Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Alianza Shamsa ... sasa naona Shy-Rose anafuata nyayo.... Inawezekana huna chochote cha kuwaambia wapiga kura zaidi ya kupiga magoti na kuomba wakuchague? Jimbo la Kinondoni Mgombea ubunge...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimeona nyomi la watu, check hapo chini mniambie wadau. 1.Mwenyekiti wa CHADEMA akiwatambulisha wakazi mjini Mwanza. 2.Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mabere...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Katika hatua nyingine, chama hicho leo kinazindua mpango wa Saidia Slaa Ashinde (SASA) katika mkutano utakaofanyika mjini Arusha. Akitangaza mpango huo, Bw. Wilfred Lwakatare ambaye pia ni...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari za Jumapili wadau? Vipi,hivi kwa kuwa Pasco yupo Zenj ndo hakuna tena wa kutujuza yanayoendelea kwenye kura za maoni za CCM huku bara? Invisible vp,tunakutegemea mkuu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mungu awaongoze mchague wale walio wa mungu na sio waliowapa vijisent mungu awabariki
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimefuatilia kwa karibu sanani vyombo vingapi viliandika kuhusu Dr. Slaa kule Arusha na jimboni kwake juzi ilee, lakini ukweli ni kwamba ukiacha kwa upande wa TV stations; Channel Ten na ITV hawa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna mtu ana taarifa na habari hii Makombora ya Dk. Slaa haya Mwahilisi haifunguki Bandwidth Limit Exceeded...
0 Reactions
5 Replies
10K Views
Kwa walioangalia TBC1 taarifa ya habari inaonekana TAKUKURU wameamua kudili na CCM.... Huko iringa mwandishi wa TBC1 anasema Mh Mungai na Bw Frank Mwakalebela wamehojiwa baada ya kukutwa wakigawa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kama tutarajiavyo kesho ni kesho aliesema keshokutwa mwongo..wapendwa wana ccm tunaomba msituchagulie mafisadi na kuja kulalamika wakiwa bungen..naomba mjue apandae Bangi atavuna Bangi..kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari Ndo Hiyo Mwaya . . . . . Habari kutoka kwa Wadau zinasema kuwa anagawa pesa si kawaida na ni kwa muda mrefu tu. Wapiga kura waliokwazwa naye wanayo matumaini bado kuwa hatimaye naye...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Samahan wapendwa kama ntawaudhi kuna jambo linanitatiza kila nikiamka asbh ni kura za ccm waziri wa ccm,diwan wa cc,katibukata wa ccm,mkuu wilaya wa ccm kakamatwa na rushwa najiuliza hivi akuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mambo ya CCM kutumia fedha kwa kujipatia uongozi yanaendelea kujidhihirisha. Kwa sasa PCCB ina mshikilia Mh.Mrema na mabalozi kadhaa kwa tuhuma za rushwa.....nitawaletea habari kamili baadaye...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Ndugu wana JF wote, wanaChadema na wasio wanaChadema wapenda maendeleo na wapenda mabadiliko. Nimeanzisha thread hii makusudi kabisa kuweza kupata mawazo yenu juu ya uendeshaji wa kampeni za...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric James Shigongo amekanusha uvumi unaoendelea kwenye Jimbo la Buchosa kuwa amekamatwa na TAKUKURU. Shigongo, aliliambia gazeti hili juzi (Jumatano) kuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari gani? Mimi ni Irene, natoka Italy, Naples na nasoma kiswahili katika chuo kikuu. Lazima nisome kwa tasnifu na ningependa kuandika kuhusu maswala ya uchaguzi ujao na kufuata kampeni zima...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
siasa zilizopitwa na wakati za maji taka hata wananchi wanawashangaa wanajiuliza iweje kila chama cha upinzani kiwe cha kidini? wanajiuliza ule ukabila wa Chadema umeishia wapi? CCM hawana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu, Nimekuwa nikisikia harakati zinazoendelea huko CCM kuhusu kuwania viti maalumu wanawake, walemavu, vijana, wafanyakazi na zingine. Inavyoonyesha karibu kila mkoa wanatoa washindi wawili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Dont bypass election, Go and cast your vote for Slaa.... Tunguli haziwezi kushindana na nguvu za Mungu hata siku 1. Kimsingi inabidi tumuombe Mungu ili zote zisizo kuwa halali njia ambazo CCM...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WAKUU,Kutokana na mapokezi makubwa aliyoyapata Dk W.Slaa Arusha Mjini kwenye ngome ya CCM unafikiri itawezekana kwa chama hicho kutetea jimbo lake??????????????.mpaka sasa Dr.Batilda ameanza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
DC wa Kasulu ,Betty Machangu amekamatwa kwa Rushwa,Rushwa ya uchaguzi!!! UUUwi aibu gani hii? Kiongozi anayetakiwa kuwa mhimili wa mamlaka ya Rais Wilayani ndiye anakamatwa kwa rushwa. Huyu ni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom