Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Dalili zote zinaonekana ule mwisho wa CCM hatimaye umekaribia. Watanzania wengi wameamka, wanajua haki zao kuliko kipindi kingine chochote sasa. Wakati wa watu kuwasikiliza watu kama wakina...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
http://www.globalpublishers.info/forum/topics/inakera-hivi-kikwete-hana?xgs=1&xg_source=msg_share_url Mie chichemi Oneni wenyewe.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mgombea ubunge Chadema ahamia CCM Saturday, 04 September 2010 Julieth Ngarabali, Kibaha MGOMBEA wa Ubunge wa Jimbo la Singida Magharibi, kwa tiketi ya Chadema, Nkhambaku Elisha amesitisha...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Gazeti moja la kila juma la kanda ya ziwa katika toleo lake la leo limeripoti mapungunfu kwenye kampeini za wagombea kuwa HAWATAKI KUULIZWA MASAWALI kutoka kwa wapiga kura soma mwenyewe kupitia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Dk Slaa awalipua Pinda, Mkapa Salim Said, Singida MGOMBEA kiti cha urais kupitia Chadema, Dk Willibrod Slaa amemlipua Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisema kuwa akiwa mwenyekiti wa kikao cha...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Energy and Minerals minister, William Ngeleja Bermuda-based TanzaniteOne Ltd. says it had been granted a "staged" exemption from Tanzania's prohibition on exports of rough tanzanite larger than...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ada ya kusajili vyama vipiya vya siasa nchini, imepandishwa kwa asilimia 2000 kuanzia leo!. Ongezeko hilo limetangwa leo asubuhi na Msajili wa Vyama, John Tendwa, kuwa ada ya usajili wa muda...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni: 1."Nchi yangu,kwa umoja,amani na maendeleo yake nitaifia kwanza,iwe sahihi au imeboronga." au 2."Chama changu na kikundi chetu nitakifia kwanza,kiwe sahihi au kina sera...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu jana Chadema jimbo la Nkenge wamezindua kampeini za kutafuta kuchaguliwa kuwa wawakilishi wa jimbo zilizofanyika eneo la Ishozi na Mgombea wa Udiwani pamoja na mgombea wa ubunge Mr Phocas...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Na tuweni wakweli? Katika wagombea URAIS bila kuangalia chama..ukiambiwa pigia kura "UADILIFU, HAKI na UZALENDO nani anastahili??? Jibu lako nani apewe uongozi wa nchi??? Mtanzania yeyote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mtu mwenye data aziweke ukumbini tuone impact ya magazeti haya ya Udaku. Kila gazeti wanauza copy ngapi kwa siku? Daily News habari leo Mwananchi Tanzania Daima Nipashe Guardian
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tangu kuanza kwa kampeni za ubunge na urais tumeshuhudia majibizano mengi ya maneno na kuchafuana kunakolenga kupunguza nguvu ya upande mmoja. Katika kuchunguza kwangu nimegundua kuwa walengwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mh. Raisi J.M Kikwete ametoa ahadi kuwajengea nyumba wakazi waliokumbwa na mafuriko wilayani Kilosa ktk kampeni yake ya uchaguzi. Pia itakumbukwa kuwa Kiongozi wa Libya alitoa ahadi kama hiyo, ila...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
CCM wanatumia nguvu nyingi sana kujitangaza! Wamezagaa kila mahali kwenye mitandao! Cha ajabu ni kwamba CHADEMA sijui hata kinachoendelea, siamini kwamba CHADEMA hakuna uwezo wa kufanya hivyo! A...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Maoni mnayo ninyi, mi nisiwasemee!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwaka huu duh! Kuna kazi kweli kweli. Wagombea urais wawili wakuu wanaochuana vikali katika kampeni – yaani JK wa CCM na Dr Slaa wa Chadema wote wawili wamejikuta wanafunguliwa kesi za madai...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna ka-kampuni fulani niliwahi kuambiwa ndo kana-haki miliki ya kuratibu mambo yoote ya madini ya Tanzanite. Haka ka-ofisi kako based Johannesburg - sehemu za Sandton, hivi kuna ukweli wowote...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WATU wanaoaminika kuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kijiji cha Sengenya wilayani Nanyumbu, mkoani Mtwara mwishoni mwa wiki iliyopita waliwazingira na kutaka kuwapiga viongozi wao...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanasiasa wa Tanzania mbona kama wana sound the same? Au ni masikio yangu tu? Hebu msikilize Zitto hapa YouTube - Maendeleo-Mkutano wa Nane Kijiji cha Mgaraganza, Kata ya Kagongo,Kigoma Kaskazini
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom