Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wana JF, itakumbukwa kauli za baadhi ya viongozi wa ccm ni ile iliyobainisha kuwa chama hicho kilikuwa na mtaji wa kura milion4 za wanachama wake kabla ya uchaguzi mkuu 2010. Pamoja na yote...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Due to sympathy votes and all that, lakini sababu ya ufisadi na mengineyo najua hawawezi kumtumia hopefully atajoin upinzani
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Nashindwa kuamini kama mch. Myikila yupo nchini kwasasa! Tangia uchaguzi hadi kuapishwa na sasa bunge kuanza mtikila asisikike kwa lolote?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Dr. Slaa anahojiwa na tbc taifa kuhusu kupitishwa kwa anna makinda. Maoni yake ni haya; Mtangazaji: Unaonaje kupitishwa kwa anna kama spika wa bunge la jamhuri? Dr. Slaa: Anna makinda anafaa kuwa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hi wana JF, kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani, Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter...
0 Reactions
73 Replies
6K Views
Hivi ni kwa nini Watanzania wanaoishi nje ya nchi hawapati haki yao ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu kama huu uliopita kama zinavyofanya nchi nyingine?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hebu tujiulize sakata la Mhe. Samweli Sitta na jinsi CC ya CCM ilivyojikanyaga hapo................Sasa tuna ushahidi ya kuwa CC ilikuwa na donge zito dhidi ya Mhe. Sitta na kauli za Makamba...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
ZIKIWA zimebakia siku mbili kabla ya kufanyika uchaguzi wa ubunge katika majimbo ya Mpanda Mjini na Vijijini, mawakala 22 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wameshindwa kuapishwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Miaka 15 ya mfumo wa vyama vingi Tanzania. Mengi tumeyaona, lakini yaliyotokea juzi na jana kule Dodoma yamenipa funzo kubwa kwamba upinzani Tanzania umejaa waganga njaa na wanafiki wanaoweza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mbunge anayetoka zanzibar anaingia kwenye bunge la jamhuri ya muungano kujadili mambo yanayo husu muungano tu? na kama ndivyo inapofika kwenye masuala ya Tanzania bara kuna mpaka gani unaowazuia...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nawaomba wana JF tuwapepongeze hawa wananchi kwa sababu zifuatazo: 1. Wameweza kuwaondoa mafusadi/wanaowaunga mkono katika maeneo yao. 2. Wameweza kulinda kura zao hadi kuhakikisha matokeo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kupata ufafanuzi hapa. Hivi kwanini Seif aliapishwa na Shein? Je inawezekana shein akamfukuza umakamu Seif? Hicho cheo cha seif kinampa wajibu gani katika serikali (SMZ)? na katika SMT seif...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Please for those in the know, Hapa kuna Kesi ya kuchakachua kwahiyo kesi ikifunguliwa je atasimama mbunge mwingine wa Chadema au kesi haitafunguliwa tena, na ikifunguliwa akashinda can someone...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
tathmini ya uchaguzi mkuu mwaka huu wa 2010 REGIONAL # OF VOTERS VOTERS TO VOTE KIKWETE LIPUMBASLAARUNGWEPETERMUGAHYWA TOTAL WINNER BY REGIONAL 20,445,725.00 13,289,721.25...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habari za uhakika kutoka mahakama kuu ya Tanzania ( The High Court of Tanzania) ni kwamba aliekua mgombea wa ubunge jimbo la Segerea bwana Fredrick Mpendazoe amefungua case rasmi ikiomba...
0 Reactions
63 Replies
6K Views
wana JF, naomba maoni yenu juu ya huu muungano. zanzibar wamejitangaza ni nchi, kama ni hivyo vipi wabunge kutoka nchi nyingine waje kuwakilisha tena kwenye bunge letu la bara mantiki yake ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimeota ndoto kuwa Mizengo Pinda si Waziri Mkuu ajaye. Atakayekuwa PM ni mtu aliyekuwepo serikalini asiye na jina ambaye kuwepo kwake ni kama yupo...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Hata, Police wakininyima Kibali, maana naona Kova hakubali kutoa kibali cha kuandamana, wakati ni haki yangu kwani ni ya amani, nitaandamana peke yangu na bango langu kubwa la kupinga matokeo ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Je limeshatangazwa? Kama kama hivyo naomba link?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wana kaya kuna tetesi katika pita pita yangu kuwa mkuu wa kaya anataka kumpatia mh. 6 uwaziri fulani ilikumpoza na machungu ya kukosa nafasi ya kugombea uspika wa JMT kwa tiketi ya ccm.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom