nini najisikia vibaya hivi! Huyu jamaa ataacha nchi iko kweli hali mbaya ya ubaguzi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Chadema kimeundwa. Msione vyaelea. Ask you fake president why is he keeping boasting about udini? Anajuta kuleta udini kwenye nchi isiyo na udini. Amepanda. Anavuna alichopanda.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bunge limehailishwa jana bila wabunge wa ziada kutokana na uchaguzi wa majimbo 7 kulikoni?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sources hizi zinahusika!! 1) Matokeo ya Uchaguzi wa 31.10.2010-Sheria za Uchaguzi na Wabunge wa CCM Waliobebwa kuingizwa bungeni "Kupita Bila Kupingwa", na vituko vya jinsi na mbinu walizotumia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tulisikia Mh. Spika wa bunge la Jamhuri wa Tanzania akisema kuwa wabunge hao wataapishwa mwezi wa pili kutokana na sababu ambazo hazieleweki, kwanza kabisa wabunge hao wametangazwa kuwa washindi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Many people including foreigners have viewed their views on Maalim Seif decision to concede defeat to Mohamed Shein. Majority of them praise Maalim Seif for his decion by showing that he is a...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nilijaribu kufuatilia kwa ukaribu sana kampeni za uchaguzi lakini sikuwahi kuona wala kusikia jina la Kingunge kutajwa kati ya majina ya wagombeaji, sasa huyu mzee Dodoma kafuata nini? Nimeona...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana jf naombeni mnisaidie katika hili, hivi Tamko la Dk slaa kwamba Chadema haimtambui JK kama rais wa Nchi lina madhara yeyote kwa CCM au serikali iliyopo madarakani? na mimi kama mwana-CHADEMA...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
CHADEMA IMEPANIA KUTUMIA IBARA YA 46 YA KATIBA YA JAMHURI KUMUONDOA JK MADARAKANI IBARA HII INASEMA ""Bila ya kujali masharti ya ibara ya 46 ya Katiba hii, Bunge linaweza kupitisha azimio la...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Nimeamua kuwataja nyie kwa vile naelewa mnaweza kunifikishia ujumbe wangu kwa viongozi na wana Chadema wote. Kwanza nianze kwa kuwapongeza na kuwashukuru kwa kazi nzito mnayoifanya, pili ujumbe...
0 Reactions
101 Replies
11K Views
Awali niliwahi kupost tamko la kutomtambua JK kama rais halali wa JMT na kumtambua DR.SLAA kama rais mteule wa JMT. Leo ninakuja na hoja tofauti na pia ni ombi kwa wanachama wenzangu wa CHADEMA...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Ibara ya 51 ( 2 ) ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema: (2) Mapema iwezekanavyo, na kwa vyovyote vile ndani ya siku kumi na nne, baada ya kushika madaraka yake, Rais...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Taifa linaelekea utumwani “Ninasema hivyo, kwa sababu hivi sasa watu wachache wenye nguvu ya fedha wanaamua mustakabali wa viongozi kwa maslahi yao binafsi,” Rais aliyechaguliwa kwa uovu, kamwe...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndg zangu wengine tupo vijijini huku. Mnaweza kutuhabarisha linalojiri kuhusu hotuba ya JK mjengoni?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sofia Simba kupita bila kupigiwa kura wala kuhojiwa kuwa Mbunge wa SADC ilikuwa sahihi? Ndungai anasema Mnyika alikuwa sahihi kulingana na kifungu cha 5 (2c) cha kanuni za bunge lakini...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Source: Tanzania Daima Alhamisi, Novemba 18.2010 Hapa bunge la JYT lilikuwa linachagua wabunge wa Bunge la SADC. Kwa mgombea wa sisiemu kutokujadiliwa, kuulizwa maswali, na hatimaye kupigiwa ni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana JF naombeni msaada mimi ni mmoja wa watu ambao sikumpigia Kura ya ndiyo xkikwete na kutokana na hila zilizofanywa na dola kuhakikisha anaendelea kupigia mswaki ikuru simtambui kama rais...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom