Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

hapa ilikuwa ni katika kampeini ya chadema jimbo la bukoba mjini katika eneo linaitwa buyekera. Chadema wanakata mbuga...................
0 Reactions
8 Replies
2K Views
MICHUZI Kuna usanii mwingine hauwapi wala kuwaongezea sifa au kuwapandisha chati CCM bali kunaendelea kukidhalilisha CCM na Rais JK. Hivi kweli sababu alizozitoa huyu mwenyekiti Ex CHADEMA...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
CCM yapata pigo jingine Mwananchi, Saturday, 11 September 2010 09:35 Waandishi Wetu CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimepata pigo lingine baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuyatupa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
* Hamad Rashid apigwa butwaa Katika hali ya kushangaza, aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, Salum Londa, jana aliwagawa waumini wa dini ya Kiislamu, baada ya kupiga kampeni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
"...In his campaign trail at Duga village in Mkinga Constituency, Dr Kikwete expressed displeasure over failure to implement his directive of providing Horohoro border police station with a...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hapo juu ni Handeni, na hapa chini ni Mrorogoro. Kwa nini pikipiki hizo zinafanana sana, na hata waendeshaji wanaelekea kuwa na tabia zinazofanana ?.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Waungwana nime washa tv naona live mdahalo wagombea ni wa nne tu, chadema cuf, udp tlp mgombea wa chadema anonekana muelewa zaidi swali la kwanza wanamikakati gani kwa akinamama, vijana,na walemavu
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Wazee angaliene Ni watu gani walikua wana contribute bungeni...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mgombea wa urais wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dr. Wilibrod Slaa amesema; Uamuzi wa CCM kukataza wagombea wake kushiriki midahalo ya kisiasa ni aibu kwa mwelekeo wa demokrasia...
0 Reactions
91 Replies
8K Views
ndugu zangu, naombeni maoni yenu kuhusu gazeti, la mwananchi kama linalipoti sawa kuhusu habari za siasa bila kubase chama cha mapinduzi, kama HABARI LEO, MTANZANIA na mengine mengi, ambayo ni...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Wadau nimeota ndoto. Ni kama tarehe 1 nov hivi ambapo zoezi la kuhesabu kura za urais linaelekea kukamilika. Taarifa zisizo rasmi ni kuwa Dr Slaa anaongoza kwa kura kwa %85 hivi. Nchi nzima...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nimesikia tetesi kuwa Ndg. Oscar Mukassa ambaye ni mgombea ubunge Biharamulo Magh. kupitia CCM amepandishwa kizimbani Kwa kutoa nyaraka (vyeti) feki alivotengeza mwenyewe kuonyesha kuwa mgombea...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimetumiwa waraka huu kwa email kutoka kwa jamaa mmoja anayeishi huko mikoani. Nawabandikia wadau ili muone ushauri wake. Soma kwa makini: sambaza ujumbe huu uwafikie wapiga kura wote waliopo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu si ushabiki ila nasema ki ukweli kabisa for the first time katika uchaguzi huu tunaona CCM - Ikiweweseka, juzi na jana nilikuwa Arusha nimezunguka sana mjini, talk of the town ilikuwa CCM...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Tulisikia kuwa wakati wa utawala wa mkapa,hakuna aliyenyongwa.je kuna mwenye kujua kama kikwete kanyonga au lah? Na vipi vifo kama cha yule trafic suzana wa musoma!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Haya majimbo vipi, naona kimya sana jamani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimeangalia leo ITV baada ya taarifa ya habari Dr Slaa alikuwa kiongea, ghafla alipoanza kuzungumzia ufisadi, akakktishwa na baada ya matangazo wakaweka kipindi cha igizo! kweli huyu shujaa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimejiuliza leo, ni nani na NAMNA gani wahusika wanachagua sehemu ya kufanyia Swala ya EID? Nakumbuka Kinana aliwahi kusema Mgombea uraisi wao atarudi Dar kwa ajili ya mapumziko na kushiriki Eid...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
TBC: We will continue with TV debates Thursday, 09 September 2010 23:29 By...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa niaba yangu binafsi, mgombea mwenza, timu nzima ya uongozi wa Chadema na Chama chetu tunawatakia heri ya Siku Kuu ya Eid El Fitr ndugu zetu Waislamu pote Tanzania wanaposherehekea kumalizika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom