Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wameona haitoshi wameanza kufunika mabango ya wapinzani, wao wakifanyiwa mchezo huu si watasema wapinzani wameanza matusi na uhuni. Hapo bango la mgombea wa CUF likiwa limefunikwa na la CCM, sijui...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa vifaa vya kupigia kura vikiwemo shahada na masanduku tayari vimewasili chini siku chache baada ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu. Linalosikitisha...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana-JF: Kesho (Ijumaa), kituo cha televisheni cha ITV katika kipindi chake cha Kipima Joto saa 3 usiku, mada kuu itakuwa ni Sheria ya Matumizi ya Fedha katika kampeni iliyotiwa saini na JK...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
JK analindwa na Usalama wa Taifa je, hawa wengine inakuaje wakati tayari ni asset ya Taifa letu? Kwani kuna uwezekano wa kuwa rais! Mkapa alilindwa alipoteuliwa tu kuwa mgombea urais; sasa kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Katika kipindi cha Jahazi cha tar 31/8/2010 mtangazaji Kibonde amejifanya kuwa mtetezi wa JK na CCM kwa kuliponda pingamizi ya Dr Slaa na CHADEMA kuhusu JK kukiuka Sheria ya Gharama za Uchaguzi...
0 Reactions
219 Replies
17K Views
Habari toka redio maria saa nne usiku huu, nimesikia mgombea udiwani kata ya nduruma amefariki ghafla baada ya maumivu makali ya kichwa tangu alipopitishwa na chama chake. Maumivu hayo...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kuna taarifa za kuwa Katibu wa CCM kata ya Isamilo ambako katibu wake aliuawa kwa kuchoma kisu na Meya wa Jiji Bihondo akakamatwa kwa mauaji, amelishwa sumu na sasa yupo mahututi Bugando kwa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Binafsi nimeipenda, Haya nawe endelea!!!!! MTANZANIA YEYOTE MZALENDO WA KWELI, MWENYE AKILI TIMAMU, ASIYE NA MTINDIO WA UBONGO, WALA MTUMWA WA HILA CHAFU, WALA UDUMAVU WA KIAKILI, TENA ASIYE NA...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba nijuzwe tangu Kampani za Mwaka huu zizunduliwe Agosti 21 mbona sijasikia kampeni za vyama vifuatavyo: 1. NCCR-MAGEUZI 2. UDP 3. TLP 4. SAU Je! Hivi vyama ni kwamba havijazindua rasmi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nasikitishwa sana na kauli za viongozi wa CCM za kutaka vyama vya upinzani visizungumzie habari za ufisadi na matumizi mabaya ya uongozi vilivyokuwa vimetamalaki katika serikali iliyopita...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeshangazwa na mabango mengi yenye picha za RAIS anayemaliza muda wake, akiwa na watoto wadogo na wazee. Picha hizi huwa zinaandikwa kwamba chama kinajali watoto na wazee na rika zote, hivyo...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
WAKINGE UWAPENDAO NA THITHIEM! Wakinge uwapendao na ccm, vunja ukimya zungumza na Chadema okoa taifa lako na mafisadi, badili mfumo wa kura yako.Tz bila ccm inawezekana kabithaa!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waheshimiwa tupo bkb,ndg mbunge anazindua viwanja vya kashai.watu wameshajaa.naendelea kuwaletea hii live
0 Reactions
37 Replies
4K Views
NA MWANDISHI MAALUM NEW YORK-Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon amemtakia kampeni njema , Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Rais Jakaya Mrisho Kikwete, na mafanikio mema...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk.Willibroad Slaa, akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni mjini Kibaya katika jimbo la Kiteto mkoani Manyara jana. Alisema...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Makamba: Shibuda sawa na ganda la mua la jana hana mvuto kisiasa asema CHADEMA wamevuna makapi akimaanisha Shibuda. Shibuda: Makamba ni sawa na gunia tupu, sawa na puto lenye hewa za kueleaelea...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Ni muungano wa waTanzania ambao unawajumuisha watu wa makundi yote, bila kujali dini, jinsia, rangi wala itikadi zao. Nia halisi ya muungano huu ni kuleta mabadiliko muhimu ya kiuongozi katika...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mbio za muungano zilifikia kilele chake pale JK alipoamua kuuvulia njugaMuungano, na kuahidi kuupatia ufumbuzi wa kisiasa. Muungano ulijengwa na JK(Kambarage) na kusua sua bila mafanikio, na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Tanzania daima leo imeripoti kuwa, imegundulika kuwa wanachama 400 wa CHADEMA waliorejesha kadi zao kwa KIKWETE na kukabidhiwa za CCM, kumbe ni mamluki na kadi zilikuwa feki. Hata viongozi...
0 Reactions
71 Replies
7K Views
Tusiukubali kamwe uhuni huu wa CCM Maoni ya Mhariri KATIKA mchakato wa kupata wagombea ubunge na udiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa uchaguzi mkuu ujao, kumefanyika uhuni. Bila...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom