Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Katika kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2005,mfanyabiashara controversial Rostam Aziz alitumia raslimali zake nyingi kuhakikisha mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM,Jakaya...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
UCHAWI JANGWANI - Global Publishers My take: Hivi ni kweli haya mambo yalikuwepo au ni mbinu za kuficha ukweli juu ya matatizo ya kiafya yanayomkabili JK?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu jumatatu tarehe 30.08.2010. chama cha CUF walizindua kampeini za uchaguzi mkuu jimbo la Bukoba mjini wakiongozwa na mgombea mwenza Mh. Duni kwenye uwanja maarufu wa mashujaa mjini Bukoba...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
THE CHADEMA Presidential candidate Dr Willibrod Slaa (left) and his running mate, Said Mzee Said display their forms received from the National Electoral Commission (NEC) Chairman, Judge Lewis...
0 Reactions
153 Replies
16K Views
2008-11-10 13:48:03 Na Mashaka Mgeta Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimezidi kukitesa Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya kuwachukua wanachama wake kadhaa ambao ni...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Baada ya kusoma habari hii: NEC sasa kuengua CCM kwenye Gazeti la Raia Mwema nimepata mshituko kidogo. Kwa wale ambao ni wajuzi wa Sheria labda wanaweza kutusaidia kutuelewesha. Kwenye habari...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu huyu Mzee sasa anelekea kubaya,MELI MBEYA,zitakuwa zinapita wapi sasa!!!! Naskia wananchi wakashangilia CHADEMA OYEEEEEE. Wakazi wa Mbeya mtujuze jamani
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye na utando wa buibui wala tongotongo za ufisadi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kufuatia kauli yake kuwa Marehemu Idris Abdul wakil alikuwa darasa la saba.. Zanzibar yambana Mbowe awaombe radhi Mwinyi Sadallah Ni kwa kauli Rais mstaafu darasa la saba Mwenyekiti...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Watawala wetu walioshindwa wamejaribu kutengeneza siasa ambayo si siasa tena; wanajaribu kuichakachua na kufanya siasa isiwe vile ilivyo. Siasa ni pamoja na kejeli, utani, kebehi, uchokozi na hata...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nimrod Mkono kupoteza ubunge Na Mwandishi wetu - Imechapwa 25 August 2010 MBUNGE mteule wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono ameingia katika kashfa ya rushwa ya uchaguzi na huenda...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Joel Kimbisa 2010-09-01 Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye na utando wa...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Tangu kuanza kwa mchakato wa uchaguzi 2010 nimekuwa nikifuatilia kwa makini sana uandishi wa habari kwenye magazeti yanayochapishwa hapa nchini ili kuona ni kiasi gani yamejikita katika kuandika...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Katika kipindi hiki cha kampeni ambapo vyombo vyingi vya habari vikiwemo vya umma vimeamua kuegemea upande wa CCM, na vikipotosha habari dhidi ya upinzani, CHADEMA wanapaswa sasa kutafuta njia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nguvu au Udhaifu wa vyama viwili,CCM na CHADEMA vinavyochuana kuingia ikulu iko kwenye kashfa nzima ya EPA na yote yaliyojiri kwa CCM kuingia madarakani kwa kipindi kilichopita. Ni jinsi kila...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna habari kuwa wakati mgombea urais kwa tiketi ya CCM Jakaya Kikwete akiwa Mbalizi mkoani Mbeya alivuna wanachama wapya wapatao 400 wengi wao wakiwa wanachama wa Chadema akiwemo aliyekuwa Katibu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi sikifagirii chama hiki cha CCM... lakini situation inaonesha kimeshashinda, kwasababu Zenj wamesha vunjwa mbavu kwa kumsimamisha Dr. Shein, na kumleta huku bilali ni saikolojia kubwa sana...
0 Reactions
73 Replies
6K Views
Nimeona watu bado hawajaweka ilani ya Chadema, hasa baada ya MWJJ kuipigia debe kabla ya kutoka! Sijui topic iliishia wapi! But anyway...hii hapa!feel free kuipitia!
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Mgombea kiti ca uris kwa ticketi ya CCM JK siku ya ufunguzi wa kampeni pale jangwani baada ya kupata nafuu kwa kile kilichomtokea alirudi jukwaani alizungumza haya tena kwa kujiamini. Nanukulu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shirikisho la michezo ya Idara za serikali, wizara na ofisi za wakuu wa mikoa(SHIMIWI) limetangaza kusitishwa kwa michezo hiyo iliyokuwa ifanyike Tanga 17th September -2nd October. Wadadisi wa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom