Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

*Lengo awasaidie ubunge Diamond, Babu Tale Na MWANDISHI WETU WAKATI homa ya Uchaguzi Mkuu wa Udiwani, Ubunge na Rais likipanda Kundi la Wasafi Classic Baby (WCB) linaloongozwa na msanii Nasibu...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Sitabiri ila ndio ukweli wabunge na madiwani mliopo katika majiji na wilaya zilizo changamka changamka jiandaeni kupokea na kukubali msichokipenda. Jua liwake au mvua inyeshe kila Mtanzania...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Na Comrade Leonard Waziri Assalam Alaikum Mabibi kwa Mabwana Katika harakati za kuijenga Tanzania yenye Uchu wa Kupiga hatua kubwa za kiuchumi na kisiasa. Naomba nitangulize maneno ya Waswahili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nakubaliana na tafiti za watu mbalimbali kwamba CCM ITASHINDA KWA 99% hii ni kweli na mimi kama superbug naiamini CCM ila naomba niuthibitishie umma kwamba CCM inapendwa sana Tanzania. Naiomba...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Amani iwe kwenu!! Tutumie thread hii kupendekeza wale wanaofaa kugombea 2020, Tetesi za watu watakaogombea Mimi naanza na Dr. Tulia, Huyu dada amekuwa msaada kwetu na jamii ya Wana Mbeya kwa...
2 Reactions
351 Replies
42K Views
Kwa namna upepo wa siasa za Tanzania bara unavyokwenda ni wazi vyama vya upinzani vina nafasi finyu ya kushinda mwaka 2020. Hii inatokana na ukweli kwamba vyama hivyo vimekosa ajenda na hoja...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018. Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa...
3 Reactions
136 Replies
10K Views
Huyu hapa kijana anakwenda kumg'oa mbowe kwenye jimbo lake, kijana ni hatari sana. Anajulikana kwa jina la Revocatus Lazaro atasimama kwa kiti cha CCM.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hivi Watanzania mnahisi kulingana na mazingira ya kisiasa yalivyo hivi sasa, hili linaloitwa "Bao la mkono" linaweza kutumika kuhakikisha ushindi wa chama tawala katika uchaguzi wa mwaka 2020...
0 Reactions
1 Replies
657 Views
Ikumbukwe kuwa wagombea wengi wa ubunge wa Chadema katika majimbo mwaka 2015 ni wale waliotoka CCM baada ya kushindwa kura za maoni na kumfuata Lowassa pale Ufipa. Mwaka huu fursa hiyo...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Natazama hapa mahojiano Mubashara Clouds TV kipindi cha 360 wakimuhoji huyu Mbunge na Mhe 1st Lady Mstaafu. Ukweli ni kwamba ametulia sana akijieleza kama Mwalimu wa hesabu shule ya Msingi...
4 Reactions
64 Replies
8K Views
Rais wa Tanzania, John Magufuli amesema Serikali imejipanga kuhakikisha uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, 2020 unakuwa wa amani, uhuru na haki. Kiongozi mkuu huyo wa nchi amesema utakapofika...
4 Reactions
113 Replies
12K Views
Hivi Mh TAL ANASOMA post zetu sisi wapenzi wake ambao tunamkubali mno kuliko maelezo? Je tal anamjua/ anazijua I'd hizi? Sky eclat Erthrocyte Na wengineo? Je nitahakikisha vipi tal amesoma post...
7 Reactions
21 Replies
4K Views
Baraza la Vijana wa chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Arusha BAVICHA, limeibuka na kuitaka serikali kuunda tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi Mkuu wa Taifa utakaofanyika...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Kama kweli unahitaji kuendelea kutetea kiti chako, Watanzania wanayohaki ya kufafanuliwa juu ya ahadi zako za mwaka 2015, 1. Mheshimiwa uliuahidi umma wa Watanzania kuwa katika utawala wako...
13 Reactions
30 Replies
3K Views
Kumekuwa na kasumba ya viongozi wa CCM kujitapa kuwa Octoba 2020 wabunge wa Upinzani watang'olewa katika majimbo yao kwa gharama yoyote. Hiyo gharama yoyote ni ipi? Wizi, rushwa, kutangaza CCM...
14 Reactions
36 Replies
3K Views
Itarejesha mchakato wa katiba mpya bungeni ambao ulio taarishwa na tume ya Warioba . Kuidhinisha mfumo wa Serikali tatu na kutekelezwa baada ya uchaguzi. Kuahidi kusimamia demokrasia kuanzia...
7 Reactions
39 Replies
3K Views
Ni mawazo na kutafakari tu! kuna muda unaweza ukapata majibu hata mtaani au maeneo yoyote kila mtu ni mkimya. Sio kimya wa mambo mengine ni ule ukimya ambao leo uwezi kujifanya kimbelembele...
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Heshima na taadhima kwenu wakuu. Nimekaa naangalia runinga hapa kwenye kituo cha Star Tvkipindi kinaitwa Agenda 2020. Anahojiwa Waitara hapa naona kichefuchefu: 1. Anaonekana amelewa chakari...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Dr bashiru aahaidi kumtoa madarakani Zitto Kabwe ====== Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema chama hicho tawala nchini Tanzania kinajipanga kuibuka na ushindi wa ubunge katika jimbo la...
2 Reactions
42 Replies
8K Views
Back
Top Bottom