Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Tumeingia Ule mwaka wa kuamua hatma ya Kata, jimbo na nchi yetu. Sisi Wana Kigoma mjini tumeamua kuachana na mazoea na siasa zetu za kuoneana huruma. Kwakuzingatia matakwa ya kikatiba na kanuni...
5 Reactions
39 Replies
4K Views
Naona sasa CCM iliyo ndani ya kaburi inakaribia kufukiwa rasmi na Hawa wajuaji wasiojua Siasa japo wengine wao ni wasomi wa sayansi ya Siasa! Kijidaftali chenye majina ya wateule wa ubunge na...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Mnajua fika kuwa kilichofanyika katika uchaguzi was serikali za mitaa kitarudiwa hivyo hivyo au na kuzidi. Mmejipangaje kukabikiana na hilo? Nimemsikia Katibu was Baraza la wazee Chadema akisema...
1 Reactions
6 Replies
752 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amesema anawasubiri wazee wampe ridhaa kugombea Ubunge Arusha Mjini Hata hivyo ameeleza kuwa kwa sasa hana Mpango wa kugombea Ubunge, tofauti na ambavyo...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Kimahesabu, CCM ndio washindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kabla hata ya mwenda kwenye Box la Kupigia kura. Ushindi huu wa CCM ambao umetokana na utekelezaji kabambe wa miradi mbali mbali chini ya...
5 Reactions
42 Replies
5K Views
Vyama vya upinzani chondechonde msije mkakubali kuingia kwenye uchaguzi 2020 bila tume huru. Hulka na tabia ya jiwe na serikali yake mmeshaiona hawana aibu heshima staha Wala huruma kwenu Wala...
12 Reactions
77 Replies
5K Views
Kwakweli sielewi hiki kipengele kinachozuia matokeo ya urais kupingwa mahakamani kina Nia njema ipi. Yani katika mazingira ya Tanzania ya Sasa yenye uvunjifu wa sheria zote pamoja na haki za...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mara tu baada ya kuapishwa kuwa Rais wa nchi hii, Rais Magufuli alivipiga marufuku vyama vya upinzani nchini kutofanya mikutano ya kisiasa hadi mwaka 2020, kwa madai kuwa uchaguzi umekwisha, kwa...
19 Reactions
83 Replies
8K Views
Tume huru ya Uchaguzi NEC imesema matokeo ya Uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi october mwaka huu yatatangazwa kutokea jijini Dodoma. Source: Habari Leo Maendeleo hayana vyama!
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kama ni kweli, Rais Magufuli hatakubali Tume huru ya uchaguzi iundwe kabla ya uchaguzi mkuu!
16 Reactions
177 Replies
20K Views
POLITICSTANZANIATOP STORY Tanzania elections: Life has got worse under Magufuli. We need change. BY ZITTO KABWEJANUARY 8, 2020 SHARE: Opposition leader Zitto Kabwe says the past four years of...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu, nilikuwa naomba kufahamishwa ni kiasi gani cha fedha kinahitajika hili mtu aweze kuipata fomu ya kugombea ubunge?
4 Reactions
43 Replies
14K Views
Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Je, serikali ina majibu ya kuwaeleza Watanzania ambao mpaka leo vijiji vyao havijapatiwa umeme nini sababu inayochelewesha ili hali kila siku...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Leo ni 01/01/2020 hongera kwa kuona mwaka mpya. Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu. Kwa hali ilivyo kama mihimili yote imeshikiliwa na ule mhimili ulijikita chini zaidi kuna haja gani ya kupiga...
8 Reactions
114 Replies
7K Views
Nimedokezwa na wadau hapa Kigoma ya kwamba wazee wanamtaka Diamond agombee nafasi ya ubunge hapo kigoma mjini badala ya Zitto Kabwe. Wanadai Zitto kawatelekeza, kahamishia harakati zake twitter...
18 Reactions
338 Replies
30K Views
Watanzania mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu, Tunachagua tena Rais pamoja na wabunge. Ni mwaka ambao una changamoto kubwa sana katika uchaguzi mkuu hususa upande wa visiwani Watia nia ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunakumbushana tu kwamba kwa sasa hapa nchini siasa ni ajira hivyo wabunge na madiwani tegemeeni changamoto kubwa kutoka kwa toleo jipya. Ndio hao akina Harmonize, Diamond, Juma Kaseja, Mrisho...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwaka 2020 ni mwaka wa kufanya uamuzi kuhusiana na utawala na mwelekeo wa taifa letu. Huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu, mwaka wa Uamuzi Mkuu. Watanzania wataitwa kutoa jibu la maswali makubwa mawili...
9 Reactions
58 Replies
5K Views
Wanabodi, mwaka mpya 2020 umeanza tena, mbilinge mbilinge na udambwi dambwi haviishi hapa kwetu Tanzania. Msoto mwanzo mwisho. Tuje kwenye mada: "Hapa Kazi Tu" maana yake ni kufanya kazi kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
UCHAGUZI WA MWAKA 2020: Chama cha Wananchi CUF chataka mazingira mazuri Chama cha wananchi CUF kimetoa wito kwa Rais John Magufuli kukutana na viongozi wa Vyama vya Siasa ili kuweka mazingira...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom