Sipati picha imekuwaje leo Mtanzania linawafagilia Chadema kiasi hiki ambacho si cha kawaida?
Pata udondozi wa Kichwa Kikuu Cha Habari:
KAMPENI SI MCHEZO
Dk. Slaa Naye "Afunika"
- Ataanza...
Bwana Issa Michuzi alitoa maelezo marefu kuwa yeye hafungamani na upande wowote ingawa asilimia kubwa tunamjua ni kibaraka wa CCM ,informer fulani wa usalama .
Sasa hivi iko dhahiri kuwa...
Nina tumai kwamba Jamiiforums inatekeleza dhana yake ya WE DARE TO TALK OPENLY, kwa vitendio, na kwahiyo basi waratibu wake hawatafuta maswali yangu kwa wagombea Urais wa Chadema, CUF, na CCM...
Inanitatiza hapa. Inakuaje - katika vyama vikuu vya upinzani – CUF inaonekana kulala usingizi?
Hivi hili pingamizi Dr Slaa alilomuwekea JK kuhusu "hongo" kwa wafanyakazi CUF wao...
Wapendwa wanaJF, ni yamkini tulifuatilia kwa makini tangu mbio za uraisi zilipoanza rasmi 20/08/2010 pale ambapo wagombea wote wa viti vya urais na wabunge walipotakikana kwa utaratibu, kurudisha...
CCM ni chama cha fitna na kimekuwa reduced such that everyting in CCM kina bei yake, hata uraisi. Ni chama kilichofilisika kisera na ndiyo maana kiko bize kununua affection. CCM na wapambe wake...
mkuu wa kaya ame ahidi kwenye kampeni kanda ya ziwa kuwa kuna barabara itajengwa
kwa msaada wa serikaili ya marekani, ziko wapi tsh 300 kwa lt ya mafuta zilizoingizwa kwenye bajeti ya zakia...
Kuna taarifa kuwa msafara wa mgombea kwa ticket ya CCM umepata ajali baada ya gari la ulinzi kupinduka.
Taarifa zaidi zinasema hakuna majeruhi makubwa ingawa imesababisha usumbufu mkubwa katika...
Ndugu yangu Mtanzania
Nimeandika makala, ambayo ni wosia wangu kwako. Tafadhali usome, nimeyaambatanisha kwenye waraka huu.
Utakapotafakari na kuelewa nilichokuasa, tafadhali fikisha ujumbe kwa...
Majuzi Alhamisi nilikuwa sehemu nyakati za jioni hivi, nikasikia kwenye taarifa ya habari ya Redio Uhuru ikisema kwamba Mwenyekiti wa WAMA (ile Taasisi ya Fisti Ledi wa inji hii ya Bongo)...
Muda mfupi uliopita nimetoka kushiriki kwenye mdahalo wa kuandaa Agenda za Vijana za Tanzania tunayoitaka leo na baada ya uchaguzi kwa kifupi Ilani ya Vijana.
Mjadala huu uliandaliwa na Asasi ya...
Kwa bahati mbaya chama changu kimekuja na hoja nyepesi sana hoja ambazo hazipo kwenye ilani bali zinatoka kwenye vichwa vya wagombea wa chama changu kiasi ambacho naamini baada ya kutoka kumwaga...
Huyu sijui TAKUKURU wamemkosaje? Alikuwa anatoa rushwa waziwazi.
Shughuli zake hazieleweki vizuri na kuna malalamiko mengi dhidi yake toka kwa wananchi juu ya Ujambazi.
Hivi Millenium hii ya...
Sasa naona ccm wameamua kuhamishia kampeni zao kwenye magazeti
ya mwanachama wao shigongo kama ijumaa,risasi,champion,magazeti ambayo yanawadharirisha mama na dada zetu kwa habari zao za...
Nimeona kwenye list ya wagombea wa CCM kuna wagombea kadhaa ambao elimu yao ni shule ya msingi, swali langu je hawa wakiwa kwenye kamati za bunge wataweza kutusaidia? Mfano mikataba karibu yote...
........................................
CURICULUM VITAE(BIODATA)
Full Name: Willibord Peter Slaa.
Date and Place of Birth: 29.10.1948,Kwermusl,Mbulu,Tanzania.
EDUCATION:
PRIMARY: 1958-1961...
LICHA ya sheria na kanuni za Uchaguzi kuzuia matumizi ya magari ya serikali, msafara wa mgombea urais wa CCM Jakaya Kikwete umetumia magari kadhaa ya serikali katika mikoa ya Mwanza, Geita na...
Wote tumeona jinsi JK alivyoanza kampeni yake kwa rafu kubwa (achilia mbali ishara ile (tafsiri utakavyo) iliyotokea Jangwani siku ya ufunguzi wa kampeni.
Rafu hizi, kama alivyoziainisha Dr...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.