Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kwenye jimbo langu, vyama vingine pia vina wagombea, lakini baada ya kikao cha NEC nilisafiri kidogo nje ya nchi nimerudi sasa na kukuta wansambaza habari kuwa nahojiwa na TAKUKURU!! uongo kabisa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Napenda kuona CHADEMA wakati huu wa kampeni ikiwakumbusha wananchi umuhimu wa kupiga kura na kuhakikisha kura zao zinaehesabiwa kwa yule mgombea wao waliyemchagua. Hii itahitaji CHADEMA kuwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zinakuja kwenye wire ni kuwa, mgawanyiko ndani ya ccm unaendelea kufutuka na sasa ngoma ndo mwanzo inaanza. Kwa waliodhani kuwa zile kashfa zote za kumweka Kikwete ikulu mwaka 2005 zilikufa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani kuna kitu kimoja kinakera sana katika mambo haya ya kampeni- kuona vyombo vya habari vikiwa biased bila hata kuficha. Channel Ten nawauliza swali, je mmeamua kuwa makada wa CCM na kuacha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
hili hasa ndilo waliokuwa wanastahiki kuambiwa hawa jamaa zetu kwa muda mrefu. sasa ni juuu yao kumeza au kutema. Makamba: Viongozi Chadema wana akili ndogo CHAMA Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
72 Replies
6K Views
Inaonekana Tume ya Uchaguzi kwa sababu wanazozifahamu wameamua kutoa tafsiri mpya kwa maana ya kampeni ya Uchaguzi. Ninavyoelewa mimi kufanya kampeni ni kujinadi kwa wapiga kura kwa nini...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Is Education a priority in the elections in October?
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Nimegundua kuwa humu kuna washabiki wengi sana wa siasa, wakereketwa nk. Je wewe ni kati ya wapi hao? unaweza kujibu uongo au ukweli, japo ukeli hupendeza zaidi, au ukajipa jibu mwenyewe halafu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
Wakuu, Jana tulikuwa na mchakato wa kura za maoni jimboni kwetu. Tulikuwa wagombea wawili katika chama chetu. Nimefanikiwa kushinda kura za maoni kwa kishindo na kumuangausha mpinzani wangu...
0 Reactions
419 Replies
31K Views
Hali imekuwa ngumu upande wa Mzee Makamba baada ya wananchi wa Bumbuli kumkataa mwanae Januari Makamba na kumuunga mkono mtu mwingine katika nafasi ya ubunge. Mzee Makamba amepagawishwa na taarifa...
0 Reactions
188 Replies
16K Views
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekwepa kumwekea pingamizi mgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete, kama kilivyoahidi na badala yake kimepeleka malalamiko kwa Msajili wa Vyama vya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Jakaya Kikwete ametoa mpya na kali ya mwaka baada ya kuahidi kutoa babaj 400 nchi nzima kusaidia akina mama wajawazito mara wanapapatwa na uchungu na kuhitaji...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika pitia pitia zangu katika blogu ya Issa Michuzi (MICHUZI) nimekutana na hii habari; "HOJA BINAFSI KUHUSU MALALAMIKO YA KAMPENI ZA UCHAGUZI KWA GLOBU YA JAMII KUA GLOBU YA JAMII...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba ndugu zangu mlio CCM mnipe good convincing arguments za kukipa Chama chenu kura yangu kwa miaka 5 ijayo.... Sitaki paragraph nyingi. Ningependa unandike kwa point. mfano: 1. Tumekamata...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habarini bandugu, nilipenda kujua kitu kimoja, juzi siku ya jumapili nilikuwa maeneo ya mwananyamala kituoni nasubiri daladala kuelekea stesheni nikaona vijana wadogo wako kikundi kama 30 hivi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama kweli Rais Kikwete amefanya mengi mazuri , hadi kupigiwa chapuo la kupewa tena uongozi wa juu wa Taifa hili, mi najiuliza gharama zote hizi wanazotumia za nini ?nayatizama mabango njiani hapa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu Sana, Hivi kubandika haya mabango barabarani koote JK akiwa na mama yake,mababu,sijui na nani tena ni kampeni kweli au show off?....nimekereka
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom