Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Leo katika kipindi chake cha mapitio ya magazeti cha 06.50am asubuhi, kituo cha television cha ITV kinachomilikiwa na IPP Media kilifanya tukio ambalo sikulitegemea kwa kwa kituo hicho...
0 Reactions
150 Replies
13K Views
Wakubwa, Hi ni kauli inazungumzwa sana hasa na MAKADA WA CHAMA CHA MAPINDUZI mitaani na kauli hii hii hii ilizungumzwa pia na mtoto wa hayati baba wa taifa kwamba ni kweli ukiweka pembeni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
KATIBA mpya Tume huru ya UCHAGUZI Ofisi huru ya MSAJILI wa vyama TAKUKURU huru Kuiondoa MAHAKAMA kutoka c idara ya mahakama na kuwa mhimili kamili ambapo CJ anakuwa na status sawa na speaker wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hapa kuna mambo jamani hivi mtu kweli,tangu aingie madarakani hajawahi hata mara moja kutembelea baadhi ya sekta muhimu zilizopo ndani ya kata yake mpaka anaondoka madarakani halafu leo anagombea...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Helikopta ya Slaa yapata tabu kutua Mpwapwa Thursday, 02 September 2010 Salim Said, Mpwapwa HELIKOPTA ya mgombea urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chadema, Dk...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za TBC zafanyiwa mageuzi makubwa baada ya malalamiko makubwa toka kwa wadau mbalimbali kama vyama vya siasa, jukwaa la wanahabari, wananchi na mitandao kama JF. Ni matumaini hali hii ya...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
1.Uchumi au kushuka shilingi ya Tanzania kama iko kwenye victoria falls Utaukuzaje uchumi wa Tanzania na shilingi ya Tanzania kuwa yenye thamani? 2. Elimu ya Tanzania Utafanya mbinu gani...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Gazeti la tz daima leo lina taarifa kuwa wafanyakazi wawili wa mgodi wa Buzwagi wametimuliwa kazi kwa kujihusisha na siasa na kuishabikia CHADEMA. Inaonekana hawa jamaa wanajua kabisa kuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nina 100,000/= kwa ajili ya kampeni nataka kumpa Rais wetu mtarajiwa, dr. W. Slaa kwa ajili ya kampeni. Nilijaribu ku PM kwake lakini hadi sasa hakuna jibu huenda yupo busy na mambo ya kampeni ...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rais Mstaafu Benjamin Willium Mkapa MGOMBEA mwenza wa nafasi ya urais kupitia CCM, Dk Mohamed Gharib Bilal amewaambia wananchi wa Masasi kuwa, rais mstaafu wa awamu ya tatu ambaye ni mkazi wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Dobo, Tafuteni kwanza taarifa za kueleweka na uhakika, wakulima sasa hivi wanalipwa shilingi 7,500/= kwa kilo moja ya kahawa na siyo 700/=kama anavyodai DUNI. Source: Coffee Board & Coffee...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kiongozi wa Kampeni za CHADEMA Prof. Baregu amekanusha madai yaliyotolewa na CCM kupitia Meneja wa Kampeni za CCM Kinana na Katibu Mkuu wa CCM Makamba kuwa CHADEMA wametumia lugha ya matusi katika...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
kuna habari kuwa TBC wameweka hadharani makubaliano waliyoingia na vyama vya siasa ya kuzingatiwa kila wanaporusha matangazo ya mikutano ya hewani. binafsi sijafanikiwa kuyaona,kama kuna mwenye...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tutageuza majengo yote ya Serikali Dodoma kuwa vyuo vikuu na vyuo vya ufundi kwa kuendelea na azma yetu ya kuachilia mbali mpango wa kuhamishia makao makuu kwenda Dodoma. Dodoma itakuwa ni jiji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwamba ufisadi na ubadhirifu katika serikali ya Kikwete unagharimu asilimia 25 ya pato la taifa. Na kwamba Kikwete anahusika moja kwa moja na: 1. IPTL 2. Bulyanhulu 3. Kagoda 4. EPA 5. Deep...
0 Reactions
46 Replies
8K Views
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibroad Slaa, amelia akitoa machozi kutokana na hali ngumu inayowakabili wakazi wa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Silaa tafadhali kutaka kwako kura kusikufanye ukatunyang"anya tonge wafanyakazi mdomoni. Tunazitaka sana hiyo nyongeza ya mshahara no matter imetangazwa wapi? we mbona umeahidi mengi? hizo ahadi...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
WHY DO WE STILL NEED JK IN POWER? I would ask watanzania wenzangu to think about what am going to talk about with reasoning. It is not easy for a president kutekeleza Vitu vyote ambavyo...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hivi huyu Salma au Salima anahusika vipi kwenye kupiga kampeni? Je, ni kiongozi wa UWT? Je, gharama anazotumia zinatakiwa kujumuishwa kwenye zile za mgombea urais wa CCM? Hivi ni kwa nini...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini mwenendo wa vyombo vya habari..hasa baada ya tukio la jumamosi......kwa wale ambao wameangalia kwa makini mtagundua kuwa .....televisheni ya TBC ...hawazipi tena...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom