Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kwa wale ambao macho yao yana matatizo nayaweka maandishi chini ili yasomeke kilichoandikwa: =============================================== The White House Office of...
0 Reactions
95 Replies
8K Views
Kuna habari zinaendelea kusambaa kama moto wa kifuu kuwa Dk Slaa amefanya/au atafanya press confeence huko Dodoma this morning. Mlioko huko hebu tuhabarisheni. Tuna hamu ya kujua anasema nini huyu...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Yule mbunge mwenye ulemavu wa ngozi tuliyemsoma wiki chache na kupongeza ushindi alioupata wa Ubunge wa Lindi Mjini, tukalaani waliombeza kutokana na alivyo, tayari ameanza kupokea vitisho vya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Source: Gazeti Sem Usikike, tarehe 15.11.2010 Kwamba mafisadi walisherehekea kuanguka wa Mr 6 uspika kwa kuchinja ngamia dume. Je mnyama huyu anaambatana na makafara ya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna watu/mtu ambaye ukisikia kapewa Uwaziri au hata Unaibu utashangaa, utasikitika au utafurahia, ni yupi huyo?
0 Reactions
96 Replies
9K Views
CCM yadai mwaka huu ni waakinamama kufuatia uteuzi wa CC kwenye nafasi ya Uspika lakini uteuzi huo ni wa kumuenzi Mama Anne Makinda pekee kama Makinda na wala siyo wanawake kwa sababu Makinda ana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mbunge wa Sikonge (CCM), Said Nkumba, alidai kuwa wakati wa kampeni, Marando alikuwa akitumia lugha kali na za kashfa hivyo iwapo atachaguliwa kuwa spika atakuwa na lugha hizo hizo au...
0 Reactions
39 Replies
10K Views
Source: Na M. M. Mwanakijiji, gazeti la MWANAHALISI, Jumatano, Septemba 17,2010: Kwa muda sasa wanaJF wanakuwa wakichangia mawazo hoja ihusuyo wabunge waliopitishwa na kuhalalishwa na Tume ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
CCM ni mfumo. Na ili kuuangusha mfumo wowote, lazima uufahamu. Pamoja na ufisadi na rushwa vinavyoabudiwa na CCM, mfumo wao wameujenga katika kupumbaza watu wa vijijini hasa wasio na elimu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu, baadhi ya vyombo vya habari vilimnukuu makamba akitangaza kwamba uspika safari hii kupitia chama chake sifa ni uanauke. vyombo vingine vya habari vikaripoti kwamba jk ameshauriwa kumteua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kama mnakumbuka vizuri Kilavu alizuia watu wote waliokuwa mbali na vituo walivyojiandikishia kupiga kura mahali walipokuwepo. Ukiangalia vipengele vya katiba, sababu zilizotajwa, aliyoitoa Kiravu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika kuandaa Baraza la Mawaziri Tanzania je Kakutakuwa na Mafisadi katika Baraza hilo? mimi nina wasiwasi kabisaaa
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndugu wana JF, kuhamishwa kwa Mkuu wa Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Godfrey Nzowa, kwenda ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Charles...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katik vitu ambavyo mimi vinanifanya nimuone Kikwete ni Mbumbumbu wa kufikiri, ni kung'ang'ani kuwapa Wanawake Nafasi nyeti Selikalini,, jamani Si vibaya lakini Hii nchi ni nchi inayo chuchumia ki...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Nani alishinda Zanzibar ni CCM au CUF? Padri Privatus Karugendo KWA wanafiki na wenye uchu wa madaraka hili linaweza kuchukuliwa kama swali la uchochezi, swali la kutaka kuvuruga amani na...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Jamani naomba kupata taarifa kuhusu uchaguzi wa naibu spika wa bunge la jamuhuri wa wa muungano wa TZ kashapatikana? nimepata habari kua People's Power (CHADEMA) wamemsimamisha Mustapha Akunay...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nataka kujua kama kuna mtu keshapata matokeo vituoni kabla ya kuchakachuliwa, maana bby this time lazima wamemaliza kuhesabu :caked:
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Du ina maana hilo lichama la kijani just 5 yrs away litakuwa limejaa vibabu. Where are the young guns?????? Hebu cheki hapa chini nyumri zao by 2015. JK - 65 Makamba - 80 Msekwa - 80 Saim...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
hapa chini nimeweka tu baadhi ya maadili ambayo viongozi wetu hawa tunaowaita mafisadi wame kiuka na sasa tu na waona kwenye Bunge jipya huku Raisi wao akijidai kuwa safisha mpaka Mmoja wao ambaye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SEHEMU YA 1: MARANDO AKIOMBA KURA SEHEMU YA 2: KUPIGA KURA SEHEMU YA 3: KUTANGAZWA MSHINDI ENJOY
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom