Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Takukuru yakamata mgombea aliyejitoa Adaiwa kuwa alishawishiwa kwa fedha Awekwa chini ya ulinzi Makao Makuu Dar Chama Cha Demokrasia na...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kuna habari kwamba waandishi wa habari hasa kutoka habari corporation wanatumika katika kampeni za kumnadi Rais Kikwete, na wale wote wanaokwenda kinjume na maslahi ya CCM wanafukuzwa katika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Rais Jakaya Kikwete Na Waandishi Wetu Wakati Shirikisho la Vyama vya Wanyakazi nchini (TUCTA) likidaiwa linajipanga kutoa tamko la kuwataka wafanyakazi wote nchini kutompigia kura Rais Jakaya...
0 Reactions
66 Replies
11K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUJITOKEZA KWA UKIUKWAJI MKUBWA WA MAADILI YA TAALUMA YA UANDISHI WA HABARI KATIKA HABARI ZA UCHAGUZI MKUU Kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu 2010...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
ALIYEKOSA nafasi ya kuwania ubunge katika Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Rachel Mashishanga, ametangaza kumuunga mkono Fred Mpendazoe anayewania ubunge...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kikao kilichoitishwa na Katibu wa CCM mkoa wa K'njaro ndg. KAZIDI, wiki chache kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi na kuhudhuriwa na wanafunzi wa vyuo kadhaa vya mjini Moshi, kiliazimia kuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana JF, Last week rafiki yangu toka Arusha alinitumia hii takwimu alioichunguza zaidi ya kati 20 mjini Arusha na akaja na haya matokeo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na 65,000 walipata sifuri...a record since independence...:becky::becky::becky:
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Tupe asilimia ya sifuri sio 4. 4 ni 4 iwe ya 28 au ya 33 zote ni 4. Hoja ni sifuri sio 4. Sasa 4 ya 29 hadi 33 unaweza kufanyia nini? Unajua pass rates kwa level ya div one had div three ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dubo, CUF yazindua ilani 'ya elimu, matibabu' au CUF yazindua ilani 'ya uchuguzi'. Mbona mnatukanganya?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimepata habari leo kuwa Mhariri Mtendaji wa New Habari Corporation ambao hutchapisha magazeti mafu ya Rai, Mtanzania, The African, Bingwa, na Dimba kuwa ndiye Mratibu wa Kampeni za JK. Mhingo...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu, mjumbe hauwawi. Mnakaribishwa sana
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Serikali imekataa kabisa kujihusisha na utoaji wa elimu ya uraia haswa wakati huu kuelekea uchaguzi mkuu,wamefanya hivyo kwa malengo maalum,wanajua wapiga kura wengi ni masikini na wana njaa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati akiwa Mwanza kwenye kampeini za Chama chake Jakaya Kikwete alitoa ahadi ya Serikali yake kulipia pesa za nyanza zilizoibiwa karibu sh bilioni 5. Je kwa sheria za uchaguzi hili haliwezi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna vitu vingine akizungumza rais hata havipendezi kwenye hotuba ya jk mwanza jk alisema 'nataka wasanii wa tanzania wawe kama madonna,marehemu michael jackson, na beyonce...... I mean hata...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Aliposaini Sheria ya Matumizi ya Uchaguzi ya mwaka 2010, Mwenyekiti wa CCM Taifa, Jakaya Mrisho Kikwete, hakutambua kwamba sheria hiyo ingerudi na kumhukumu kwa kuwa kinara wa kuivunja. Akiwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Huyu mzee yuko wapi? Hajasikika toka alipotoswa na NEC ya ccm. Maskini alishajitabiria kuwa wanataka kumfanya grader; atumiwe kutengeneza barabara halafu ikikamilika azuiwe kupita juu yake! na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WANAHARAKATI wa kada mbalimbali nchini, wameanzisha umoja unaojulikana kwa jina la Friends Of Dk. Slaa (FOD) kwa ajili ya kumsaidia kwa hali na mali kuhakikisha mgombea huyo wa kiti cha urais...
0 Reactions
66 Replies
7K Views
JK: No going back on anti-graft fight President Jakaya Kikwete said yesterday, that the war against corruption must be intensified, promising that if elected he would further empower the...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Hivi karibuni kwenye hutuba ya kuvunja Bunge Rais Kikwete aliwatahadharisha wananchi juu ya kuwatumia dini wakati wa kampeni. Lakini cha kustaabisha makundi ya dini yamekuwa yakiripotiwa kushiriki...
0 Reactions
98 Replies
9K Views
Back
Top Bottom