Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jamani mwezi septemba nilipita maeneo ya kasulu na kukuta watoto wadogo sana wamebeba kuni bila shaka walikuwa wanaenda sokoni ili angalao waweze kupata mlo.Tunahitaji kutafakari hali hii
0 Reactions
29 Replies
5K Views
well its seems to be normal but it isnt the really situation that we may have in our college.being far from the city of dar really affecting what happening over here. most of collegues have been...
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Wengi Tunakumbuka Mahali na Sauti ya Mwalimu Nyerere Alipokuwa Akisafiri Inchi za Afrika na Duniani Kote. Nyerere Aliheshimika Sana kwa Misamamo Yake Kwenye Kila Swala Duniani. Tukianzia Afrika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nipo ughabuini Brazil ambapo nako siku hiyo hiyo walikuwa na uchaguzi. Majibu ya Rais yalitoka hadharani masaa 6 badaa ya kufunga kupiga kura huko kwetu kuna mdudu gani kama si wizi mtupu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tume ya uchaguzi NEC imebadilisha matokeo ya uchaguzi wa ubunge Jimbo la Vunjo baada ya kugundua ilitangaza matokeo tofauti na yale yaliyotangazwa awali na msimamizi wa uchaguzi. Nec imetangaza...
0 Reactions
73 Replies
8K Views
Haya tena kile watanzania walichokua wanakisubiri kwa yule Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda AKA Mtoto wa Kilimo kwanza kashaapa kulitumikia taifa la watanzania kua waziri Mkuu kwa awamu ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mjumbe wa Bunge la SADC-PF ni Mohammed Habib Mnyaa (Mkanyageni-CUF), ambaye alitangazwa mshindi kwa kura 275 dhidi ya kura 47 za mgombea wa CHADEMA, Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya kupata nafasi kubwa sana Bungeni na kuweza kutoa Kiongozi wa kambi ya upinzani,, sasa tumejiwekea nNafasi nzuri kwakuwa na wabunge wengi kuliko vyoama vyote pinzani... Tunawashukuru...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kulikuwa na taarifa kuwa kuna ajent wa kampuni moja ya simu alichukua vitambulisho vya wapiga kura takribani mia nne(400) ili kuzitoa kopi waweze kusajili namba zao, ila akatokomea nazo.tukio...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tangu kuzaliwa kwa nchi ya JMT, katika marais wote waliopita, Kikwete amekuwa rais wa kwanza kuweka historia ya kuporomoka umaarufu wake kwa kishindo. Mwaka 2005 aliingia kwa kishindo na mwaka...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
katika kipindi cha EATV kwa mahojiano ya na Dr slaa imeonekana kuwa Dr slaa anavutia vijana kisiasa JE kuna mpango wowote nyuma ya hili? Je kwanini Dr slaa anavuta vijana na kuwaandaa namna...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tathmini yangu fupi ya mwenendo wa uchaguzi inaonesha kuwa kila sehemu ambayo Chadema iliweka mgombea makini, msomi, Kijana na mpiganaji wa ukweli katika Ngazi za Ubunge na Udiwani Chadema...
0 Reactions
68 Replies
6K Views
Leo Tunaona Jinsi Gani Inchi Zilizoendelea na Zinazoendelea Zinafanya Kila Jitihada Kurekebisha Uchumi Wao na Kuhakikisha Wanajiimarisha Kwenye Global Economy. Leo Tunaona Tanzania-CCM Base...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hatimaye rais ataapishwa! Edward Kinabo ENYI wana wa Tanzania, mnaolia kwa uchungu wa kupewa rais msiyemtaka, yule mnayemwita rais wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nilivyomuona Shariff Hamad akiyapokea matokeo na kutoa pongezi kwa Shein, ilikua kama alishayajua matokeo muda mrefu tu..... Na ukiiangalia picha hii (toka michuzi blog) Mshindi na mshindwa...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Kuna tetesi kutoka kwa washkaji kutoka kanda ya kati kuwa kitendo cha 6 kuchakachuliwa uspika kimemuuma sana, habari zinasema kuwa anadai kuwa alichokuwa ameambiwa na EL kuwa hatakuwa Spika wa...
0 Reactions
68 Replies
8K Views
naomba mtaniwia radhi wana JF hii ni post yangu ya kwanza kbs hapa JF ingawa nilijiunga zamani kdg, napenda kujua kwa wale wanao jua mambo yaliyo chini ya kapeti, hivi shamsi vuai nahodha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajamvi wenzangu naomba mwenye kujua historia ya mh S. SITA aiweke hapa ili niifahamu.. Kwangu namuona mwana mabadiliko kwa sehemu yake ktk jamii yetu ya Kitanzania, alikotokea kiutendaji kabla...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Huwa sisomi gazeti la HabariLeo, kwa sababu limegeuka kuwa la udaku. Je, huu ni mgao au? Ni mikoa gani hiyo?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom