Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ndiyo, nimeshinda kwenye kura za maoni tena nimewaacha mbali sana wapinzani wangu. Sina shaka na kupitishwa na chama kwani sikupata tuhuma zozote zinazothibitika za rushwa ama nyinginezo...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Wednesday, 04 August 2010 05:20 Na Makumba Mwemezi RAIS Jakaya Kikwete amewekewa pingamizi kortini kugombea urais mwaka huu kwa madai ya matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji wa fedha za umma...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunataka Bunge lenye sura mpya. kero za watu wa chini. Sasa tunakupa jimbo letu, tunataka kero uzifanyie kazi. Najua sisiemu watabana sana, lakini zimwage mjengoni. Wishing u all the best.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Sekretarieti ya CHADEMA jimbo na Wilaya ya Kinondoni imemwomba mwanachama wake aliyehamia chama hicho hivi karibuni, Fred Mpendazoe (CHADEMA) kuwania ubunge katika Jimbo la Kinondoni. Tayari...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Aliyekuwa Mbunge wa Kishapu CCM na baadae kukihama chama hicho na kuhamia Chama mfu CCJ na kuhama tena CCJ kwenda CHADEMA, Freddy Mpendazoe leo hii amebwagwa vibaya katika kura za maoni kuomba...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
kwanza kabisa nawapongeza sana wana CCM kwa ukomavu wa kisiasa kwa kuweza safari hii kuchagua mchele na pumba kuwekwa kando. Nimesikia matokeo mbalimbali yanatia moyo, nafikiri safari hii...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
This is one of the report that has been circulated for sometime now by Lusinde's camp with incredible help from TISS as I have noted in my previous post. This reporting has unfortunately been...
0 Reactions
70 Replies
8K Views
Linganisha na hawa hapa, chini ndipo utakapojua nani walitayarishwa kwa ajili ya picha na ni nani wlihudhuria tukio kwa kuvutiwa na sera. Nimeanza kupata matumaini.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
"Dk. Slaa si tishio kwa CCM ila ni tishio kwa mtu binafsi…hawezi kuwa tishio kwa chama. Nani alikuwa maarufu kama Mrema. "Santuri mpya ikitoka itachezwa katika nyumba mbalimbali lakini baada...
0 Reactions
69 Replies
8K Views
TINGATINGA WEEE!!LIAPOGEUKA KUWA POWERTILA!!!-------JOHN S.MARECELLA:ballchain::A S thumbs_down:
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimefuatilia thread ya matokeo ya uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM, nikagundua kama alivyodokeza ndugu Kasheshe kuwa uletaji wa matokeo hauko user friendly. Hii ni kwenye uchaguzi ndani ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wabongo Hawana Nyongo, CCM itashinda Tena! WIKI chache zilizopita zilikuwa ni wiki za watu kuchukua fomu za kugombea Urais wa Tanzania. Baadhi ya watu wamejitokeza kuchukua fomu. Hiyo yote ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Aliwasiliana nami kwa sms alfajiri ya leo akiniambia kuwa ameshinda nafasi ya viti maalumu Singida.... Nimejaribu kumtafuta anipe details lakini simu yake unreachable. Kama tuna mdau yeyote...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimemsikia m/kiti wa chama chetu mafisadi akiwa usia wajumbe wa nyumba kumi kupiga kampeni kwa nguvu zote ili CHAMA kishinde uchaguzi wa 31 Oct. Hivi dhana hii ya chagua CHAMA badala ya mgombea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika stori ya "Marando ahamia Chadema" iliyoko Tanzania Daima ya 23 Jul 2010, Marando amewashambulia wabunge wa CCM wanaomuunga mkono Dr Slaa akiwaita "wadandia hoja" na kwamba lengo lao ni...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Joseph Mbilinyi, Mr. Sugu, maarufu kwa jina hilo, ukipenda Mr.II. Ameshinda katika kura za maoni yaliyofanyika Mbeya Mjini za CHADEMA za kumtafuta Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Barabara mbovu, maji ya shida maisha magumu. Foleni inaanzia Moroko hadi Mwenge, eneo ambalo kata yake ipo. Barabara mbadala zipo, haziwekwi lami wala kukwanguliwa. Zuzumagic huyo tumemchoka na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Waheshimiwa wana wa nchi! nilipoandika jina langu Diwani maana yangu ilikuwa ni maandalizi ya kugombea udiwani katika kata moja iliyopo mkoani Tabora na sasa nimetoka kukagua vituo vyote naona...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kati ya taarifa zilizonivutia ni hii hapa ya mwenyekiti wa serikali za mitaa mbagala alipokuta jina lake na watu zaidi ya 50 awapo na kusimamisha uchaguzi ,..si yeye bali niwatu waliokuwa majina...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom