Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Zipo taarifa za kuaminika kuwa tume ya uchaguzi mwaka huu haitawatumia tena walimu katika shughuli zake wakati wa uchaguzi mwaka huu. Badala yake tume imewachukua baadhi ya wanafunzi wa vyuo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Usipoteze muda wako umeshaumia kiasi cha kutosha, kataa kuendelea kuumia tena. Yote haya yatawezekana kwa kupiga kura yako na kuchagua CHADEMA. Kumbuka Dr. Slaa ni silaha yako ya kupambana na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wanajamvi ni muhimu tukatengeneza slogan nzuri kwa ajili ya uchagu huu. Mimi napendekeza kati ya hizi moja itumike: KATAA CCM, KATAA UFISADI KURA KWA CCM NI KURA KWA UFISADI SEMA HAPANA KWA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kweli uchaguzi wa CCM una mambo Baada ya wana kinondoni kutema upupu wa meya wao na huku sehemu aliokimbilia kugombea ubunge akimwagwa kama ana akili nzuri;aliekuwa meya wa jiji letu S LONDA...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ama kweli tungepata TARIME Kama 10 kati ya 25 hakika akuna uupuuzi wa CCM wangeufanya ...kwa walioona TBC mwenyekiti wa CCM tarime amesema ameshindwa kutangaza matokeo baada ya kukaa na wagombea...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
haijawahi kutokea tangu kuumbwa kwa tanganyika rushwa nje nje, ngumi mkononi, takukuru kama chui wa karatasi. Wasimamizi wa mkutano wa wanachama wa CCM Kata ya Kigogo, Dar es Salaam wakimtoa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Dk. Slaa abeba makombora 20 • CCM nao waandaa mamluki kummaliza na Waandishi wetu MGOMBEA urais kupitia Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, ameandaa makombora...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Imeandikwa na Tumaini Msowoya, Iringa na Brandy Nelson, Mbeya Mwananchi August 3, 2010 MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema, Willibrod Slaa jana aliendelea kuvuta watu wengi kwenye mikutano yake...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Shibuda ambaye alijitoa kuwania kiti cha urais hivi karibuni kumpisha Rais Kikwete, anadaiwa kuwa katika wakati mgumu wa kuamua hatima yake kisiasa kutokana na matokeo ya kura za maoni na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Courtesy of GLOBAL PUBLISHERS Siandiki uchochezi huu kwa sababu mjomba wangu kashindwa kura za maoni ndani ya CCM, naamini familia yetu haitateseka kwani alichochuma akiwa mbunge aliniambia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ushindi mwembambaa alioupata hadi sasa aliyekuwa mbunge wa Ukonga, Makongoro Mahanga kwenye kura za maoni katika Jimbo jipya la Segerea umepingwa na wagombea wote 11 wa jimbo hilo. Inasemekana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
this is the high season in which a massive exodus of politicians happens, its in this reason that i am starting this special thread to enlighten the general population and discuss politicians...
0 Reactions
0 Replies
812 Views
Muda mfupi nimetoka kwenye mkutano wa Dr. peter W. Slaa hapa Iringa. Kaongea mengi sana. Lililonigusa ni sana ni hilo neno '' yeye kasema hataki kura zenu, mimi nazitaka'' Sijui nyinyi mnasemaje?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau mimi natamani makombati ya CHADEMA hasa wakati huu wa mapambano. Je, wanaweza shona na kuniuzia? Wana-CHADEMA tafadhalini shoneni mengi watu tutinge vitani...kumbuka yanaamsha morali ya...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kura zimejitokeza 1,000 eneo la msitu wa Mabwepande. Wanachama wa CCM wakiwepo baadhi wa wagombea wamepanga kuandamana leo baada ys kura karivia 1,000 kujitokezaeneo la msituni wa Mabwepande...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Nilizaliwa kabla Tanganyika haijapata uhuru. Nilikuwa na akili zangu na kutambua vizuri siku Tanzania ilipopata uhuru. Niliouona muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Niliona kuanzishwa kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Si wabunge wote nawaongelea hapa, Mbunge kama Sleeliii, Kimaro na wengine, natamani wajiunge na kambi ya Dr.slaa. kwanini wasikaribishwe?...na, nimefurahi sana kwa malecela na bakari mwampachu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani kwanini Makamba na JK walimtaja sana Dr Slaa ktk hotuba zao jana?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
HABARI TOKA JIMBO LA MTERA LINASEMA MGOMBEA LIVINGSTONE LUSINDE AMEMSHINDA MH. JOHN SAMWEL MALECELA KATIKA KURA ZA MAONI NA ANATEGEMEA KUWA NDIYE ATAYEPITISHWA KUGOMBEA UBUNGE KWA TIKETI YA CCM...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Capt. George Huruma Mkuchika, amepita katika kura za maoni ------- Naibu Katibu Mkuu wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom