Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Bashe amuumbua Chiligati • ASEMA CCM HAIKUMTUMA KUMVUA NYADHIFA ZAKE na Kulwa Karedia SIKU mbili baada ya serikali kumtangaza aliyekuwa mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Eid Mubarak wanaharakati na wakereketwa wenzangu na marafiki zangu.Ndugu tumsifu Yesu Kristo na bwana asifiwe kwa wengine.Sasa leo nimeamka nikatoka kutafuta gazeti ila sikuona cha maana sana...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Mimi inaniuma sana kuona namna vyombo vyetu vya habari vilivyo mahiri machachari katika kupotosha jamii kwa haswa katika ukweli wa hali halisi ya taifa letu kweli ukisoma magazeti yote...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Media mnamdanganya nani kumwita kikwete dr. Si ni nyinyi mlishabikia sana phd feki? Sasa mnapoandika dr kikwete mnataka tu naye aonekane yumo? Halafu mnatia kinyaa nyie
0 Reactions
1 Replies
919 Views
Ndugu zangu watanzania naomba tukubaliane kitu kimoja uchaguzi wa tarehe 31st October 2010 tusisahau kamwe sio kwa ajili ya Dr Slaa na Chadema ni kwa ajili ya mmambo tunahitaji yabadilike ili na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Anajisikiaje anaposikia wenziye bbc wakiendesha mahojiano na akina kinana bila woga.ajue kuwa amebadilika,na jamii haitamsamehe kwa usaliti huo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Juzi katika kupita pita kwangu nilijikuta kwenye banda la muuza magazeti na nilikuta rundo la magazeti mengi ya kila aina. Mengine hata titles zake ndio mara ya kwanza kuziona, na mimi nilikuwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nimekua nikifuatilia kampeini za CHADEMA lakini kitu ambacho nimekigundua mpaka sasa CHADEMA inafanya kampeini zake na Zitto anafanya kampaini kivyakevyake ZITTO NI CHACHU CHADEMA TUITUMIE MUNGU...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Kuwazuia wagombea wao midahalo ccm wamefanya vizuri. Wanamageuzi wataonekana zaidi na ujumbe ni kuwa ccm wanaogopa,na au wanadharau wananchi.bravo ccm.nadhani mmetathmini mnavyowapa umaarufu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wana JF, hivi kikwete alivyosema kwamba CCM imejenga maabara kubwa na ya kisasa ktk hospital ya Bombo Tanga na hakuna kama hiyo popote dunian, ya kwel hayo?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimejaribu kufuatilia na kubaini asilimia kubwa ya kila analoagiza Dr. Slaa linatekelezwa na rais, hii inamaanisha nini kuwa Slaa anaona mbele zaidi ya Kikwete? Nikianza na suala la kupelekwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Zijue ahadi za wagombea nafasi ya Urais Mgombea wa CCM Jakaya Kikwete, anaongoza kwa ahadi hizo baada ya kutoa ahadi kubwa zaidi 25 akifuatiwa na mgombea wa Chadema Dk Willbroad Slaa ambaye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana jamvi naomba kufahamishwa garama ya kurusha makala kwa muda wa saa moja kwenye luninga kama ITV au Star TV leave away TBC maana huwezi watenganisha wao na CCM kuna makala moja ya...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Mwananchi imefanya kazi iliyonifurahisha. Imeweza kuorodhesha ahadi zilizokwishatolea na wagombea kiti cha uraisi. Kwenye ulingo ni JK akiwa na ahadi 22, akifuatiwa na Slaa 8 na Lipumba 7. Soma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sokomoko sasa yazuka CCM Mwanza Mwandishi Wetu Septemba 8, 2010 Kurejeshwa mgombea wa CHADEMA kwanza kutafuna UAMUZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumrejesha kwenye kinyang’anyiro...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mgombea udiwani Kata ya Kirumba, jijini Mwanza, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Novatus Manoko, amenusurika kufa baada ya kuvamiwa na kukatwa mapanga na watu wasiojulikana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo wana JF Kinana kathubutu kusema Kikwete sio SIZE ya Slaa, nimekubali kwa sababu Kikwete ni "Dakta ??" na Slaa ni "Doctor PhD" ni tofauti mno kiasi kwamba hawawezi kusizeshana!
0 Reactions
40 Replies
6K Views
huyo ni mgombea wa CHADEMA aliyechakachuliwa na CCM mh THOMAS NYIMBO AKILAKIWA NA WANANCHI
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Miaka mitano ya awali nilikuwa najifunza na kupata uzoefu wa urais, Naombeni mnipe nafasi tena ya miaka mitano 2010-5 tuweze sukuma gurudumu la maendeleo. Wenyewe mnaona foleni zimeongezeka hapa...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Pichani ni mgombea Ubunge wa jimbo la Kigoma Mjini kupitia chama cha CHADEMA,Bw.Ally Khalfa Mleh Mgombea Ubunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini,Mh.Zitto Kabwe akisisitiza jambo wakati...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Back
Top Bottom