Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Je kama baadhi ya viongozi katika Serikali ya Kikwete Walishiriki kufungua matawi ya DECI Tanzania Je...utapeli ... DECI nalo Kombora la Dr. Slaa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ngome ya JK kusambaratika? Na Waandishi Wetu, jijini - Dar Leo. KATIKA ngome ambayo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, anaishi na kufanyia kazi, Kivukoni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nadhani wengine bado hatujasikia...mfano morogoro mjini na maeneo mengine kama Zenj kule Orodha ya wabunge waliochemsha CCM Tuesday, 03 August 2010 22:12 MAWAZIRI zaidi, vigogo wa CCM na...
0 Reactions
54 Replies
7K Views
MKE wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dkt. Willibrod Slaa, Bi. Rose Kamili aliyekuwa akigombea ubunge Jimbo la Hanang kwa tiketi ya CCM, ametangaza kujitoa kwenye chama hicho tayari kujiunga...
0 Reactions
50 Replies
7K Views
Habari nilizosikia asubuhi hii toka ndani ya udondozi wa magazeti katika gazeti la Nipashe ni kuwa John Malecela-Mbunge wa Mtera ameshauriwa kutogombea Ubunge tena katika uchaguzi wa mwaka huu...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
Mwita Waitara Mwikwabe ameshinda kura za maoni za CHADEMA kwa kura nyingi dhidi ya Mbunge wa Sasa Charles Mwera, ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri akimfatia. Nafasi ya tatu imeenda kwa John...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Stephen Ngonyani alias Prof. Maji Marefu amemshinda dokta Edmund Mndolwa kwa kula 12,441 dhidi ya 2,289 za Dokta Mndolwa. Naona bunge la safari hii lina watu kutoka 'matabaka yote'. Zaidi soma...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Dk. Wilbroad Slaa akihutubia umati wa wakazi wa Mtwara alikoenda kutafuta udhamini sehemu ya umati mkubwa wa wakazi wa Mtwara mkutanoni hapo Mmoja wa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tumeona jinsi gani taifa letu linavyoendelea kuwa la takwimu na watu kuishi kutegemea takwimu ya watawala wetu bila kuzingatia hali halisi,ni kejeli na dharau ya hali ya juu kwa wafanyakazi kuja...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu mwenye CV/ maelezo ya kina kumhusu huyu Mchungaji aiweke jamvini tumfahamu huyu Mheshimiwa. Binafsi nimeshindwa kumuelewa/kumsoma ni Mwanasiasa wa aina gani
0 Reactions
5 Replies
7K Views
05 August 2010 Joyce Joliga, Songea WAFUASI wa Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema Dk Willibrod Slaa na wale wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliokuwa wakisubiri kumdhamini Rais Jakaya Kikwete...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kuuliza huyu Lameck Airo ndo mwenye Lacairo Hotel Mwanza Kirumba? Atangaza kumvaa baba yake kwenye ubunge Mbunge wa sasa wa jimbo...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Ni katika jimbo la Kilindi. Shelukindo apata kura 12,040 dhidi ya kura 2,939 za Kigoda. Hongera sana Beatrice Shelukindo.....kila la heri
0 Reactions
13 Replies
5K Views
  • Closed
:crying:Wapendwa, Kwa TZS 100,000 watu 100 JF tunaweza kuandaa mdahalo wa urais. Muda wa kupiga domo umekwisha je? Tunataka na mwaka huu kusiwe na mdahalo kama 2010? Je unadhani kuna mtu...
0 Reactions
71 Replies
6K Views
Slaa awaambia wafanyakazi, Nazitaka kura zenu Thursday, 05 August 2010 06:36 Baptist Mapunda,Songea na Charles Mwakipesile, Mbeya MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jully 2010 DONOR FUNDED PROJECTS Hospital to benefit from Sh30m drug IMA World Health has donated drugs worth Sh30 million to the Ocean Road Cancer Institute (ORCI) for treatment of burkits'...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Hivi majuzi tu huyu bwana alisema yaliyopo hapa chini, wengi sana tukaumizwa kwa ulevi huu na jeuri. Tukajiuliza anatoa wapi jeuri ya kejeli hii? Je, watanzania, tutakumbuka ufinyu wa fikra...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama kuna kitu ambacho CCM watakuja kukijutia maishani ni kitendo chao cha kubadilisha mtindo wao wa zamani wa kumpata mgombea na kuanzisha mtindo huu mpya wa kura za maoni wakati uchaguzi mkuu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kura zachomwa moto Singida Thursday, 05 August 2010 06:30 Na Kitiko Mpacha, Singida JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu wanne wakazi wa Kijiji cha Iglansoni Kata ya Muhintiri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom