Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jana kwenye hotuba yake ya kulishukuru Bunge, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Pinda alitoa changa moto ambayo alidai ndiyo yenye uwezekano mkubwa wa kumkomboa mkulima, mfugaji na mvuvi mdogo mdogo hapa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Chama cha Cuf kimekufa,kimezikwa,kaburi lake lipo zanzibar,yatima wamebaki bara wakifarijiwa na chama chama cha majambazi.Hiki ndicho kinachooneka dhahiri baada ya uchaguzi na kinachoendelea...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wajameni, Nakusudia kugombea ubunge Sikonge kupitia CHADEMA 2015.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
UTATA katika ujumlishaji matokeo ya kura umezidi kuongezeka baada ya matokeo ya uchaguzi wa ubunge wa Jimbo la Vunjo yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi (NEC) kutofautiana na yaliyotangazwa awali...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna tabia ambayo inaanza kujengeka katika siasa za Afrika ambapo majeshi na vyombo vyetu vya usalama vinatumiwa na vyama tawala kuhakikisha kuwa vyama hivyo vinabaki madarakani, hii ni tofauti...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
1. Ni stageshow. Anapenda kuonekana anapotenda jema na anaongea kwa nguvu ili watu wamjue kuwa katenda. Ni mfuasi wa Mrema style. 2. Ni msafi wa nje tu: Anajionyesha kwa watu kuwa ni msafi, lakini...
0 Reactions
64 Replies
7K Views
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wakati wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Mpanda Mjini wakifurahia matokea ya ushindi wa ubunge, Said...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natoa azimio kuwa mwaka 2015 nagombea jimbo la Rorya kupitia tiketi ya CHADEMA ,kwani nia ninayo na uwezo pia ninao .Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa JF wote.
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wapendwa Maprofessor na Wasomi wa Vyuo Vikuu Acheni kugombea kwa tiketi ya CCM. Iga mfano wa Professor Baregu, Dr.Mbassa, Professor Kahigi, Profeesor Mlambiti na wengine wenye mapenzi kwa...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Kitendo cha mbowe kukaa kimya taratibu za bunge zikikiukwa kama serial nos ktk balot paper mpaka mh.lissu na mh.mnyika kusimama inaonyesha udhaifu wake mapema na kutojua yuko pale kufanyanini...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
……Nchi yangu Tanzania, Nakupenda kwa moyo wote…. Waungwana kwa kusema ukweli hakuna kitu kinanikera kama hizi siasa za sasa hivi za majitaka. Achana na mengine mengi ila huu udini huu ndio...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama ni kweli msimamo wa chama kuwa hamtambui Rais, JK basi lazima mfuate yafuatayo: 1. Wabunge wenu wasipige kura ya kuridhia jina la waziri mkuu leo hii, watoke nje ya ukumbi wa Bunge (kuinuka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nilikuwa kwenye show inaitwa 'mtikisiko' uwanja wa Samora Iringa. Kulikuwa na wasanii wengi maarufu wa ndani na nje ya nchi wakitumbiza kama Radio na mwenzake, Chege, Juma Nature, Barnabas...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Achangiwa fedha kumkatia rufaa Limbu Na Cosmas Mlekani 16th November 2010 Baadhi ya wananchi wa wilaya ya Magu mkoani Mwanza, juzi walikatiza hotuba ya aliyekuwa mgombea Ubunge wa Chama cha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tunajua Uchumi wa Tanzania Haueleweki. Wananchi Wanaumia Sana Kutokana na Katiba ya Inchi Kutofanya Kazi kwa Manufaa ya Wananchi. Katiba ya Inchi Inazungumzia Usama na Haki za Kila Mtanzania...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa sisi tulio nje ya mjengo kwa kutazama tu katika runinga mapema kabisa hata kabla ya vikao kamili kuanza kwamba tumeanza kuona dalili za wazi za mwelekeo wa mgawanyiko wa haraka haraka kwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimefuatilia hatua zote tangu upigaji kura hadi utangazaji wa matokeo ya uchaguzi mku kwa upande wa Zanzibar lakini mpaka muda huu najiuliza hivi nani alishinda nafasi ya urais Zanzibar..ni CUF au...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Slaa apasua jipu kuwa hamtambui JK b'se ni result ya uchakachuaji; Mbowe akakazia kuwa ni msimamo wa CHADEMA Source: STAR TV news 20hrs Na Nation wameandika hivi: By FLORENCE MUGARULA, Daily...
0 Reactions
192 Replies
15K Views
GENERAL ID No.: 1038 Salutation: Honourable First Name: Mizengo Middle Name: Kayanza Peter Last Name: Pinda Member Type: Constituency Member Constituent: Katavi Political Party...
0 Reactions
37 Replies
7K Views
Kwa mtazamo wangu nimeyapokea matokeo ya uspika (makinda kura 265 na marando kura 53) kama kuna upizani ndani ya kambi ya upinzani ambao ulianza wakati wanachagua kiongozi wa kambi ya upinzani...
0 Reactions
241 Replies
18K Views
Back
Top Bottom