Jana kwenye hotuba yake ya kulishukuru Bunge, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Pinda alitoa changa moto ambayo alidai ndiyo yenye uwezekano mkubwa wa kumkomboa mkulima, mfugaji na mvuvi mdogo mdogo hapa...
Chama cha Cuf kimekufa,kimezikwa,kaburi lake lipo zanzibar,yatima wamebaki bara wakifarijiwa na chama chama cha majambazi.Hiki ndicho kinachooneka dhahiri baada ya uchaguzi na kinachoendelea...
UTATA katika ujumlishaji matokeo ya kura umezidi kuongezeka baada ya matokeo ya uchaguzi wa ubunge wa Jimbo la Vunjo yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi (NEC) kutofautiana na yaliyotangazwa awali...
Kuna tabia ambayo inaanza kujengeka katika siasa za Afrika ambapo majeshi na vyombo vyetu vya usalama vinatumiwa na vyama tawala kuhakikisha kuwa vyama hivyo vinabaki madarakani, hii ni tofauti...
1. Ni stageshow. Anapenda kuonekana anapotenda jema na anaongea kwa nguvu ili watu wamjue kuwa katenda. Ni mfuasi wa Mrema style.
2. Ni msafi wa nje tu: Anajionyesha kwa watu kuwa ni msafi, lakini...
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Wakati wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Mpanda Mjini wakifurahia matokea ya ushindi wa ubunge, Said...
Natoa azimio kuwa mwaka 2015 nagombea jimbo la Rorya kupitia tiketi ya CHADEMA ,kwani nia ninayo na uwezo pia ninao .Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa JF wote.
Wapendwa Maprofessor na Wasomi wa Vyuo Vikuu
Acheni kugombea kwa tiketi ya CCM. Iga mfano wa Professor Baregu, Dr.Mbassa, Professor Kahigi, Profeesor Mlambiti na wengine wenye mapenzi kwa...
Kitendo cha mbowe kukaa kimya taratibu za bunge zikikiukwa kama serial nos ktk balot paper mpaka mh.lissu na mh.mnyika kusimama inaonyesha udhaifu wake mapema na kutojua yuko pale kufanyanini...
Nchi yangu Tanzania, Nakupenda kwa moyo wote .
Waungwana kwa kusema ukweli hakuna kitu kinanikera kama hizi siasa za sasa hivi za majitaka. Achana na mengine mengi ila huu udini huu ndio...
Kama ni kweli msimamo wa chama kuwa hamtambui Rais, JK basi lazima mfuate yafuatayo:
1. Wabunge wenu wasipige kura ya kuridhia jina la waziri mkuu leo hii, watoke nje ya ukumbi wa Bunge (kuinuka...
Nilikuwa kwenye show inaitwa 'mtikisiko' uwanja wa Samora Iringa.
Kulikuwa na wasanii wengi maarufu wa ndani na nje ya nchi wakitumbiza kama Radio na mwenzake, Chege, Juma Nature, Barnabas...
Achangiwa fedha kumkatia rufaa Limbu
Na Cosmas Mlekani
16th November 2010
Baadhi ya wananchi wa wilaya ya Magu mkoani Mwanza, juzi walikatiza hotuba ya aliyekuwa mgombea Ubunge wa Chama cha...
Tunajua Uchumi wa Tanzania Haueleweki. Wananchi Wanaumia Sana Kutokana na Katiba ya Inchi Kutofanya Kazi kwa Manufaa ya Wananchi. Katiba ya Inchi Inazungumzia Usama na Haki za Kila Mtanzania...
Kwa sisi tulio nje ya mjengo kwa kutazama tu katika runinga mapema kabisa hata kabla ya vikao kamili kuanza kwamba tumeanza kuona dalili za wazi za mwelekeo wa mgawanyiko wa haraka haraka kwenye...
Nimefuatilia hatua zote tangu upigaji kura hadi utangazaji wa matokeo ya uchaguzi mku kwa upande wa Zanzibar lakini mpaka muda huu najiuliza hivi nani alishinda nafasi ya urais Zanzibar..ni CUF au...
Slaa apasua jipu kuwa hamtambui JK b'se ni result ya uchakachuaji; Mbowe akakazia kuwa ni msimamo wa CHADEMA
Source: STAR TV news 20hrs
Na Nation wameandika hivi:
By FLORENCE MUGARULA, Daily...
GENERAL
ID No.: 1038
Salutation: Honourable
First Name: Mizengo
Middle Name: Kayanza Peter
Last Name: Pinda
Member Type: Constituency Member
Constituent: Katavi
Political Party...
Kwa mtazamo wangu nimeyapokea matokeo ya uspika (makinda kura 265 na marando kura 53) kama kuna upizani ndani ya kambi ya upinzani ambao ulianza wakati wanachagua kiongozi wa kambi ya upinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.