Kuna habari kwamba waandishi wa habari hasa kutoka habari corporation wanatumika katika kampeni za kumnadi Rais Kikwete, na wale wote wanaokwenda kinjume na maslahi ya CCM wanafukuzwa katika...
Rais Jakaya Kikwete
Na Waandishi Wetu
Wakati Shirikisho la Vyama vya Wanyakazi nchini (TUCTA) likidaiwa linajipanga kutoa tamko la kuwataka wafanyakazi wote nchini kutompigia kura Rais Jakaya...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KUJITOKEZA KWA UKIUKWAJI MKUBWA WA MAADILI YA TAALUMA YA UANDISHI WA HABARI KATIKA HABARI ZA UCHAGUZI MKUU
Kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu 2010...
ALIYEKOSA nafasi ya kuwania ubunge katika Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Rachel Mashishanga, ametangaza kumuunga mkono Fred Mpendazoe anayewania ubunge...
Kikao kilichoitishwa na Katibu wa CCM mkoa wa K'njaro ndg. KAZIDI, wiki chache kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi na kuhudhuriwa na wanafunzi wa vyuo kadhaa vya mjini Moshi, kiliazimia kuwa...
Tupe asilimia ya sifuri sio 4. 4 ni 4 iwe ya 28 au ya 33 zote ni 4. Hoja ni sifuri sio 4.
Sasa 4 ya 29 hadi 33 unaweza kufanyia nini? Unajua pass rates kwa level ya div one had div three ni...
Nimepata habari leo kuwa Mhariri Mtendaji wa New Habari Corporation ambao hutchapisha magazeti mafu ya Rai, Mtanzania, The African, Bingwa, na Dimba kuwa ndiye Mratibu wa Kampeni za JK.
Mhingo...
Serikali imekataa kabisa kujihusisha na utoaji wa elimu ya uraia haswa wakati huu kuelekea uchaguzi mkuu,wamefanya hivyo kwa malengo maalum,wanajua wapiga kura wengi ni masikini na wana njaa...
Wakati akiwa Mwanza kwenye kampeini za Chama chake Jakaya Kikwete alitoa ahadi ya Serikali yake kulipia pesa za nyanza zilizoibiwa karibu sh bilioni 5.
Je kwa sheria za uchaguzi hili haliwezi...
Kuna vitu vingine akizungumza rais hata havipendezi
kwenye hotuba ya jk mwanza jk alisema
'nataka wasanii wa tanzania wawe kama madonna,marehemu michael jackson,
na beyonce......
I mean hata...
Aliposaini Sheria ya Matumizi ya Uchaguzi ya mwaka 2010, Mwenyekiti wa CCM Taifa, Jakaya Mrisho Kikwete, hakutambua kwamba sheria hiyo ingerudi na kumhukumu kwa kuwa kinara wa kuivunja.
Akiwa...
Huyu mzee yuko wapi? Hajasikika toka alipotoswa na NEC ya ccm. Maskini alishajitabiria kuwa wanataka kumfanya grader; atumiwe kutengeneza barabara halafu ikikamilika azuiwe kupita juu yake! na...
WANAHARAKATI wa kada mbalimbali nchini, wameanzisha umoja unaojulikana kwa jina la Friends Of Dk. Slaa (FOD) kwa ajili ya kumsaidia kwa hali na mali kuhakikisha mgombea huyo wa kiti cha urais...
JK: No going back on anti-graft fight
President Jakaya Kikwete said yesterday, that the war against corruption must be intensified, promising that if elected he would further empower the...
Hivi karibuni kwenye hutuba ya kuvunja Bunge Rais Kikwete aliwatahadharisha wananchi juu ya kuwatumia dini wakati wa kampeni. Lakini cha kustaabisha makundi ya dini yamekuwa yakiripotiwa kushiriki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.