Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ni kupoteza muda na wasioaminika akina Mbowe na genge lake ama amina Zitto kusema upige kura kinyume na kuwapa wezi walioji camouflage kwenye kuikosoa serikali na wao wana vinanzi ndani ya macho...
0 Reactions
1 Replies
716 Views
Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke, Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema...
34 Reactions
179 Replies
12K Views
Wakati vuguvugu la Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 likianza chini kwa chini, Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amesema yupo tayari kugombea urais ikiwa vyama vya upinzani vitampa...
55 Reactions
625 Replies
74K Views
Baada ya kuona uhamasishaji wa maendeleo katika Wilaya ya Ikungi ambayo wananchi waliifanyia mzaha wakampatia mtembezi kama Vasco da Gama kutoka chama duni cha siasa nchini sasa yaanza kuelewa...
6 Reactions
55 Replies
9K Views
Mzee James Ndalilwa na Anna Ndalilwa walijaaliwa watoto watatu,Mtoto wao wa kwanza alikua na jina la Sikudhani,Mtoto wa pili aliitwa Bahati na mtoto wa tatu alijulikana kwa jina la Mashaka.Wazazi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sioni umhimu wa uchaguzi wa 2020 bwana mkubwa alipaswa aendelee kutumbua tu Na kupiga kazi Kama uchaguzi utafanyika ni matumizi mabaya ya pesa huyu alipaswa aendelee kuongoza akiamua kung'atuka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ameyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa. "Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea...
7 Reactions
116 Replies
13K Views
Naomba kujuzwa tu maana nijuavyo ccm walikuwaga na utaratibu wao maalum kwa mujibu wa katiba yao,wale wenye nia walikuwa wanachukuwa form na kupigiana kura ndani ya chama chao.je wataifuata katiba...
0 Reactions
2 Replies
881 Views
Tundu lissu alishambuliwa kwa risasi 36 na zikampata 16 mchana kweupe eneo linalokaliwa na viongozi wa serikali lenye ulinzi 24/7, akiwa kwenye shughuli za kibunge. Mpaka leo hata mtuhumiwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeona thread nyingi zikimponda huyu na kumsifia yule kuhusu uchaguzi wa uraisi 2020.. nikapata wazo , kwanini tusijadili bila ushabiki wa vyama vyetu , kwa maslahi ya taifa letu kwanza kwani...
1 Reactions
85 Replies
9K Views
Kuna watu wanahusisha kuvuliwa ubunge kwa Tundu Lisu na mbio za urais kwa mwaka 2020. Na miongoni mwa watu hao ni viongozi wa juu wa Chadema. Hivi kweli Lisu ana ushawishi wa kuweza kuwafanya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Vigezo anavyotakiwa Kuwa navyo Ni pamoja na 1.Atuambie ni hatua gani mpya atakazochukua za kumaliza kabisa suala la ufisadi ambalo bado linaonekana kutajwa lipo.Atuambie atavitumiaje vyombo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tuachane na propaganda sasa,tangu Uhuru nchi yetu imekuwa inaongozwa na wataalam kutoka fani kama za ualimu,wandishi wa habari na nk Pamoja na juhudi zao hakuna linaloendelea katika sekta ya...
1 Reactions
4 Replies
966 Views
Habari wakuu Ni zaid ya miaka mitatu imepita toka uchaguzi mkuu umalizike.Mimi kama mtanzania mkazi ya sinza jimbo la ubungo kata yangu ikiongozwa na diwani wa chadema,jimbo langu likiongozwa na...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Washirika wa UKAWA wameijia juu Chadema kutaka itoe tamko kuhusiana na matamshi ya Tundu Lisu Ulaya na Marekani kuwa atagombea uraisi endapo atapitishwa na chama chake cha Chadema.Washirika hao...
2 Reactions
59 Replies
7K Views
Je, ni wakina nani wana hisiwa kwamba wata simama?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa hali ilivyo sasa inaonesha ule utamaduni wa makundi ya kuwania urais 2020 yameshajipanga na yako mkao wa kuelekea kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu ujao. hivi karibuni tumeona kumekuwepo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
maneno matupu hayavunji mfupa
13 Reactions
72 Replies
10K Views
Nizamu ya vijana kuchukua fomu na kujitosa kuwania nafasi mbalimbali ikiwamo ubunge udiwani na hata serikali za mitaa lengo nikuiendeleza Same yetu na kuiweka katika viwango vya kuvutia wawekezaji...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Hongereni kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa. Naomba nitoe wito kwenu kutonielewa vibaya kwa uzi huu. Lengo langu ni kupata ukweli ili kwa pamoja kama taifa tuone nini kifanyike ili matokeo ya...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom