Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Chama Hakijui Kimeshinda Huko Zanzibar na Wanafikiri Wamependelewa Ushindi Huo. Fikra za Maskini Ndizo Zinaisumbua CUF na Watanzania Tumeshagundua Wamenunuliwa na CCM. Upinzani Atuhitaji CUF na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
CCM - 20,470 CHADEMA - 8,056 CUF - 5,833 (Wamepata kata ya Nzega mjini ambapo Dr. Slaa kaongoza kura za urais)
0 Reactions
81 Replies
9K Views
Kitendo cha Kamati Kuu ya CCM chini ya uenyekiti wa Dokta (asiye na PhD) Jakaya Kikwete kupitisha majina matatu ya wanawake pekee na kulazimisha Spika ajaye awe mwanamke kwa kutumia wingi za kura...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
ni joseph selasini wa rombo. lengo lilikuwa kujiepusha na lawama za kumbeba mramba mwenye kesi ya ufisadi. mramba alikuwa mshindi halali wa jimbo la rombo huko vunjo nako mshindi halisi alikuwa...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Hii ni taasisi ambayo nathubutu kusema inaiangusha serikali machoni pa watawaliwa na inawalinda vigogo ambao enzi za mwalimu tengewaita wahujumu uchumi machoni pa sheria za nchi. Ili waponde nchi...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
I have a question which is troubling my sincere thoughts! Our country established a law to control and monitor campaign expenses by the parties, presidential, mpship, and councilor candidates and...
0 Reactions
1 Replies
946 Views
Uchaguzi umekwisha lakini yaelekea maumivu ndiyo kwanza yanaanza kusikika kwa wapiga debe wa CCM jijini mwanza ambao waliahidiwa kila mmoja Tshs 50, 000/= kwa kazi nzuri ya kuimba na kuhudhuria...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Njaa ni kitu kibaya yaweza kumfanya mtu uliyemwamini kwa siku nyingi akatenda jambo ambalo utashindwa kuliamini. Hebu fikiria mtu ameshinda urais znz na anafahamu kuwa kashinda lakini anaambiwa...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
KUFUATIA TAARIFA YA SFO KUHUSIANA NA ISSUE YA RADAR KUWA UCHUNGUZI UNAENDELEA NA HAKUNA CONCLUSION ILIYOFIKIWA HUU NDIO NDIO INABIDI UWE MSUMARI WA MWISHO KWA JENEZA LA HOSEA. JK AKIENDELEA...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wajameni naomba kuuliza yule Mwakyembe wetu sisi wana Kyela amegombolewa na mafisadi? yu wapi kukemea haya yanayoendelea? Wajameni naombeni muwahimize Wabunge wenu wampigie Mabele Marando katika...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nilishawahi kumsikia Bwana Sita akijitapa kuwa yeye ni Chuma Cha Pua. Alikuwa akihojiwa na kituo kimoja cha redio. Sasa mafisadi wamemfanyizia. Ninamuomba bwana Sita aoneshe uzalendo wake kwa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Unaweza kumjua nani ameshinda na nani ameshindwa katika picha hii ??
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Sikujua kama mtaipokea negatively idea ya kufungua akaunti kwa ajili ya dr. Slaa!hakika sikuwa na lengo baya, kilichonisukuma kuleta wazo hili ni kutokana na watu kudai kuwa dr. Anaweza kuona kama...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
  • Closed
Nasikia orodha ya vitu maalum CCM imetoka. Je, Ephraim Kibonde yumo??
0 Reactions
36 Replies
6K Views
Tanzania's CCM party drops graft-fighting speaker Thu Nov 11, 2010 * CCM says party wants female speaker * Sitta had encouraged graft debate in parliament * Seen as thorn in the side of CCM...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salaam wanabodi, Uchaguzi wa marudio katika majimbo 7 yaliyobakia unafanyika Jumapili hii, ambapo Chadema iko kwenye hatihati ya kulipoteza jimbo la Mpanda Kati kwa CCM, wakati CUF itajivunia...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Anne Kilango alipewa nishani ya heshima ya Martin Luther King na serikali ya Marekani kwa michango yake ya kuboresha utawala bora hapa nchini...............na mara tu alipoipata hiyo nishani...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa nini rais anaapishwa Tanzania? Miye naona ni kupoteza wakati tu, na ni kutekeleza 'routine' tu. Maana ya kiapo ni kuwa pindi rais anapokiuka hicho alichokiapa, mahakama itakuwa na dalili. Pia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Source: Yahoo friends Kuna table of results za kura zimenichanganya, nitazileta tena zikikaa sawa
0 Reactions
1 Replies
910 Views
Back
Top Bottom