Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

MWENYEKITI mwenza wa Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia Tanzania (REDET) na mkuu wa Kitivo cha Sayansi ya Siasa ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Benson Bana, amesifu kampeni za aliyekuwa...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Ndugu zangu wana JF, na wapenda maendeleo kwa ujumla. Napenda kutanguliza shukrani zangu kwenu kwa ushiriki weni huku kwenye mijadala ya humu JF na naomba tuendelee na mjadala huu. Naomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepanga kutoa elimu kwa wapigakura kwa njia ya kutoboa siri zote za ufisadi zinazoigusa serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia wiki ijayo...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
By Waandishi wetu 20th November 2010 Achochea walibwagwa ubunge wakatae matokeo Pia wa udiwani, aagiza wote wafungue kesi kortini Gharama zote za mawakili kubebwa na CCM Yusuf...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Haya tena heka heka za uchaguzi ndio zimeisha kwa Jk kushinda kwa mgongo wa kuchakachua sasa shere za kumuapisha zimeaanza rasmi saa tatu asubuhi na ITV pamoja na TBC wanaonyesha live tujulishane...
0 Reactions
233 Replies
17K Views
Tumeandamana kupinga maamuzi ya nec kumtangaza Kikwete kuwa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,, Chadema haina ugomvi na CCM, bali inaugomvi na Matokeo na uchakachuaji uliotokea Kipindi cha...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
The country is eagerly waiting for President Jakaya Kikwete’s announcement of his new Cabinet, in which he is expected to make significant changes to his old line-up, swapping the holders of some...
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Baada ya Mheshimiwa Tundu Lissu kuwachemsha Wagombea uwakilishi wa SADC kwa maswali ya kitoto na woote kushindwa kutoa majibu,, Kwa mujibu wa Wanajamii wengi wanasema Kama Mmoja anashindwa kujua...
0 Reactions
72 Replies
8K Views
Kama bado una kumbukumbu na hotuba ya JK aliyoitoa mara baada ya kuapishwa kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; hivi majuzi tu, aliahidi kuwasiliana na NEC ili kuona uwezekano wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau nini kimetokea kwa CCM mkoa wa Dar es Salaam kutangaza maandamano na kuahirisha ndani ya dakika tano?. Kiufupi katika siku chache ambazo nimeangalia Channel Ten taarifa ya habari nimekutana...
0 Reactions
64 Replies
7K Views
aNGALIA HAWA WABUNGE WA ULAYA. UTACHEKA. .
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakawaambie: Wahisani: Nyie siku ile mulijifanya kutoka nje ya ukumbi wakati Mkwere anahutubia bunge.........Why? Chadema: Alichakachua kura za wananchi. Ni Rais batili. Wahisani: Leteni...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Vipo vyombo ya habari vinajaribu kuishawishi jamii kuwa kitendo cha wabunge wa CHADEMA kususia hutuba ya JK si cha kiungwana. Lakini jamii inamtazamo tofauti kabisa na hawa vibaraka na wa mafisadi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
UFAFANUZI ZAIDI TOKA KWA DR SLAA KUHUSU MTILILIKO MZIMA WA KUPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI NA KUSUSIA HOTUBA YA NDUGU KIKWETE by George Maige Nhigula Jr on Saturday, November 20, 2010 at 11:18pm...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wana Jf, Nijambo la kujsikitisha kwa vyombo vyetu vya habari hapa Tanzania.Sijui niseme ni Vyombo vya habari au ni watu wenye taaluma zao. taaluma hii inaelekea kupoteza mshiko kwakuwa...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kila Leo Tunaona Hivi Vyombo vya Habari Vikireport Habari za Uongo na Kugeuza Ukweli ili Kuletetea Corrupt Ideas za CCM. Ni Kweli Wanadangwnywa au Wanalazimisha Kuandika Uongo? Inawezekana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninawasihi sana watu wa Tume kuhakikisha matokeo yaanza kutoka mapema jamani. Asubuhi inakuja, watu wanaamka hakuna matokeo, mnawapa wasiwasi na kuanza kutengeneza tension, mtaleta polisi na...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Vyama vya CCM, Chadema na CUF kila kimoja kimeongeza viti viwili vya ubunge kutokana na matokeo ya uchaguzi mdogo uliofanyika hivi karibuni, kwa sasa kila chama kimefikisha wabunge CCM 260...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Dear Lawyers in JF, We all know that, once declared as a winner by the National Electoral Committee, there is no possibility to file a case against president on any issue regarding to...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom