Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nnacho kiona sasa ndani ya CCM sifa kuu za wagombea itakuwa ni kujipendekeza,unafiki,Wapika majungu,ndio mzee,waropokji na wabeba mikoba ya wakubwa.utamu wa CCM yenye watu wa kujenga hoja inakufa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF! Mimi naomba wakereketwa na washabiki wa uongozi wa awamu ya tano watushawishi kwa hoja za msingi kwa nini Magufuli na CCM tuwape kura 2020! Tunajuwa uwezo wa kujitangazia...
34 Reactions
110 Replies
10K Views
Habari za utafiti wa hivi karibuni toka shirika amaTaasisi ya kimataifa ya Intelijensia ya Kiuchumi/ Economist Intelligence Unit/EIU lenye makao yake makuu jijini London Uingereza, limetoa...
21 Reactions
244 Replies
22K Views
Makonda ndiye RC wa kwanza mwenye ushawishi mkubwa lakini mpenda maendeleo kwa wakazi wake. Anajitoa kwa namna yoyote ile ilimradi tu atimize azma yake kwa yale anayotaka kuona yanatendeka...
2 Reactions
58 Replies
5K Views
Mara paap...CCM wafanye maamuzi magumu..ili kukiokoa chama...na kuwachanganya wapinzani kama mwaka 2015... Mara paap...RAIS MSTAAFU KIKWETE KUWA MGOMBEA WA URAIS KWA MARA NYINGINE TENA... Sijui...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ni ngumu kuamini lakini 2020 hakuna mbunge yeyote wa upinzani atayefanikiwa kurudi bungeni ........ nasema hivyo kutokana na mazingira ya kisiasa ninayoyaona hivi sasa nchini sidhani kama 2020...
5 Reactions
71 Replies
7K Views
Rais wa Tanzania 2020 piga ua awe na sifa moja kubwa kusimamia katiba maana miimili yote imeipa mgogo. Ms ajili, Serekali, Polisi, bunge, mahakama na mtu mpaka Sasa anayefiti Tundu Lissu, ndiye...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Hapo vip!! Namuona Lissu anayedharaulika na kudhihakiwa akiwa Rais wa Tanzania 2020. Atakuwaje Rais? Naona ziara zake za nje baada zikigeuka kuwa ndio chanzo Cha kupata watetezi ya haki yake ya...
11 Reactions
72 Replies
8K Views
Habari hizi nimezisikia pale mwananyamala kisiwani lilipokuwa tawi la Cuf ambalo sasa limebadilishwa na kuwa tawi la ACT wazalendo. Sina mengi ya kusema ila naitafakari nafasi ya Tundu Antipas...
3 Reactions
38 Replies
4K Views
Habarini..... Kila mmoja huwa na Ndoto katika maisha yake na hizo humfanya asilale akiwaza namna ya Kufanikisha Nina Ndoto za Kuja Kugombea Ubunge Jimboni kwangu ndani ya Miaka 5 ijayoo! Nina...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Mambo ni mengi na muda ni kiduchu. Vibweka kila mahali mchana na usiku. Ndugu Lowasa jana kasema hana nia ya kugombea urais tena, na hivyo tumuunge mkono Rais Magufuli mpaka mwaka 2020 kisha...
6 Reactions
42 Replies
6K Views
Nimetimiza mwaka tangu nimeandika katika jukwa hili. Sababu za kuachana na JF ni za kibafasi ila jukwaa si huru kwa wale wanaofanya maandiko wasiopenda wenyeJF. Kwa kuanzia tu, wengine tumekuwa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Baada ya Edward Lowassa kurudi CCM, na kwa jinsi siasa zilivyo kwa sasa, wanasiasa wanaoonekana kutaka kuviwakilisha vyama vya upinzani katika uchaguzi mkuu wa 2020 katika nafasi ya Urais ni...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Huyu Mheshimiwa ambaye ni Waziri wa Ulinzi wa muda mrefu na Mtoto wa Raisi mstaafu Mzee Mwinyi nafikiria anaweza kuwa kiongozi mzuri sana kwa kiti cha Uraisi kupitia CCM. Ni mtu mtulivu, hana...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
VIMBWANGA TARAJIWA Jinsi tunavyoukaribia uchaguzi mkuu ndivyo tutakavyo shuhudia vimbwanga. Jiandaeni kwa muvi zifuatazo: 1. Ugomvi wa kugombea bendera mtaa wa Ufipa. Zitapigwa kavu kavu baina ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020. Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu...
24 Reactions
364 Replies
21K Views
Kwa kila mzalendo na mpenda haki na ustawi wa taifa letu naamini ataungana na hawa viongozi wetu wakubwa mh Lissu kama rais wa nchi na mh Zitto kama waziri mkuu baada ya uchaguzi wa 2020.wakati ni...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Huyu mzee muone tu vile alivyo. Akiwa mzoefu wa siasa, mtu asiyeyumba na mwenye historia ya kukumbana na vikwazo vingi vya chama dola (CCM) amekuwa mtu wa kutokata tamaa. Yaliyopita yamepita...
8 Reactions
21 Replies
4K Views
Uchaguzi mkuu wa Tanzania unatarajiwa kufanyika mwaka 2020. Hivi karibuni Tundu Lissu amenukuliwa akisema anakusudia kuomba kupeperusha bendera ya CHADEMA. Ama huko nyuma Edward Lowassa nae...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Lengo langu ni kujaribu kuangalia raslimali watu aliyonayo mheshimiwa Lissu katika kuunda serikali yake pale atakapochaguliwa kuongoza Taifa. Tukumbuke kuwa hataongoza peke yake na lazima...
4 Reactions
65 Replies
4K Views
Back
Top Bottom