Katika hali ya kushangaza katika Mdahalo ulioendeshwa na TBC1 kwa wagombea wa ubunge Arusha mjini, imeonesha dhahiri Mgombea wa CHADEMA Mr Lema amepita bila kupingwa baada ya mpinzani wa wa...
Elimu kutolewa bure hadi chuo kikuu hivi kwa uchumi gani wa tz.Ifike kipindi kwel kuwe na mdahalo wa wagombea urais ili sera zingine watueleweshe.Mfano rais kikwete alituhadi mambo mengi...
Gazeti la RAI toleo la leo limejaa makala za kuiponda Chadema na mgombea wake wa urais, na upande mwingine kuifagilia CCM na mgombea wake.
Ni rahisi sana ku-confuse gazeti hili na UHURU au...
Mhashimiwa Mabere Nyaucho Marando!!
Unapinga mafisadi eh!
Toa kwanza boriti mkuu.
Ulipokuwa kiongozi wa NCCR-Mageuzi, enzi Mhe. George Liundi akiwa msajiri wa vyama aligundua kwamba chama chako...
Kwa maana jinsi hii Mungu aliipenda Tanzania, hata akamtuma Dr Slaa (a.k.a Silaha ya maangamizi) ili kila mtanzania atakayemkubali na kumchagua katika uchaguzi wa rais mwaka huu 2010 apate...
"Mteja wetu wa Kachumbari ulinufaika sasa hivi una nafasi ya kujishindia milioni 40, Pikipiki 64 na baiskeli 200. Tuma neno CCM kwenda 15016 Kujiunga ni bure." Ujumbe huu umeniudhi sana baada ya...
habari za uhakika ni kuwa ccm bado wana upungufu wa magari ya kampeni. wameagiza magari kutoka nje ya nchi kupitia toyota na dt dobie TZ.
wamewaambia wanataka magari araka iwezekanavyo kutoka...
Wana Jamii.
Mimeshangazwa na kauli ya katibu Mkuu wa CCM Mwl. Luteni Makamba ya kwamba hakuna picha za Ikulu katika mabango, hivi haoni ama anafanya kusudi,pale karibu na ofisi ya Tigo pana...
Huyu mgombea wa Chadema mheshimiwa Dr W.Slaa hatoweza kuukaribia ushindi kabisa na hapo alipo ni kuanguka kwake kisiasa au kwa lugha ingine tunasema ndio mwisho wake.
Ukiangalia migongano ndani...
TANZANIA ni nchi yenye rasilmali nyingi sana. Nyingi sana. Lakini jambo la ajabu na kusikitisha, idadi kubwa ya watu wake ni masikini, tena masikini sana, fukara wa kufukarika, wasiokuwa na makazi...
KIKWETE BAADA YA KUANGUKA MNAMTAKA AZIMIE?
Jamani nasikia Kikwete Hatapumzika kama ratiba ilivyokuwa awali kwamba kwa vile anaanguka mara kwa mara atafanya kampeni kwa awamu ili aweze...
Toka mfumo wa vyama vingi uanze kumekuwa na kawaida ya kuwa na polls estimate kabla ya uchaguzi. Na mara zote imekuwa in favour of CCM. Je mwaka huu vipi mbona hatuwasikii.
Je hii si dalili...
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na
mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili,
tena asiye na utando wa buibui wala tongotongo za ufisadi...
Sunday, 5 September 2010
Slaa anachumbia mtalaka na huyu wa Kikwete ni nini?
Bila shaka watanzania wengi wanajua kuwa Rais wao aliyemaliza muda wake Jakaya Kikwete kuanzia alivyokuwaMakongo...
Wadau wa JF,Poleni na majukumuu ya kuleta mapinduzi ya kifikra katika jamii.
Nimeona nami niwashilikishe hili japa bado mi mchanga katika siasa lakin kuna jambo nikifikiria linaniuma na ningependa...
kutokana na wananchi wa nzega kutokubaliana na kuenguliwa kwa mgombea wao aliyeongoza kura za maoni. mgombea waliompitisha Dr Hamisi Kigwangala ameshindwa kuanza kampeni hadi sasa kutokana na...
Ushabiki wa vyama hauna maana ndugu zangu.tufungue macho yetu, masikio yetu na akili zetu tuangalie mambo ya msingi yanayogusa taifa letu kwa ujumla wake.
Angalia rasilimali zilizoko nchini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.