Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Habari za nakala za gazeti la Changamoto, lilokuwa limesheni makala juu ya maisha binafsi ya Dr Slaa, zilinishitua sana kwa sababu siyo kitu cha kawaida, nilishituka zaidi kwa sababu makala kuu ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu ebu fikiri na useme tunajifunza nini katika picha hii? Je unapokuta picha hii kwenye mazingira haya unafikiriaje? uko tayari kutoa kura yako?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mkulo asema Bunge lilibariki mishahara Kinana naye atoa ufafanuzi kilichojiri Makamba kama kawa aendelea na kejeli Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewasilisha utetezi wake rasmi dhidi ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Asante Mungu kwa kuipenda Tanzania hata ukamtuma mwanamapinduzi wa pekee Dr. W. Slaa ili kila Mtanzania atakayempigia kura apate kuleta ukombozi wa kweli. Tazama umemtuma kwa wapenda haki ili...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hii Comment nadhani imetulia, sasa tuhitimishe mijadala ya maisha binafsi na kuangalia masuala ya mustakabali wa TAIFA! Tujibu hoja za manufaa kwa wananchi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
East Africa Television (EATV), itazindua kipindi kipya cha uchaguzi kiitwacho Uchaguzi Express leo Jumatatu ya tarehe 06/ 09/ 2010 saa tatu kamili usiku. Kipindi hicho kitakachokuwa kikirushwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
KIONGOZI WETU AWE NA SIFA NA SI JINSIA Kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuna utaratibu wa kubadilisha viongozi wa ngazi mbalimbali za kisiasa kila baada ya miaka mitano...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu, Muda si mrefu (saa 3 usiku) kwa mlio nyumbani kutakuwa na Jimbo kwa Jimbo ambapo hii leo mheshimiwa Augustine Lyatonga Mrema wa TLP atakuwa kwenye mdahalo na John Mrema wa CHADEMA...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Wakati wa mabadiliko ni sasa Wakati wa maendeleo ni sasa Wakati wa kumwingiza slaa ikulu ni sasa Ni kauli mbiu tu jamani Maisha yakiendelea hivi tutayaweza kweli ni wewe kufanya uamuzi sahihi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za kuvunjika vunjika zilizoifikia JIACHIE mapema leo (jana) asubuhi zinaeleza kuwa mmoja wa Wasanii wa muziki wa kizazi kipya,Fred Marik a.k.a Mkoloni (kulia) ambaye pia ni Mwanachama wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Dah,nimetoka mkutano wa ccm na bilal alikuwepo. Iringa wamechoka ccm na hawaoni aibu kusema hadharani kwenye mikutano. Hii ya leo AIBU, mama mbega lazma anataka kujiuzulu ni noma but encouraging.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi najiuliza kama kweli Upinzani ukishinda je CCM watakuwa tayari kuachia madaraka??Au ndo kutumbukiza nchi katika vurugu je Upinzani unaweza kuongoza nchi??Je Kwa nini unadhani Jakaya Kikwete...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
• Kisa, mitihani ya darasa la saba na Mwandishi wetu KAMPENI za Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani zinatarajiwa kusitishwa kwa siku mbili ili kupisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Source: Michuzi Blog Mkazi wa Matombo, Morogoro vijijnini Mashariki, akiinadi CCM My take: CCM ni Chama ambacho kila wanachama wa kada mbalimbali bila kujali dini, kabila, rangi wala...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Yes: Nchi yenye zaidi ya miaka 45, imeshindwa kutoa quality presidentt material... hii inathibitika kwenye kampeni za siasa zailizo sasa. Tumeshindwa kubaki na sera, na ubora, sasa tupo kwenye...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
WanaJF inabidi tukae tayari tujiandae nchi hii haitakuwa salama siku za mbeleni Taasisi za kidini enzi za mwalimu zimekuwa kimya zikifanya mambo yake lakini baada ya kuingia utawala wa JK mambo...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Mwaka 2005 alikuja na kauli mbiu tamu sana, eti maisha bora kwa kila mtanzania. Nimeona sehemu nyingi, picha nyingi pamoja na maelezo ya watu wengi kuwa mambo sia kama walivyotaka iwe. Mwaka huu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pasipo kutarajia,CCM inaweza kulazimika kuuambia umma kwanini mafisadi waliotajwa kwenye List Of Shame (orodha ya mafisadi sugu iliyowekwa wazi na Chadema viwanja vya Mwembeyanga) hawajachukuliwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
MAALUM KWA WAKAZI WOTE WENYE KUMILIKI ARDHI NA NYUMBA PEMBEZONI MWA JIJI LA DAR ES SALAM NA MJIJI YOTE MIKUBWA. Eneo lote la mkoa wa Dar es Salaam zamani lilikuwa na Vijiji vya Ujamaa 52...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Akinukuliwa na Clouds FM radio na Channel 10 naye amesema: CHADEMA Hawajatumia lugha ya kistaarabu kwa mgombea wao Adai hawawezi kukaa kimya Mwenyekiti wao na Rais akitukanwa Adai wote...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom