Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Tume ya Uchaguzi Taifa umetengua maamuzi ya Msimamizi wa Uchaguzi Nyamagana na kuamua kwamba uchaguzi utaendelea! Seems funny though as the appeal was out of time and unprocedural! I will now...
0 Reactions
79 Replies
9K Views
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye na utando wa buibui wala tongotongo za ufisadi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau nijuzeni nasikia Muheshimiwa Zuberi Kabwe Zitto kadondoka jukwaani jana,mwenye habari kamili tafadhali,tutafurahi kuona clip
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nilikuwa napitia katiba katika tovuti ya taifa (www.tanzania.go.tz) nimekutana na hiki kipengele ambacho nimekuwa interested kujua zaidi: 38.-(1) Rais atachaguliwa na wananchi kwa mujibu...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
:violin:Jamani sijasikia huyu mkuu wa nchi akisema lolote kuhusu shirika letu la ndege alilolikuta na analoliacha!!!!!!:focus:
0 Reactions
7 Replies
2K Views
• Amtaka aache kuikingia kifua CCM Na Mwandishi Wetu, Tanzania Daima SIKU chache baada ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mabere Marando, kuwahusisha...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbrod Slaa, akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni, kweny Uwanja wa Kwarah mjini Babati mkoani Manyara jana...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Nilikikuta kipindi cha Kipima Joto kikiwa ukingoni lakini Mchambuzi aliyekaribishwa alinikosha sana pale alipodai kuwa kama angeshirikishwa katika utungwaji wa Sherioa ya Gharama za Uchaguzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu baada ya chadema kuzindua jana mjini, wanazindua leo vijijini.tayari tupo bugabo na watu wamejaa na tayari viongozi wanazungumza.mwenyekiti wa chadema mkoa na mgombea ubunge bkb mjini...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau, naomba nifahamishwe. ‘Matusi' ni nini katika medani hizi za kisiasa? Na nani mwenye mamlaka ya kutafsiri ‘matusi' katika kampeni hizi? Najua CCM wangependa sana kuwa watafsiri...
0 Reactions
114 Replies
9K Views
Ndugu zangu kabla ya kampeni kuanza nilipata bahati ya kutembelea hospital mbalimbali Huku kwetu kanda ya kaskazini. Ukienda utakuta wakina mama wanaosubiri kujifungua wamelala wawili kitanda...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
JK ana magonjwa mengi. Pamoja na hayo yanayomfanya azimike, kuna ugonjwa huu wa "AHADIsm". Ndani ya wiki moja ya Kampeini ametoa ahadi mpya zisizokuwa katika Ilani ya CCM kama ifuatavyo...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakuu tupo bukoba vijijini,INJINIA NDIBALEMA, Anazindua kampeni.watu wengi mno
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Watanzania wapi tunakwenda Tafakari wewe mwenyewe... miaaka mitano iliyopita 1US dollars ilikuwa inakwenda kwa Tshs 1300 ila sasa 1 Us dollars inakwe 1,550 Tshs na bado inapaa bado tuu tunashindwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hivi huku sio kuvunja maadili ya kazi yake? Kwa nini asitabiri hivyo 100 kuwa ni vya CCM? Huku sio kupigia kampeni CCM? Yaani na yeye anaungana na kazi ya Sheikh Yahya!!? Basis ya utabiri wake ni...
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Baadhi ya Mitaa katika jiji la Dar-ES-Salaam, barabara zinapigwa greda (Mfano maeneo ya Magomeni). Kwa nini sasa na si mwaka jana? Nadhani hapa ni mahali pa kuanzia kampeni kwamba mchakato wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi napata shida sana kuwaelewa CCM ni kwa jinsi gani wasivyo na UTU, HEKIMA WALA BUSARA. Wanatumia zaidi ya shilingi bilion 20 kuandaa mabango, kanga, tisheti, kofia na vipeperushi na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu wana JF leo nimepokea ujumbe toka Vodacom ukisomeka hivi: "Samahani kwa usumbufu, mchango wako kwenda chama cha CHADEMA haukufanyika awali kwa sababu ya matatizo kiufundi. Tunaomba utume...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Unajua kila siku naendelea kuishangaa ccm na hila zake. Ahadi anazoaidi JK kutatua matatizo ya wananchi ambayo yamekuwa-created na mfumo wa ccm yenyewe!!!!!. Nianze na mfano huu; Katika ulimwengu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
sasa ninapotuma hii post, helkopta ya dr WS inarandaranda juu ya jiji la Idodomya na majira ya saa 9 mchana dr WS atahutubia umati wa watanzania kupitia viwanja vya barafu vinavyopakana na uwanja...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom