Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mjadala: Kuelekea Mission 300 Africa Energy Summit inayo fanyika 27 - 28 January 2025 Tutumie Vyanzo Vipi Vya Nishati, Mbinu na Mikakati ipi ili Tuzalishe Umeme Mwingi na wa Uhakika katika Bara...
3 Reactions
24 Replies
472 Views
Toka katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iweke ukomo wa mtu kukaa kwenye nafasi ya urais kwa miaka 10 kwa vipindi vya miaka 5, mgombea wa CCM aliye na stahiki ya kugombea mhula wa pili baada...
2 Reactions
41 Replies
1K Views
Kuna barua nyingine tena zinazodaiwa kuandikwa na wafungwa wa Kitanzania wanaotumikia vifungo vyao huko Hong Kong baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya. Anayechapisha barua hizo kwenye mitandao...
2 Reactions
121 Replies
20K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Amejikuta akishindwa kujizuia hisia zake za furaha na shukurani kwa...
3 Reactions
73 Replies
1K Views
Wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema Mh Yeriko na Mh Ntobi wamesema walidhani Tundu Lisu atatoa Amri ya maandamano hadi Makao makuu kuhakikisha Press ya katibu mkuu Mh John Mnyika inafanyika...
4 Reactions
13 Replies
894 Views
Traore amejizolea umaarufu mkubwa Duniani hasa kwa ulinzi wa rasilimali. Amekuwa na nguvu kubwa ya mapokezi kila anapokwenda. Amekuwa mwana mapinduzi anayetisha mabepari kwa misimamo yake...
9 Reactions
57 Replies
4K Views
Kwa mara nyingine, maafisa wa Hong Kong katika kiwanja cha ndege wamefanikiwa kukamata dawa za kulevya zilizokuwa zinasafirishwa kutokea Tanzania safari hii zikiwa zimefichwa katikati ya chuma cha...
6 Reactions
158 Replies
13K Views
Ni kama vile hizi zama Viongozi wenye Fikra za akina Thomas Sankara na Ibrahm Babangida wa enzi zetu ndio furaha ya vijana Ninaiangalia hapa Picha ya Tundu Lisu akiwa JKT Duh ni afadhali...
1 Reactions
4 Replies
284 Views
Kwa Viongozi wetu wanaoratibu huu mkutano. Hivi huu mkutano ulipangwa ghafla hadi tunawashtukiza wananchi na press release za usiku za kufunga shule kwa siku mbili?? Kwanini huwa hatukai chini na...
12 Reactions
59 Replies
2K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema amesema atamshauri Mwenyekiti mpya wa Chama hicho Taifa, Tundu Lissu kuanda mkakati wa kumuaga rasmi na kutambua mchango wa Mwenyekiti Mstaafu wa...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
igweeeeeee Imesalia takribani mwaka mmoja na miezi kadhaa kuufikia uchaguzi mkuu mwaka 2025. Kama ilivyokawaida ya upepo wa kisiasa tayari washindani wakuu wamebaki kutoka vyama vilevile CCM na...
3 Reactions
53 Replies
3K Views
Kiukweli Mkoa wa Kigoma Una hazina ya wasomi mahiri. Ilifaa Prof Joyce achukue kijiti kwa PhD holder mwenzake
3 Reactions
24 Replies
541 Views
Anasema kweli At a press conference held in Washington, at the White House, Trump made profound statements against African leaders. *Donald Trump explains his statements against Africans: 1...
28 Reactions
60 Replies
2K Views
Hii Africa Energy Future Summit inatuonyesha umakini wa viongozi wetu. Mmojawapo ni Mheshimiwa Dr Dotto Biteko (PhD) huyu kiongozi ni hazina ya mbeleni. Ana utulivu wa kiuongozi na elimu pia ipo...
4 Reactions
22 Replies
930 Views
Nilitegemea kama mlivyojikusanya Dodoma Mkutano Mkuu Mbogamboga na hapa Africa Energy Summit muwe wengi vile vile au lugha mzozo?
10 Reactions
34 Replies
790 Views
Kiongozi wa baadhi ya wabunge 19 kutoka chama cha demokrasia na maendeleo Chadema Halima Mdee ametuma emoj ya kucheka baada ya Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu kusema wanatakiwa kueleza nani...
18 Reactions
201 Replies
10K Views
Chini ya utawala wa Samia wawekezqji watazidi kumiminika tu maana demokrasia ipo kwa maana ya kwamba upinzani unafanya mikutano na kutoa maoni. Mfano uchaguzi wa juzi wa chadema umetoa somo kubwa...
0 Reactions
2 Replies
97 Views
Kufuatia kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mh. Ndugu Tundu Lissu ya '𝑡𝒐 π‘Ήπ’†π’‡π’π’“π’Ž, 𝑡𝒐 π‘¬π’π’†π’„π’•π’Šπ’π’' kumekuwa na 'reactions' nyingi kutoka kwa viongozi mbalimbali, matawi...
3 Reactions
7 Replies
540 Views
Unajua Tundu Lissu amesaidia sana Kufanya Uchaguzi wa Chadema uwe na Uwazi Kwa sababu Wewe usiposema ule ukweli basi yeye atausema Pamoja na Chadema kuwa na Rundo la Wanafiki akina Mshana Jr...
2 Reactions
21 Replies
892 Views
Sio siri Rais hana mvuto kabisa kwa Wananchi na mbaya zaidi 2025 hana sera. Hili si jambo geni machoni kwa watu kila kona kuna mabango ya kumsifia mama. Kuna vikundi mbali mbali zimeanzisha...
7 Reactions
47 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…