Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Gazeti la Majira la leo limeripoti ya kuwa wiki iliyopita CCM Wilaya ya Arusha ilimweka kiti moto Dr. Batilda na kumlaumu kuwa mikakati yake ya kuligawa jimbo ndiyo iliyochangia CCM kulipoteza...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM wakati wa kampeni zake aliwahi kusema maneno haya baada ya kuulizwa swali na mtanzania mmoja Je Mheshimiwa JK watanzania wakukumbuke kwa lipi katika uongozi wako...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Vitendo vya wabunge wa CCM kuhamisha samani na vitu vingine kwenye ofisi za wabunge majimboni,jana liliibukia Iringa mjini ambako mbunge mpya kwa tiketi ya chama cha Chadema,Peter Msigwa kukuta...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
CCM Temeke wachongeana kwa JK Thursday, 02 December 2010 21:36 Geofrey Nyang’oro MWENYEKITI wa CCM, Rais Jakaya Kikwete ameandikiwa barua inayowataja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukweli unabaki ile minofu waliokuwa wakichukua wazungu na kutuachia sie kula mabaki ilituathiri sana sana hata kwenye ufahamu wetu na wattoto zetu mashuleni..nasema hivi nikiimanisha kitendo cha...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Leo mchana kupitia TBC1, wamemtangaza kijana mmoja aliyesafiri kwa baiskeli kutoka Geita hadi Dar kwa lengo la kumpongeza JK kwa ushindi wake....! Great Thinkers, hii imekaaje? Mbona mimi naona...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimesoma makala hii hapa chini kutoka Mwananchi. Kuna jumla ya kesi 32 dhidi ya ushindi wa wabunge wa CCM. Kuna kesi nyingine ambazo ni strong lakini hazijaongelewa, kwa mfano Kibaha, Kilombero...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa, yupo jijini Mwanza kuongeza nguvu kwa madiwani wa chama chake kumpata meya wa jiji. Katibu wa Chadema Mkoa Mwanza...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ninashindwa kuelewa hivi mtu mmoja ataweza kujirundikia kazi kibao wakati kuna watanzania wengi wapo vijiweni.......................Mustafa Akunaay ni Mbunge kupitia Chadema wa Jimbo la Mbulu...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
MBUNGE wa zamani wa jimbo la Iringa mjini na mkuu wa mkoa wa KIlimanjaro ambaye alikuwa mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia chama cha Mapinduzi (CCM) Monica Mbega amefungua kesi...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Tanganyika Law Society Observer Mission to the October 31, 2010 General Election in the United Republic of Tanzania Interim Report Dar es Salaam, November 5, 2010 1. Introduction The...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Salakana aamua kumpinga Ndesamburo mahakamani Send to a friend Tuesday, 30 November 2010 21:16 0diggsdigg Daniel Mjema, Moshi ALIYEKUWA mgombea ubunge...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Umeibuka mgogoro mkubwa kati ya Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara na kamati za siasa za wilaya tatu za mkoa huo na kusababisha zaidi ya madiwani wateule 40 wa chama hicho...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Closed
Wadau, Kuna dada mmoja toka familia ya Rockerffeller amemvamia Rais Kikwete kwenye facebook Yake. amewachamba na wapambe wake kisawasawa. anadai familia yake imetoa michango mingi tanzania na...
0 Reactions
388 Replies
30K Views
kutokana na mdahalo wa jana nimesikia kua kuna wabunge kumi waligoma kutoka bungeni wakati wabunge wa chadema wakitoka nje ya bunge, yalielezwa na Hamad akijibu hoja ya Mbowe kuwa CUF inaonyesha...
0 Reactions
119 Replies
11K Views
Leo hasubuhi clouds kipindi cha magazeti nimesikia waziri wazamani wa mambo ya ndani ameenda ofisini kwa mbunge wa mwanza nymagana na kung`oa vitasa na kubeba picha ya rais kwa madai kuwa...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Serikali ya shirikisho la wanafunzi wa chuo kikuu Dodoma (UDOSO) imekanusha taarifa iliyotolewa na msemaji wa wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani Dodoma na waziri wa sheria na katiba wa chuo kikuu cha...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Ndugu wanajamii Report ya Gharama za uchaguz zimesha kamilika na Lengo la kuifungulia Kesi CCM kuhusu Gharama za uchaguzi mbona naona kama limeyeyuka? au Chadema walituyeyusha jamani,, Mi naomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika historia ya nchi yetu, bunge la 10 litakuwa bunge la umuhimu wa kipekee!!! kutokana na miongoni mwa sababu ni hizi hapa chini:- 1) Ni bunge la kwanza kuwa na serikali mbili, moja ndani ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wana JF mnaikumbuka hii report attached hapa chini?? Tunapojadili uwezekano wa kuunganisha kambi ni vizuri kujua kati ya CUF na CDM ni chama kipi kimejenga upinzani wa kweli kwa serikali ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom